Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Wanawake wakiwa wanasaka ndoa aaah wakarimu wanautii na mbususu unasusiwa ila sasa akishapata kile cheti ndio utajua kuwa ni mtu wa namna gani
 
Kwanini usikilize yasiyokuhusu
 
Huenda ni Dr kama.alivyokuwa D. Sla,muda.mwengi unajitafuta kielemu kumbe Kuna elimu ya kitaa inakupita,wanaume ukiona msela
anawachapa nao wanawake kwa sana kabla ya marriage ujue anapata uzoefu,Hawa pusy cut wale tuliowaxhukulia poa tukiwa tunakuwa kwa sasa ni majuto,
1.Ukimuoa akagundua huna experience anakugeuza kituo cha utafiti wa ulozi,atakuroga ili ufuate ayatakayo,
2.Atakutenganisha wewe na familia yako ili akupate na mzigo wa ziada uelekeze anga zake,
3.Kwa kua Hana elimu.ataharibu watoto na kukuacha muda wote na stress
4.Atakubamba na kukupiga code ili usipige nje ukagundua weakness zake.
5.Utaanza kukea side yake kama wako low economy
6.Kuna.uwezekano wa mauaji sababu mjinga akistuka inakuwa Islael vs U.E
Sina cha kuongeza.
 
Mkaka msafiiii
Mrefuu
Maji ya kunde ya kung'aa a. K. A rangi ya pesa afu mapenz yanamtesaa
Wewe mwenyewe huenda hii kitu unaweza mfanyia mtu,unaonekana unapenda vya kuwaka na ndani vina element za kushindaniwa.
 
Sijamaliza kusoma ila nachoweza kusema: NDOA NI KWAAJILI YA WANAWAKE (labda na wanaume wajinga pia ndoa zinaweza kuwafaa)
Mwanaume unayejitambua USIOE kwa faida ya afya yako ya mwili, akili na uchumi.
#KATAANDOA
 
Wanawake wakiwa wanasaka ndoa aaah wakarimu wanautii na mbususu unasusiwa ila sasa akishapata kile cheti ndio utajua kuwa ni mtu wa namna gani
Ukishafanya mtihani ukafaulu huna haja ya kujisomea tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…