smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Stive nyerere nae hajaachwa , kala spana ya utosi, ngosha wa wapi huyu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Stive nyerere nae hajaachwa , kala spana ya utosi, ngosha wa wapi huyu ?
Wewe nakujua, ni chawa wa vitengo mbalimbali, unatupwa huku ,unapelekwa kule maisha yanaendelea.Atakuwa ni MTOTO MDOGO wa kukumbushwa jambo moja mara ELFU.......
Ushahidi hana SAKALA huyo......
Kuna uthibitisho wowote hapo? Aliwai pelekwa polisi? Aliwai shtakiwa mahakama yeyote? Aliwai fungwa na mahakama yeyote?
Atakuwa mjinga mwenzao kalemani na MpinaNawe ukatibu muhtasi wa nani aliyekupa nguvu ya kumshambulia mtu na kumchafulia HESHIMA yake ?!!!
Unanijulia wapi sakala wewe?!!!Wewe nakujua, ni chawa wa vitengo mbalimbali, unatupwa huku ,unapelekwa kule maisha yanaendelea.
Nani aliyemshambulia, watz wanatoa maoni na mitazamo yao juu ya wizara husika hadi wanajirekodi clip, halafu unaniambia mimi nashambulia.?Nawe ukatibu muhtasi wa nani aliyekupa nguvu ya kumshambulia mtu na kumchafulia HESHIMA yake ?!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Japokuwa jamaa hoja zake ni nyepesi ila nimecheka sana anavyoongea! Wasukuma nyinyi! [emoji3]
Hata wewe unaweza kujirekodi! Kwani kujirekodi shida?Nani aliyemshambulia, watz wanatoa maoni na mitazamo yao juu ya wizara husika hadi wanajirekodi clip, halafu unaniambia mimi nashambulia.?
Then mnaita sukuma gang, Waziri mzigo anafukarisha watanzania a'step down!
Kwa iyo tuamini upuuzi wenu mnaoleta humu kwa chuki na uzandiki wenu tu?He has to go, nyie mnaotaka ushahidi humu JF, hivi zinawatosha?? nyie mahakama?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapi nimetamka neno hilo "sukuma gang"?!??😳😳Nani aliyemshambulia, watz wanatoa maoni na mitazamo yao juu ya wizara husika hadi wanajirekodi clip, halafu unaniambia mimi nashambulia.?
Then mnaita sukuma gang, Waziri mzigo anafukarisha watanzania a'step down!
Wewe Rebecca zinazokutosha vyema unapomtuhumu mtu ni lazima uwe na USHAHIDI...kwani umeupeleka mahakamani ama umetuletea tuhuma hapa HADHARANI ?!!!He has to go, nyie mnaotaka ushahidi humu JF, hivi zinawatosha?? nyie mahakama?
😍Kwa iyo tuamini upuuzi wenu mnaoleta humu kwa chuki na uzandiki wenu tu?
Wamejaa POROJO tu.....Kuna uthibitisho wowote hapo? Aliwai pelekwa polisi? Aliwai shtakiwa mahakama yeyote? Aliwai fungwa na mahakama yeyote?
Ngosha acha maneno! Weka ushahidi wa wizi na upigaji wa January Makamba
Na chuki na uzandiki! Wameombwa uthibitisho tu wamekimbia woteWamejaa POROJO tu.....
Wewe uliskia wapi ccm wanapelekana policeKuna uthibitisho wowote hapo? Aliwai pelekwa polisi? Aliwai shtakiwa mahakama yeyote? Aliwai fungwa na mahakama yeyote?
🤣🤣Wametoka "mkuku"......Na chuki na uzandiki! Wameombwa uthibitisho tu wamekimbia wote
Kuna uthibitisho gani hapo?Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la...www.jamiiforums.com