Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Sababu za kumshambulia zinajulikana.......

1)Ukaribu wake na mh.Kikwete(speech writer during Kikwete's tenure) unawatisha sana WATU WANAOMCHUKIA JAKAYA......

2) Exposure yake kubwa ya mambo..... kufikia kuteuliwa tena UWAZIRI inawatisha sana "WACHAWI WANAOJULIKANA" na walio upinzani........

Huo ndio ukweli
Walio upinzani wamhofie January ! nadhani utakuwa umelogwa au umepigwa zongo la kisambaa
 
Huna ukweli wowote....

Kama una ukweli mbona umeshindwa kuweka USHAHIDI juu ya usemacho zaidi ya "ARGUMENTUM AD HOMINEM and tarnishing of other people's image"?!!!

UZUSHI UZANDIKI NA CHUKI HUVIZA MIOYO
Sijui unataka ushahid gani juu ya uadilifu wa January? Haiwezekani Watu wote Hawa wamzushie bila kuwa na ukweli!!! Wewe huwezi kuamini kwasababu you are paid to try and clean him!!
 
Hoja gani katoa? Katoa uthibitisho wowote wa Wizi wa January?

Sukuma gang mna shida sana!
Tunashindwa kuelewana kwa sababu moja tu, bus ulilopanda na mtizamo ambao umeujenga.

Hoja ni moja kwa nini hatakiwi ?? Tunaangalia mustakhabali wa Taifa kwa wote, si maslahi yako binafsi Lord Dening yanagusa kizazi chako kinachofuatwa.

Kama nitakuwa nimeweka vema mkuu.
 
Ungeweka video na kuandika maneno , wengine video huwa atufungui.
 
Issue ndogo tu hiyo, huyo katema nyongo yake live.
Huu upupu umerudishwa ni tabu tu tutatawaliwa mpk na vitukuu vyao.
Huyo waziri bila baba yake hata hapo pumbuli hafai.
Kasoma sana kasoma wapi? intelligent sijui nini ndio mana tunaonekana mafwala tu.
Jitu linabeba mavitabu meengi linakuja mahakamani kuzugazuga mara mnambatiza sijui wakili msomi.
Wasomi km wasomi wachache sana hapo kwetu na maybe hawapo.
Kusoma ni uelewa.
Huyo bwamdogo kapewa hiyo Wizara tutegemee nini?
Anapiga hela agombee urais 2025.
Tutaongea mengi sana ila picha iliyoko mbele sio nzuri.
RIP JPM🙏.
 
Sijui unataka ushahid gani juu ya uadilifu wa January? Haiwezekani Watu wote Hawa wamzushie bila kuwa na ukweli!!! Wewe huwezi kuamini kwasababu you are paid to try and clean him!!

Sukuma gang sio watu wote. Hii ishu mmeifanya personal sana. Kama huyu raia hapo anaita mtu mwizi hivi akiambiwa atoe ushahidi atatoa?
 
Issue ndogo tu hiyo, huyo katema nyongo yake live.
Huu upupu umerudishwa ni tabu tu tutatawaliwa mpk na vitukuu vyao.
Huyo waziri bila baba yake hata hapo pumbuli hafai.
Kasoma sana kasoma wapi? intelligent sijui nini ndio mana tunaonekana mafwala tu.
Jitu linabeba mavitabu meengi linakuja mahakamani kuzugazuga mara mnambatiza sijui wakili msomi.
Wasomi km wasomi wachache sana hapo kwetu na maybe hawapo.
Kusoma ni uelewa.
Huyo bwamdogo kapewa hiyo Wizara tutegemee nini?
Anapiga hela agombee urais 2025.
Tutaongea mengi sana ila picha iliyoko mbele sio nzuri.
RIP JPM🙏.
Tutaliwa mpaka na nywele nazo zitaliwa.
 
Back
Top Bottom