Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Mnaotaka ushahidi kwamba makamba ni mwizi, ulizeni mama zenu je? Huyo unayemuita baba ni baba yako kweli? Akisema ndio, muulize nipe ushahidi.
 
Mnaotaka ushahidi kwamba makamba ni mwizi, ulizeni mama zenu je? Huyo unayemuita baba ni baba yako kweli? Akisema ndio, muulize nipe ushahidi.
Hoja ni MAKAMBA....wazazi wasiohusika wanakujaje hapa ?!!!

Isn't it insanity?!!!

Lete ushahidi ili zisiwe ni POROJO NA CHUKI ZA KIZWAZWA......
 
Wapi nimetamka neno hilo "sukuma gang"?!??😳😳

Umeombwa utoe USHAHIDI wa kuhusika kwake na hizo KADHIA...umeshindwa kuutoa kwa kuwa HAUPO.... HUNA kabisa......
Ushahidi kwamba wewe ni Jaji Tiganga?😃😃.
Acha hizo, wewe si mahakama wala si chochote.
 
Ushahidi kwamba wewe ni Jaji Tiganga?😃😃.
Acha hizo, wewe si mahakama wala si chochote.
😳🤣🤣
Inakuwaje unatuletea hapa mambo ya mahakamani ?!!!

Vituo vya polisi na mahakama huvijui ukaupeleka huo USHAHIDI?!!!

Acha usakala mzushi wewe
 
Una ugonjwa wa kusahau ulichoandika mwenyewe?!!!!

Umewaingiza wazazi....ama wao ndio MAKAMBA?!!!

Lete ushahidi na uache porojo za usiku mwingi......

CHUKI HUVIZA MIOYO
We jamaa bwana, we ulinitukana mie ni sakala, lakini hakuna mahala nimetukana mtu, nimekuuliza nimetukana wapi? Unabaki kuandika nonsense, kama umeshindwa kuthibisha hilo pls, endelea na issue zako..
 
We jamaa bwana, we ulinitukana mie ni sakala, lakini hakuna mahala nimetukana mtu, nimekuuliza nimetukana wapi? Unabaki kuandika nonsense, kama umeshindwa kuthibisha hilo pls, endelea na issue zako..
Kwani nimekufata PM ?!!! 😳🤣🤣
 
😳😳🤣🤣
Yaani ushahidi wako ni kutoka kwa dada Mange ambaye "ana issue" inayomtia chuki dhidi ya January na dada Mwamvita?!!!

Kweli wewe U SAKALA🤣🤣🤣
NECTA waliomfutia matokeo walikuwa na chuki naye huyo marope..???
 
😳😳🤣🤣
Yaani ushahidi wako ni kutoka kwa dada Mange ambaye "ana issue" inayomtia chuki dhidi ya January na dada Mwamvita?!!!

Kweli wewe U SAKALA🤣🤣🤣
Chuki ipi? Hebu nambie wana chuki ipi? Nipe ushahidi wana chuki ipi.
 
Back
Top Bottom