Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Ngoja waje wakujibu uenda bado wamelala.
 
Wewe ni mjinga wa wajinga, kwa nini wenzio hawakujibu hoja zangu, kwasabu nimepiga kwenye mshono hapo hapo , soma maandiko yangu vizuri nimetoa ktk bibilia yenu

Rejea SIfa za Mungu ktk bibilia
Mungu habadiliki
Sauti ya Mungu haijapata kusikika
Mungu halali usingizi nk

hizo ni baadhi ya sifa za Mungu ktk bibilia , na hayo ni maneno yake mwenyewe ,
Sasa wewe unataka watu wa si iamini bibilia,
Huyo YESU wako alikuwa hana hizo sifa, Mungu habadiliki bibilia ina sema alafu wewe Eti ooh neno ooh akawa yesu , porojo tupu
 
BIBLIA NI NGUMU ,NMEPITIA HAPA
Zaburi 90:10:
-"Miaka ya umri wetu ni sabini, au, ikiwa ni nguvu, thelathini na tano; lakini mrefu wake ni uchungu na huzuni, maana huisha kwa haraka, nasi twapita." (Zaburi 90:10)
Muongo , bibilia uongo mwingi ndio umejaa na visa vya kutungwa na kubuni ndio vimejaa
 
I think. Hii ni last comment yangu kwako, wewe hamnazo nimetoa andiko ktk bibilia yako baada ya kuona bibilia. Imekusaliti una tapatapa , huna hoja wana Jamii forum wameona jinsi ulivyo empty ki misingi
Hakuna anayeweza itetea bibilia
Mungu habadiliki 1:17 yakobo
 
"Ah, kumbe unaishi katika ulimwengu wa akili zako tu, ambapo ukweli unaendeshwa na maoni yako binafsi! Lakini, kama vile Aristotle alivyosema, 'Ukweli haupo katika mawazo yetu, bali katika maumbile.' Labda tunahitaji kumrudisha mtaalamu wa falsafa ili kuelewa kwamba Mungu hakubadiliki hata kama mawazo yetu yanabadilika kila siku."
 
Muongo , bibilia uongo mwingi ndio umejaa na visa vya kutungwa na kubuni ndio vimejaa
je haya ni ya kweli ?
Hadithi inayosema kuwa shahidi atapata mabikra 70 peponi ni sehemu ya mafundisho ya kiroho?,endelea kukanusha mawazo ya wengine kwa kejeli
 
BIBLIA NI NGUMU ,NMEPITIA HAPA
Zaburi 90:10:
-"Miaka ya umri wetu ni sabini, au, ikiwa ni nguvu, thelathini na tano; lakini mrefu wake ni uchungu na huzuni, maana huisha kwa haraka, nasi twapita." (Zaburi 90:10)
Haya ni maneno ya daudi nadhani na ni kweli watu wengi tunakufa tukiwa kati ya miaka 35 -70. Na ni kweli

Ila kwa rekodi za haraka watu wengi hawavuki miaka 120. Kwa muda mrefu sasa.

Kama yupo sidhani labda kama hajahesabiwa vizuri umri. Kuna makosa..
Na hilo Mungu alisema kwenye kitabu cha mwanzo maana binadamu walikuwa wanaishi miaka 300+ hadi 900+
Ila wakawa wanamuumiza kichwa sana maana wengine madhambi yalikuwa mengi. So akashusha umri wa kuishi.


Sasa pata picha hadi sasa watu tungekuwa tunaishi miaka mingi hivyo kwa vichwa vibovu vilivyowahi kuwepo hapa duniani ingekuwaje.

Mwanzo 6:3 SRUV

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni mwili; basi siku zake zitakuwa miaka mia moja na ishirini.
 
dhambi nyingi,kunyanyasana, ufuska ungekuwa mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…