Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Wee shika adabu yako mtoto, i repeat uwe na adabu, shut up, January has long ago no public trust kwa matendo yake, mtu wa dili dili tu, hujui kitu ww plus his credentials ni shida tupu, hujui kitu ww mtoto wa jana, i repeat better keep shut
🤣🤣🤣Kwa hiyo mtu mzima hawezi akaongozwa na UONGO NA CHUKI katika kuwachafua wengine ?!!!

Mtu mzima wewe mzalendo haswa ,mjuzi wa mambo tusiyojua wengine unashindwaje kufanya haya:-

1)Kwenda kituo cha Polisi Ukafungua kesi dhidi yake

2)Ukapewa Jalada namba

3)Ikapelekwa mahakamani kusikilizwa na kuhukumiwa.....

If it's not selfish personal attacks then would I not call it a deliberate tarnishing of other people's image ?!!!!

Mtu mzima halahala usije ukanitofoa macho na hiyo bakora yako uliyoiegemea hapo 🤣🤣

#Siempre JMT🙏
 
Matokeo yanatangazwa na tume ya uchaguzi iliyomtangaza hayati JPM baada ya kushinda....unataka tusiiamini TUME na tukuamini wewe KHOISAN?!!!
Ninachokuambia ni kwamba Tume haziaminiki pia. Tumeona mfano mzuri kwa Tume ya Jecha na Tume ya Mahela. Kama wewe unaziamini that's you. Wenzako wameanza reconciliation.
 
January ni kama alivyokuwa Makonda kwa JPM....

Kibaya ni akitumbuliwa hapa ndio kitakuwa kifo chake cha kisiasa..... na akiachwa pia anachafua mamlaka ya uteuzi...
Makonda aliyevamia kituo cha Clouds na mabunduki akionekana kabisa

Makamba kuna ushahidi gani au tuhuma gani zenye chembe ya ushahidi tu ya kumlinganisha na uchafu wa Makonda?

Huyo jamaa kaongea tuhuma gani za maana hapo? Mpina aliongea tuhuma gani ya maana? Kufuta tozo ili bei ishuke?
 
Mama Samia sikio vilio vya watu juu ya huyu dogo Makamba, we told you kuwa huyu jamaa ni Kibaba/mwizi tu na mnafiki kama baba yake,,,,,hafai kwa taifa letu.
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Nilikosa Imani na mwezi wa kwanza kwa kidhungu mara Baada ya kununua ERP ya wahindi kwa billion 70.

Haka kajamaa kajanja kweli kweli
 
Lolote linawezekana.
Na haya ni matokeo ya kurudisha watu walewale waliikuwa kwenye utawala wa JK. 'Mama' angetengeneza mfumo wake.
Au kwa vile bado hajawa Rais, Tusubiri hadi baada ya uchaguzi wa 2025?
Mama yenu anaongozwa na remote Ya msoga
 
Back
Top Bottom