Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Wewe utakuwa ni mtoto haujui history ya siasa ya nchi hii hakuna watu ambao walikuwa na kiburi na wezi katika nchi hii kama makamba, nape,rizi1 n.k enzi za Jk magu akaja kawakata midogo
Mama amewarudisha tena moto kwa wananchi lazime uwake na tumeanza kuona
Mimi sio mpuuzi kaka nyie wa kuamini stori za vijiweni

Mimi Pia sio mfuasi wa siasa za chuki na za uzandiki za huyo Magufuli! Ndo mana nilitofautiana nae humu baada ya jaribio la kuuliwa la Tundu Lissu na kupotea kwa Ben Saanane!

Ukiniambia fulani ni mwizi nipe uthibitisho wa wizi wake, ukisema fulani ni mpiga dili nipe uthibitisho wa upiga dili wake hapo ndo tutaenda sawa

Zaidi naona unapiga maneno tu huna hoja yeyote ya msingi juu ya January Makamba
 
Clip nimeisikiliza!

Huyo nae amepayuka tu sukuma gang mwenzenu , hajatoa ushahidi wowote

Wewe sasa nipe ushahidi na uthibitisho wa wizi wa January Makamba
Ushahidi ni kuruhusu waunde tume huru ichunguze hizo allegations zinazotupwa kwa huyu waziri mzigo, ikiundwa kama ile ya Mwakyembe dhidi ya Richmond tutakimbiana hapa jukwaani.
 
🤣🤣Kaishia kutaka KUROGA watu.....hana huo ushahidi....kifua kimemjaa tu CHUKI+CHOYO kwa wengine......
Wanatia huruma hawa watu kwa Kweli! They are so desperate kuangusha nyota za wenzao wa siasa mfu

Kweli ukichaa ni kipaji
 
Hata Magufuli alipokuwa anakosolewa wapambe wake walisema chuki kumbe alikuwa anaficha ufisadi wake!! Safari hii hatuwaachii kwani Magufuli katufunua macho kuwa nyie wahuni ni washenzi hamna uzalendo!!
😳😳
Mhuni ni wewe UNAYEMTUHUMU mtu bila ya ushahidi.....

Kataa kuwa wewe si mhuni kwa KUULETA HUO USHAHIDI......
 
Ushahidi ni kuruhusu waunde tume huru ichunguze hizo allegations zinazotupwa kwa huyu waziri mzigo, ikiundwa kama ile ya Mwakyembe dhidi ya Richmond tutakimbiana hapa jukwaani.
Kwa Hiyo wewe unaemuita mwizi kumbe huna ushahidi na Unasema iundwe tume?😂😂😂

Kweli ujinga ni kipaji
 
Clip nimeisikiliza!

Huyo nae amepayuka tu sukuma gang mwenzenu , hajatoa ushahidi wowote

Wewe sasa nipe ushahidi na uthibitisho wa wizi wa January Makamba

January ana tatizo la UADILIFU wake na ushahidi upo TOKA alipoomba mkopo toka kwa shemejie bwana wake Mwanvita ambapo aliahidi angelipa deni baada ya yeye kuchaguliwa ubunge na kuwa waziri wa madini!!! Barua hiyo utaiona punde imebandikwa hapa kwani ililetwa humu humu JF!! Najua lazıma mtakuja na kisingizio kingine kwani nyie Ukoo wa wahuni hamkosi mahala pa kujificha!
 
January ana tatizo la UADILIFU wake na ushahidi upo TOKA alipoomba mkopo toka kwa shemejie bwana wake Mwanvita ambapo aliahidi angelipa deni baada ya yeye kuchaguliwa ubunge na kuwa waziri wa madini!!! Barua hiyo utaiona punde imebandikwa hapa kwani ililetwa humu humu JF!! Najua lazıma mtakuja na kisingizio kingine kwani niye Ukoo wa wahuni hamkosi mahala pa kujificha!
Ngosha acha maneno! Nipe ushahidi wa wizi wa January Makamba
 
Sipo humu kumkingia kifua mtu ! Kama ana makosa nae ntampa makavu

Sipendi sana mtu kuonewa kwa sababu ya chuki na uzandiki tu!

Mnachofanya sukuma gang ni kuzidi kutuonesha kuwa kwa namna gani tulikosea nyie kuwa na madaraka nchini

Mmejaa chuki, wivu, roho mbaya na uzandiki! Badilikeni maana mnazidi kujidhalilisha kwa Jinsi mnavyomuandama mtu ambaye hana makosa yeyote!


Wewe una uhakika gani kwamba hana makosa yoyote?...

umekazania SUKUMA GANG SUKUMA GANG ,

hivi unafahamu kwamba huyo mtu wako scandals zake zilianza hata kabla ya hiyo so called SUKUMA GANG kuwepo?
 
Wanatia huruma hawa watu kwa Kweli! They are so desperate kuangusha nyota za wenzao wa siasa mfu

Kweli ukichaa ni kipaji
Vitanda vitakuwa vimejaa pale " WARD 14 ACUTE "Mirembe Hospitali.....wengine "wamemwagika" huku mitaani......
 
This is beyond belief!
Hivi nchi hii hakuna matatizo mengine isipokuwa huyo Marope!?

Hii smear campaign nafikiri wana fund mawaziri wenzake, ili jamii isiangalie utendaji kazi wa Waziri mwingine yeyote!
Au January mwenyewe, ili awe kila siku anazungumzwa na watu!

Personally, nimechokaaah kuona nyuzi zake! Inakinaisha!

Luhaga kajaribu kupitia anamotembelea Marope, kaambulia kupigwa na vitu vizito visivyo na ncha!
Mkuu nishati ya umeme ni very sensitive, ukiharibu hapo umeharibu uzalishaji kwa asilimia 90, unataka tuendelee kudidimia kimaisha kisa tu mtoto wa fulani kabebwa na hana uwezo wa kuendesha wizara watu wakae kimya?

Hili suala si la Sukuma gang, chadema wala ccm ni consequences kwa watanzania wote na hasa wa daraja la chini.
 
Back
Top Bottom