Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Mnaweza kupuuzia maneno ya huyu bwana lakini you will be doing it at your own peril!! Huyu January ana history ya kutokuwa muaminifu; kama mnakumbuka mara ya kwanza alipokuwa anaomba ubunge dada lake Mwanvita alikuwa na bwana Mzungu. January alimuandikia barua shemeji yake amtafutie mkopo wa fedha kama dollar million moja zimsaidie kwenye Uchaguzi na ANGEZILIPA BAADA YA YEYE KUTEULIWA KUWA WAZIRI WA MADINI BAADA YA UCHAGUZI!!

HAYA SIO MAJUNGU JAMANI HATUMSINGIZII JANUARY, COPY YA ILE BARUA IMO MWENYE ARCHIVES ZA JF; WAHUSIKA WAKITAKA WANAWEZA KUIWEKA HAPA kwani ilibandikwa hapa wakati huo.
Jameni. Hebu acheni utani juu ya nchi hii.

Hiki ulichoandika hapa kina ukweli wowote, halafu ikawa kweli akaukwaa uwaziri?

Taarifa ya namna hii wateuzi wake hawakuiona, au waliiona na kuipuuza?

Hii JF sasa inakuja na kila aina ya uchafu, huwezi kujua kipi uamini na kipi usiamini.

This is completely out of whack!

Ni vigumu sana kuamini kitu kama hiki kutokea, pamoja na kwamba tumekuwa nchi ya hovyo kupita kiasi.

Hata hivyo, inanibidi tu kukupa 'Like', kwa mstari wako huo wa mwisho.
 
Jameni. Hebu acheni utani juu ya nchi hii.

Hiki ulichoandika hapa kina ukweli wowote, halafu ikawa kweli akaukwaa uwaziri?

Taarifa ya namna hii wateuzi wake hawakuiona, au waliiona na kuipuuza?

Hii JF sasa inakuja na kila aina ya uchafu, huwezi kujua kipi uamini na kipi usiamini.

This is completely out of whack!

Ni vigumu sana kuamini kitu kama hiki kutokea, pamoja na kwamba tumekuwa nchi ya hovyo kupita kiasi.
😍
 
Jameni. Hebu acheni utani juu ya nchi hii.

Hiki ulichoandika hapa kina ukweli wowote, halafu ikawa kweli akaukwaa uwaziri?

Taarifa ya namna hii wateuzi wake hawakuiona, au waliiona na kuipuuza?

Hii JF sasa inakuja na kila aina ya uchafu, huwezi kujua kipi uamini na kipi usiamini.

This is completely out of whack!

Ni vigumu sana kuamini kitu kama hiki kutokea, pamoja na kwamba tumekuwa nchi ya hovyo kupita kiasi.
Kweli UCHAFU umezidi JF....

#Siempre JMT🙏
 
Kwa iyo tuamini upuuzi wenu mnaoleta humu kwa chuki na uzandiki wenu tu?
We ni aina ya mtu, wajanja wanamt¤mb* mkeo, watu wakikuambia unawauliza wakupe ushahidi.

Umefunga kichwa chako, yaani umeweka na pattern kabisa kwamba haupo tayari kukubaliana na hoja kinzani.

Sasa unatupotezea muda na nguvu bure, namna bora ya kuhakikisha kama jambo ni kweli ni kuanza we mwenyewe kulichunguza na kujiridhisha, sio unakomaa tu, ushahidi, ushahidi..

Serikali inapojifanya haioni yanayoendelea kinachofuata ni wananchi kuingilia kati na kujiridhisha kwa kufanya uchunguzi wao binafsi, na wananchi wanapoingilia jua kabisa kuna mengi yatasemwa kwa sababu ni wananchi na hawatumii utaratibu maalumu kama kamati maalumu.

Usifikiri watu ni wajinga, Magu alikuwa hoi anaumwa anakaribia kukata roho, watu walisema Mh yupo hoi, wakakamatwa eti wanasema uongo na uzushi, mshamba kama wewe ungewahoji ushahidi, lakini walikuwa sahihi na ndicho kilichotokea, kwaa hio usifikiri mtaani hawajui yanayoendelea.

Unashangaza sana, na unatia hasira watu.

Watafutaji wanajua changamoto wanayokutana nayo, watu wenye miradi yao na wanaojua kuitafuta pesa kihalali hujui uchungu walionao.

Wewe kama huishi kwa shemeji yako utakua huna hata kazi.

Unaongea rubbish watua wanakushangaa.

Ushahidi, ushaahidi, mwisho utamuuliza mama yako mzazi akupe ushahidi kama huyo ni baba yako mzazi.
 
Kuna uthibitisho gani hapo?

Kesi ilishawai funguliwa kituo gani cha polisi? Ikapewa no ipi? Ikasikilizwa mahakama ipi na akahukumiwa na mahakama ipi?

Hizo clip kila mtu anaweza kurekodi na kutuma popote!
Hili jambazi lililofutiwa matokeo na Necta ndio mnaliombea uthibitsho au!!!?
Limeweza kuiba mtihani liko shule sembuse likiwa waziri..
 
We ni aina ya mtu, wajanja wanamt¤mb* mkeo, watu wakikuambia unawauliza wakupe ushahidi.

Umefunga kichwa chako, yaani umeweka na pattern kabisa kwamba haupo tayari kukubaliana na hoja kinzani.

Sasa unatupotezea muda na nguvu bure, namna bora ya kuhakikisha kama jambo ni kweli ni kuanza we mwenyewe kulichunguza na kujiridhisha, sio unakomaa tu, ushahidi, ushahidi..

Serikali inapojifanya haioni yanayoendelea kinachofuata ni wananchi kuingilia kati na kujiridhisha kwa kufanya uchunguzi wao binafsi, na wananchi wanapoingilia jua kabisa kuna mengi yatasemwa kwa sababu ni wananchi na hawatumii utaratibu maalumu kama kamati maalumu.

Usifikiri watu ni wajinga, Magu alikuwa hoi anaumwa anakaribia kukata roho, watu walisema Mh yupo hoi, wakakamatwa eti wanasema uongo na uzushi, mshamba kama wewe ungewahoji ushahidi, lakini walikuwa sahihi na ndicho kilichotokea, kwaa hio usifikiri mtaani hawajui yanayoendelea.

Unashangaza sana, na unatia hasira watu.

Watafutaji wanajua changamoto wanayokutana nayo, watu wenye miradi yao na wanaojua kuitafuta pesa kihalali hujui uchungu walionao.

Wewe kama huishi kwa shemeji yako utakua huna hata kazi.

Unaongea rubbish watua wanakushangaa.

Ushahidi, ushaahidi, mwisho utamuuliza mama yako mzazi akupe ushahidi kama huyo ni baba yako mzazi.
Acha matusi sakala wewe....

Kama una uchungu hebu JILIPUE peke yako basi......

WEKA USHAHIDI ili tujue sio porojo.....
 
Aiseee, ila haya maneno si ya kupuuza aisee, Mh. Rais amchunge sana January kiukweli
Atamchunga vipi kama kawekwa hapo kwa maksudi hayo hayo!

Tunapenda sana kuvihusisha vitendo vya aina hii na wateuliwa, kumbe wateuzi ndio wanaojua sabau za kuwateuwa watu kama hao kwenye maeneo kama hayo.
Mnufaika mkuu siyo lazima awe Makamba mwenyewe.
 
Hivi hawezekani kabisa kuwa kiongozi usiye na Tuhuma, Wizi, janja janja, unafiki, kujipendekeza na kuwa mtumishi wa haki tu?
 
Back
Top Bottom