Ngosha acha maneno! Nipe ushahidi wa wizi wa January Makamba
Wewe mkwere unataka ushahidi gani tena? Ndio maana unaitwa kifuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngosha acha maneno! Nipe ushahidi wa wizi wa January Makamba
Umeona sasa? Jk ameingiaje hapa? Kwa takwimu zipi Unasema jk alikuwa Rais mbovu?Magu alikuwa bora 1000 time ukianzia mwnyi hadi Jk
Jk alikuwa raisi mbuvu haijapata kutokea nchi ilikiwa shamba lala bibi
Ndio hapa utasikia sukuma gang, badala ya kujibu hoja..umeme ni kitu muhimu kwa afya ya taifa.Na kwa nini chuki ielekezwe kwake na sio kiongozi mwingine?? 😊😊😴😴😴🤔🤔🤨
Acha maneno weka uthibitisho wa wizi upigaji wa January?Mkuu nishati ya umeme ni very sensitive, ukiharibu hapo umeharibu uzalishaji kwa asilimia 90, unataka tuendelee kudidimia kimaisha kisa tu mtoto wa fulani kabebwa na hana uwezo wa kuendesha wizara watu wakae kimya?
Hili suala si la Sukuma gang, chadema wala ccm ni consequences kwa watanzania wote na hasa wa daraja la chini.
😳🤣🤣Magu alikuwa bora 1000 time ukianzia mwnyi hadi Jk
Jk alikuwa raisi mbuvu haijapata kutokea nchi ilikiwa shamba lala bibi
Wewe unaugonjwa wa kusahau kama hauna ugojwa utakuwa ni mtoto sana haujua janja janja ya makamba toka enzi za jk ngoja tufukue makaburi ya enzi za jkMimi sio mpuuzi kaka nyie wa kuamini stori za vijiweni
Mimi Pia sio mfuasi wa siasa za chuki na za uzandiki za huyo Magufuli! Ndo mana nilitofautiana nae humu baada ya jaribio la kuuliwa la Tundu Lissu na kupotea kwa Ben Saanane!
Ukiniambia fulani ni mwizi nipe uthibitisho wa wizi wake, ukisema fulani ni mpiga dili nipe uthibitisho wa upiga dili wake hapo ndo tutaenda sawa
Zaidi naona unapiga maneno tu huna hoja yeyote ya msingi juu ya January Makamba
Eti patheticNdio hapa utasikia sukuma gang, badala ya kujibu hoja..umeme ni kitu muhimu kwa afya ya taifa.
Siasa zimewapofua macho sasa kila mtu anayejaribu kukosoa utendaji wa wizara anaitwa sukuma gang.
Pathetic.
Umejibu karibu comments zote zinazomkosoa JanuaryAcha maneno weka uthibitisho wa wizi upigaji wa January?
Jk na makamba ni kidole na pete, thats the chain.Umeona sasa? Jk ameingiaje hapa? Kwa takwimu zipi Unasema jk alikuwa Rais mbovu?
Unazidi kuhamisha tu magoli! Jk anaingiaje kwenye mjadala wa Makamba?
Mkiambiwa sukuma gang hamna akili ni wapuuzi mliojaa chuki na uzandiki mtakaa?
Atakuwa ni MTOTO MDOGO wa kukumbushwa jambo moja mara ELFU.......Acha maneno weka uthibitisho wa wizi upigaji wa January?
Ngosha acha maneno! Weka ushahidi wa wizi na upigaji wa January MakambaWewe unaugonjwa wa kusahau kama hauna ugojwa utakuwa ni mtoto sana haujua janja janja ya makamba toka enzi za jk ngoja tufukue makaburi ya enzi za jk
Kumbe jambo halijatokea kinyume chake unatuletea POROJO tu?!!!
Ramli yako INAKUDANGANYA.....
Katibu mukhtasi wa Jamaa huyo, lazima asimamie propaganda.Umejibu karibu comments zote zinazomkosoa January
Sio bure, hakuna kazi ya bure duniani. Naelewa
Hahahahaha, dogo wapi milembeJk na makamba ni kidole na pete, thats the chain.
Huwezi watengenisha hawa kwenye michongo ya kuhujumu Taifa.
Kumbe unamshambulia MAKAMBA kwa kupata kuwa karibu na mh.Kikwete katika kazi yake ya "SPEECH WRITING"?!!!😳🤣🤣Jk na makamba ni kidole na pete, thats the chain.
Huwezi watengenisha hawa kwenye michongo ya kuhujumu Taifa.
Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadiKama wewe mwenyewe unadai iundwe e tume that means huna ushahidi kwa nini unamuita mwizi na mpiga dili?
Shwaini kabisa
Lazima nitajibu kuwaumbua nyie wapuuzi mnaoendeshwa na chuki, wivu, uzandiki na roho mbayaUmejibu karibu comments zote zinazomkosoa January
Sio bure, hakuna kazi ya bure duniani. Naelewa
Nawe ukatibu muhtasi wa nani aliyekupa nguvu ya kumshambulia mtu na kumchafulia HESHIMA yake ?!!!Katibu mukhtasi wa Jamaa huyo, lazima asimamie propaganda.