Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

Jameni. Hebu acheni utani juu ya nchi hii.

Hiki ulichoandika hapa kina ukweli wowote, halafu ikawa kweli akaukwaa uwaziri?

Taarifa ya namna hii wateuzi wake hawakuiona, au waliiona na kuipuuza?

Hii JF sasa inakuja na kila aina ya uchafu, huwezi kujua kipi uamini na kipi usiamini.

This is completely out of whack!

Ni vigumu sana kuamini kitu kama hiki kutokea, pamoja na kwamba tumekuwa nchi ya hovyo kupita kiasi.

Hata hivyo, inanibidi tu kukupa 'Like', kwa mstari wako huo wa mwisho.

Kumbuka hii ilitokea wakati January ndiyo anagombea ubunge kwa mara ya kwanza sio jana!!! Hakuna uzushi hapa ni kweli tupu!!!
 
Mh.Kikwete hakuliona hilo?!!!


Hayati JPM hakuliona hilo?!!

Mh.Rais SSH hajaliona hilo?!!

Ila sakala wewe umeliona hilo🤣🤣

Pathetic
Hakuliona!!!!? umejisahaulisha kama ulirudia QT...
Huna akili mpaka uibe mtihani marope..
Naona ulipo rudia QT uliboresha mbinu za kuiba tu hukufaulu marope.
 
Kumbuka hii ilitokea wakati January ndiyo anagombea ubunge kwa mara ya kwanza sio jana!!! Hakuna uzushi hapa ni kweli tupu!!!
....halafu ikapita miaka na hayati JPM akamteua UWAZIRI....

Lete ushahidi "tangible" na si POROJO koko
 
Chadema mnafanya siasa za " reja reja" za kupambania watu badala ya maswala!
Wewe hata upewe dawa ya namna gani huwezi kupona!

Ni wazi kabisa sasa kwamba wewe ni mgonjwa.

Huwezi kuwa unaweka utani katika mambo kama haya bila kuwa mgonjwa.
 
Hakuliona!!!!? umejisahaulisha kama uliruida QT...
Huna akili mpaka uibe mtihani marope..
Naona ulipo fanya QT uliboresha mbinu za kuiba hukufaulu marope.
😳😳🤣🤣

Kweli umejawa na STRESS usiku huu.....


Jifunze YOGA itakusaidia mwayego
 
Ndo mana mnaambiwa nyie sukuma gang hamnaga akili na mmejaa ushamba, wivu , chuki na roho mbaya

Eti makamba mwizi! Embu tupe ushahidi Makamba kawai kuiba nini? Alishtakiwa wapi? Alihukumiwa na mahakama ipi?
Usukuma gang umetoka wapi. We mbona unawatetea sana kwenye kila thread. Wanakulipa sh ngapi
 
Kweli UCHAFU umezidi JF....

#Siempre JMT🙏

Mnaita UCHAFU kwavile unawavua nguo lakini ingekuwa anasemwa Magufuli mgekuwa mnashangilia!! Msumeno wa JF unakata kote kote!! Tunataka ukweli utawale ili nchi yetu iendelee.
 
....halafu ikapita miaka na hayati JPM akamteua UWAZIRI....

Lete ushahidi "tangible" na si POROJO koko
Ukiwa unajitetea marope unakumbuka Magufuli kumbe ni hayati
sio mwendakuzimu kama unavyo mwita twitwani...
Wewe Marope ni mwizi NECTA wanakujua.
 
Mnaita UCHAFU kwavile unawavua nguo lakini ingekuwa anasemwa Magufuli mgekuwa mnashangilia!! Msumeno wa JF unakata kote kote!! Tunataka ukweli utawale ili nchi yetu iendelee.
Sijawahi kumshambulia hayati JPM hata siku moja....usinijumuishe katika CHUKI zako za kisakala
 
Kuna haja ya kufanya ya kupaza sauti iwe kwenye mitandao, barabarani, whatever huyu waziri atoke asee..

Kuna umuhimu wa kuanzisha campaign ya kutokuwa na imani na huyu Makamba.
Huyo yupo hapo kwa hisani ya waliomuweka kwa malengo maalum.

Unapoteza lengo unapo lalamikia anayetumwa badala ya kuangalia aliyemtuma anayo malengo gani kwake.
 
....halafu ikapita miaka na hayati JPM akamteua UWAZIRI....

Lete ushahidi "tangible" na si POROJO koko

Magufuli alimteua uwaziri January kutokana na kazi yake na genge lake kwa kuiba kura kidijitari na kuwawezesha ccm kushinda uchaguzi!! Kumbuka Magufuli hakumshinda Lowassa ingawa ndio alitangazwa kushinda; kazi ya kuiba kura kijigitali ilifanywa na wakina January na ndiyo maana walivyoona Magufuli anawadharau wakaanza kuchora CARTOONS kumkumbusha kuwa wao ndiyo waliomuweka madarakani!! Toka hapo ndio uadui wao ukaanza wazi wazi kwani Magufuli aliona kama walikuwa wanamfanyia blackmail!!
 
Magufuli alimteua uwaziri January kutokana na kazi yake na genge lake kwa kuiba kura kidijitari na kuwawezesha ccm kushinda uchaguzi!! Kumbuka Magufuli hakumshinda Lowassa ingawa ndio alitangazwa kushinda; kazi ya kuiba kura kigigitali ilifanywa na wakina January na ndiyo maana walivyoona Magufuli anawadharau wakaanza kuchora CARTOONS kumkumbusha kuwa wao ndiyo waliomuweka madarakani!! Toka hapo ndio uadui wao ukaanza wazi wazi kwani Magufuli aliona kama walikuwa wanamfanyia blackmail!!
Hizo ni story tu....
Kura za vijiji 2015 zuilikuwa za ccm labda 2025.
 
Nawaonea huruma sana sukuma gang!😂😂

Poleni Makamba ndo Waziri wa Nishati na hamna la kumfanya
Kwa hiyo unataka watu waanze kupiga kelele za 'Maza Mizinguo' kuwa ndiye mwizi, hapo ndipo utakapoelewa?

Makamba pamoja na kuwa tapeli yeye mwenyewe, lakini haya yanayofanyika sasa hivi ni kwa niaba ya huyo mama.

Makamba, kama Makamba mwenyewe, hana ubavu wa kufanya hayo anayofanya sasa hivi kimabavubavu vile.
 
Huwezi ukaiba mtihani kama una akili, marope mirembe ni nyumbani kwako.
Umekuwa MPAYUKAJI ...

Yaani hayati JPM aliyekuwa anapambana dhidi ya WEZI ,WABADHIRIFU NA WAFOJAJI VYETI VYA TAALUMA aamue kumteua uwaziri mh.J.Makamba?!!!

Umejawa na stress usiku huu wa manane 🤣🤣
 
Back
Top Bottom