Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Chadema mmeanza kuwaandama CCM na mavideo yenu duuuuuuuuuuuuuuu MakambΓ  huko uliko imesikia mi siongezi kitu ila Napa ndisha sauti ya redio yangu hello Mr. Smart have you heard a certain creature dusting your credibility here please come and scold him a heavy scolding on his foreface so as he to be an exemplary to others to stop chewing your name and pour the sour saliva,I sink you understandingiiiiii, ok sank you!!!
Hivi chadema tu ndiyo wanaoteseka na mgao wa umeme?
 
Nilishawahi kusema humu. Hata kukatikakatika umeme ni janjajanja ya Makamba na familia ya mzee wa Msoga ili wauze mafuta. Baada ya maneno umeme ulitulia angalau maumivu yamepungua. Makamba ana unafiki sana ndani yake ni mtu mwenye hila ndani yake. Hana uzalendo kwa nchi yake anajiangalia yeye tu na marafiki zake. Kaleman aliondolewa hii wizara kwa Makamba kulipwa fadhila lakini matendo yake ni ya kishetani ndomaana Magufuli alimgundua mapema akampeleka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira sehemu ambayo hata asingesikika anafanya nini. Baadae alitumbuliwa.. Tuondolee huu uchafu pale Nishati
 
Makamba anashughulikiwa sana. Mimi binafsi sijawahi kuamini ni kiongozi bora sababu naamini si mtu mwenye msimamo isipokuwa ukigusa maslahi yake binafsi.

Si mtu wa kukemea rushwa pasi na woga. Si mtu aliye tayari hata urafiki/undugu ufe kwa maslahi ya Taifa! Ni rafiki mwaminifu!

Lakini pia mashambulizi anayopigwa kila kona, ndani ya CCM hadi nje yanafikirisha sana. Why him all times? Enzi za JK pia alikula sana spana! Hata utawala huu itafikia sehemu kupunguza kelele atapumzishwa!
 
Ila sukuma gang wanateseka sana, poleni lakini ndio maisha yalivyo maana hata nyie mlipokua madrakani kuna watu walipata tabu sana , kila jambo na wakati wake , tulieni tu sindano iingie.
 
Mkuu nishati ya umeme ni very sensitive, ukiharibu hapo umeharibu uzalishaji kwa asilimia 90, unataka tuendelee kudidimia kimaisha kisa tu mtoto wa fulani kabebwa na hana uwezo wa kuendesha wizara watu wakae kimya?

Hili suala si la Sukuma gang, chadema wala ccm ni consequences kwa watanzania wote na hasa wa daraja la chini.
Alichoharibu nini Kwa mfano?!?
Maana kutwa watu wanamsagia kunguni!

Akitoka atakayekuja ndiyo hatokata umeme?? Hatotoza Kodi za majengo!?
Kama wataalam wamesema mitambo imekuwa chakavu inahitaji kurekebishwa, Sisi kina nani??
Wizara zote mwenye nguvu ni PS hawa mawaziri ni watu Tu wa kuonekana mbele
 
Nilishawahi kusema humu. Hata kukatikakatika umeme ni janjajanja ya Makamba na familia ya mzee wa Msoga ili wauze mafuta. Baada ya maneno umeme ulitulia angalau maumivu yamepungua. Makamba ana unafiki sana ndani yake ni mtu mwenye hila ndani yake. Hana uzalendo kwa nchi yake anajiangalia yeye tu na marafiki zake. Kaleman aliondolewa hii wizara kwa Makamba kulipwa fadhila lakini matendo yake ni ya kishetani ndomaana Magufuli alimgundua mapema akampeleka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira sehemu ambayo hata asingesikika anafanya nini. Baadae alitumbuliwa.. Tuondolee huu uchafu pale Nishati
SHETANI HILO.... UKOO WA MIZOGA FC.

KWANZA NI BINADAMU YULE?
 
Lafudhi says all.Hakuna ushahidi bali majungu.Link na Mpina ndio ime expose yote.Hayati Magufuli amefariki .Watu lazima wakubali ukweli.
 
Ila sukuma gang wanateseka sana, poleni lakini ndio maisha yalivyo maana hata nyie mlipokua madrakani kuna watu walipata tabu sana , kila jambo na wakati wake , tulieni tu sindano iingie.
Ukiona mtu anashadidia ubaguzi kwa misingi ya ukabila na udini,ujue kichwani ni mufilisi.
Hii tabia ya kuanza kubaguana kwa misingi ya ukabila isipokemewa itaipeleka nchi pabaya.
Na kwa bahati mbaya sana sioni jitihada za makusudi za kukemea tabia hii, tukiicha ikaota mizizi itaja tughalimu pakubwa.
Wahenga walisema
Ni heri kuzuia kuliko kuponya na usipoziba ufa utajenga ukuta.
 
Kama anaharibu lazima tuseme, kwa nini hajasakamwa Nape, Jenista, Ndalichako, Jaffo, Makame, Masauni nk, why only Makamba jiulize, tatizo kujifanya smart na mjuaji kuliko wengine ndo tatizo, kujifanya wewe ndo msomi na muelewa kuliko wote ndo shida, akiendelea tutamsakama mpaka mwisho akijirekebisha tutamwacha!

Tatizo lako na la Mpina wote mmejikita kwenye chuki.
 
Huyo ana lafudhi ya kisukuma, dereva wa Luhaga Mpina, anadhani hatumjui
Kwani kaongea kwa kujificha ili useme kwani humjui?.Mtu katoa maoni yake wazi wazi alafu wewe unataka kuleta vitu visivyoendana na alichokisema.
 
Akitoka atakayekuja ndiyo hatokata umeme?? Hatotoza Kodi za majengo!?
Kama wataalam wamesema mitambo imekuwa chakavu inahitaji kurekebishwa, Sisi kina nani??
Aise! Kwa hiyo huna uhalali wala sababu ya kuhoji chochote kama mTanzania mlipa kodi.? Au wewe mrundi?
 
Bado mnaendeleza ujinga wenu wa enzi ya Magufuli; pale mnapoambiwa ukweli mnakimbilia kusema mnaandamwa!! Kwanini hamjibu hoja kwa hoja kumtetea huyo Makamba kama anaonewa? Wanaoumia na utendaji hafifu wa January ni wananchi wa vyama vyote kwanini mnakimbilia kulaumuChadema wakati wanaoumia wamo wana ccm wanaolalamika pia?
Hawana uwezo wakujibu hoja ndo maana wanakimbilia kuhamisha magoli.
 
Ukiona mtu anashadidia ubaguzi kwa misingi ya ukabila na udini,ujue kichwani ni mufilisi.
Hii tabia ya kuanza kubaguana kwa misingi ya ukabila isipokemewa itaipeleka nchi pabaya.
Na kwa bahati mbaya sana sioni jitihada za makusudi za kukemea tabia hii, tukiicha ikaota mizizi itaja tughalimu pakubwa.
Wahenga walisema
Ni heri kuzuia kuliko kuponya na usipoziba ufa utajenga ukuta.
wao wanavyohangaika kumsema mama yao na kumkashifu nani anawakemea? zama zao zilishapita waendelezde kujiliza liza tu kama mazuzu nasema tena poleni sana kwa kufiwa.
 
Back
Top Bottom