love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Wewe marope NECTA walishakuanika huna pakujificha.Umekuwa MPAYUKAJI ...
Yaani hayati JPM aliyekuwa anapambana dhidi ya WEZI ,WABADHIRIFU NA WAFOJAJI VYETI VYA TAALUMA aamue kumteua uwaziri mh.J.Makamba?!!!
Umejawa na stress usiku huu wa manane 🤣🤣
Ulipewa nafasi ya upendeleo kama ya bashite,
umepewa lift unatak upige na honi wewe ni mwizi marope.
Na sasa ndio unazihirisha huna akili kila kitu kimekushinda.