Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hata WACHINA wakileta ushahidi kuwa ulikamatwa na NGADA bado mtabisha kwani nyie ni criminal syndicate hamkubali kitu!!!
Huo ushahidi unao ?!!!

Mbona unatuongelea tu mambo ya hisia za kufurahisha moyo wako?!!!
 
Hiyo clip umeisikiliza vizuri? Au umeziba macho na masikio?
Clip nimeisikiliza!

Huyo nae amepayuka tu sukuma gang mwenzenu , hajatoa ushahidi wowote

Wewe sasa nipe ushahidi na uthibitisho wa wizi wa January Makamba
 
Hakuna shida
Wewe nipe ushahidi wa wizi wa January Makamba!

Tusizunguke mbuyu
Wewe utakuwa ni mtoto haujui history ya siasa ya nchi hii hakuna watu ambao walikuwa na kiburi na wezi katika nchi hii kama makamba, nape,rizi1 n.k enzi za Jk magu akaja kawakata midogo
Mama amewarudisha tena moto kwa wananchi lazime uwake na tumeanza kuona
 
Kila uchao mashambulizi yanaelekezwa kwa huyo ndugu J.Makamba..hapa si BURE.....wamejipanga haswa KUMCHAFUA NA KUMSILIBA ANUKE ila jamaa yuko smart mno upstairs....YOYE ATAYASHINDA NA WATAUMBUKA VIBAYA SANA......

#Siempre JMT🙏
🤣🤣🤣🤣😂 eti yupo smart unamjua makamba wewe
 
Wewe utakuwa ni mtoto haujui history ya siasa ya nchi hii hakuna watu ambao walikuwa na kiburi na wezi katika nchi hii kama makamba, nape,rizi1 n.k enzi za Jk magu akaja kawakata midogo
Mama amewarudisha tena moto kwa wananchi lazime uwake na tumeanza kuona
Mnampangia mh.Rais wa KUWATEUA!??😳😳

Mbona hamkumpangia hayati JPM?!!

Wewe ndio mtoto......
 
This is beyond belief!
Hivi nchi hii hakuna matatizo mengine isipokuwa huyo Marope!?

Hii smear campaign nafikiri wana fund mawaziri wenzake, ili jamii isiangalie utendaji kazi wa Waziri mwingine yeyote!
Au January mwenyewe, ili awe kila siku anazungumzwa na watu!

Personally, nimechokaaah kuona nyuzi zake! Inakinaisha!

Luhaga kajaribu kupitia anamotembelea Marope, kaambulia kupigwa na vitu vizito visivyo na ncha!
 
😳🤣🤣
Acha chuki mkuu.....
Chuki huviza moyo.....

Hata Magufuli alipokuwa anakosolewa wapambe wake walisema chuki kumbe alikuwa anaficha ufisadi wake!! Safari hii hatuwaachii kwani Magufuli katufunua macho kuwa nyie wahuni ni washenzi hamna uzalendo!!
 
Makamba si wa kumchafua hivi....AMESHAZOEA kuchafuliwa na MASAKALA.....

Kweli mti wenye matunda mazuri ndio hupopelewa mawe......

#Siempre JMT🙏

Yeye siyo mti wenye matunda. Ni mti wenye nyoka au kenge. unaopigwa mawe,
 
Back
Top Bottom