Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Kwanza u naanzaje kumnyima mume haki yake wakat hata huumwi?
Huu ni unyanyasji wa kijinsia unaofumbiwa macho na wana harakati
K sio kitu ya kumnyima mume, wafungwe maisha wanaofanya hivyo, kuna watakaosema utampa na atachepuka, lakini ile ni starehe we mpe kwa kutafuta raha yako hayo ya kuchepuka ni mengineyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…