edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 2,907
- 9,135
Cku hz feki nyingi zipo mtaani kuliko OGNasikia kuna bapa feki, kuna mijitu ilidabuliwa ina kiwanda kabisa uchochoroni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cku hz feki nyingi zipo mtaani kuliko OGNasikia kuna bapa feki, kuna mijitu ilidabuliwa ina kiwanda kabisa uchochoroni.
Dompo na Alter wineLabda Bapa
View attachment 3084519
So ikawaje kenya au kiwanda cha uzalishaji tu?;invented by the Hungarian László Biró, and in December 1950, launches his own ballpoint pen in France under the BIC® brand
Mpaka sasakumbe vilikuwa vnatokea kenya.
Soma comment namba tano ujue Kenya inavyonufaika.Ilikuwa ni those days. Pia hizo bidhaa ni viwanda vya wazungu so pesa inabaki kwenye circle ya wachache.
Sisi tunauza kwao mazao ya shambani ambayo pesa inaingia direct kwa mwananchi wa kawaida.
Soma comment namba 5invented by the Hungarian László Biró, and in December 1950, launches his own ballpoint pen in France under the BIC® brand
Kwanini hao wazungu wasije kufungua viwanda Tanzania kwa wingi badala yake wanafungua Kenya. Au unadhani hapo Kenya viwanda vya wazungu vimeajiri wazungu tupu na havilipi kodi.OMO is a brand of laundry detergent that was introduced by the British-Dutch multinational consumer goods company Unilever in the 1950s. The exact year when OMO was first launched may vary depending on the market and region, but it is generally believed to have been introduced in the early 1950s
Yaani unataka kuniaminisha kuuza Mahindi, Vitunguu, Nyanya, Mchele na mbogamboga Kenya ni biashara ya cartels??Soma comment namba tano ujue Kenya inavyonufaika.
Kuuza nazao nje ya nchi kuna figisu sana hapa Tanzania, Ni biashara ya cartels kubwa sio watanzania wa kawaida
MahindiNa bidhaa za Tanzania zilizoteka soko la Kenya?..au hazipo?.
Mkuu, nafanya hizo biashara labda na mimi ni mmoja wa cartels basi.Kuna mdau aliwahi kuweka mambo hadharani... Ninaweka ushuhuda wake, Sio rahisi kama unavyofikiria
Biashara ya mahindi ni nzuri sana kama ukiuzia nje ya nchi,mfano kenya au sudan kusini, ikiwa uko mikoa ya arusha au manyara ni bora zaidi, ila sasa! Ni hadi uunge chain na wafanyabiashara wazoefu,wakubali kukupa ushirikiano na kukupa hints kadha wa kadha,otherwise hawa ndiyo ma mafia wenyewe,nipo kwenye circle ya biashara hiyo,ila kwa angle tofauti,kuna jamaa alijiingiza kibabe kwenye game bila kusajiliwa kwenye chama cha wafanyabiashara ya nafaka huko arusha, kilichomkuta alijuta, mzigo wa tani 30 ulizuiliwa mpakani namanga,akaambiwa yana aflatoxin,marufuku kuingia kenya, alipambana kuhonga na nini lakini hakufanikiwa kuuingiza,, ipo hivi=mfanyabiashara wa mazao anayeuzia kenya anapaswa kuwa na namba za askari wa barrier zote kutokea arusha mpaka sokoni kenya,na pale border vilevile, kwa hiyo mzigo ukifika kabla haujafika barrier askari wanajua mzigo wa fulani unakuja,border vilevile,na wanakuwa kwenye payrol yako,unakuwa unawatoa kwa chochote kitu, sasa kama hujulikani wale wazoefu wakijua unapeleka mzigo, simu zinapigwa kote, zuieni huo mzigo! Baba hupiti!! Ukivuka barriers zote safari yako inaishia namanga, utatoboka hela hadi mzigo unakupiga hasara takatifu, pale border mwishoni watakuja wafanyabiashara wazoefu, wakukatishe tamaa kabisa, kisha wakuambie uwauzie wao kwa bei ya hasara, ukikubali(probably utakubali tu) wao wanayanunua, na kuyavusha kiulaini kabisa,unarudi home na hasara yako.
Ariel imepotea kwenda wapi!? ipo na ipo vyema sana bado.Ila sabuni za unga za aerial zilikuwa na harufu nzuri sana, siku hizi hazionekani yamekuja masabuni mabaya kweli