raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mtoto mkubwa mm ujue 😊Utakufa we mtoto😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mkubwa mm ujue 😊Utakufa we mtoto😅😅
Wengi tu.Hv kuna waliopatia kuoa 🤔
Wanawake wakiwa wanasaka ndoa aaah wakarimu wanautii na mbususu unasusiwa ila sasa akishapata kile cheti ndio utajua kuwa ni mtu wa namna ganiNiko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikufwate Nije huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
Ni kijana wetu, ni kweli Sio Mimi. Aaghh Mimi na wanawake Mbali Mbali Kabisa nimeokoka haha hahahaAcha basi kutupangaa Yule sio ww
Billgates, Bezos matajiri wale...pesa mpaka hawajui wazifanyie nini...WAMEKIMBIA NDOA....wanawake hawaheleweki huwa wanataka nini.Hana hela huyo,angekuwa na hela angeondoka na gari yake,usikute ni marioo analeleea
Bill gate hawezi kuzurura stendi akisubiri dalalada soma uzi wa jamaa vizuriBillgates, Bezos matajiri wale...pesa mpaka hawajui wazifanyie nini...WAMEKIMBIA NDOA....wanawake hawaheleweki huwa wanataka nini.
Sio suala la pesa..ile ni habari nyingine
Wameoza woote ukibahatisha ni bahati kubwa.Hakuna kosa kubwa kama kukosea kuoa.
Kwanini usikilize yasiyokuhusuNiko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikufwate Nije huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
Huenda ni Dr kama.alivyokuwa D. Sla,muda.mwengi unajitafuta kielemu kumbe Kuna elimu ya kitaa inakupita,wanaume ukiona mselaNiko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikufwate Nije huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
Wewe mwenyewe huenda hii kitu unaweza mfanyia mtu,unaonekana unapenda vya kuwaka na ndani vina element za kushindaniwa.Mkaka msafiiii
Mrefuu
Maji ya kunde ya kung'aa a. K. A rangi ya pesa afu mapenz yanamtesaa
Morning mzee wa Hall V. Umeamka salama. Twende kulee...
Sijamaliza kusoma ila nachoweza kusema: NDOA NI KWAAJILI YA WANAWAKE (labda na wanaume wajinga pia ndoa zinaweza kuwafaa)Niko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikufwate Nije huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
Vina muda basi.....siku 90 utaona vyakawaida sanaKwa jinsi nitakavyo kuwa nakupelekea moto hutawaza kunipa sitiresii 😊