abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Acha ujinga....
Kwako wewe watoto wa Iblis ndio Iblis mwenyewe?!!!
Kwako wewe wafuasi wa Iblis ndio Iblis wenyewe?!!! [emoji15][emoji15]
🤣🤣🤣Kwa hiyo mtu mzima hawezi akaongozwa na UONGO NA CHUKI katika kuwachafua wengine ?!!!Wee shika adabu yako mtoto, i repeat uwe na adabu, shut up, January has long ago no public trust kwa matendo yake, mtu wa dili dili tu, hujui kitu ww plus his credentials ni shida tupu, hujui kitu ww mtoto wa jana, i repeat better keep shut
Nashukuru umekiri kuwa IBLIS ni mmoja tu.....na wengine wanaitwa mashetani watu na majini......Yap,u ar very right
;
We simbilisi huchelewi kuanika tuhuma zenu
Nashukuru umekiri kuwa IBLIS ni mmoja tu.....na wengine wanaitwa mashetani watu na majini......
#Swiyam ul Maqbuul
#Siempre JMT[emoji120]
Ninachokuambia ni kwamba Tume haziaminiki pia. Tumeona mfano mzuri kwa Tume ya Jecha na Tume ya Mahela. Kama wewe unaziamini that's you. Wenzako wameanza reconciliation.Matokeo yanatangazwa na tume ya uchaguzi iliyomtangaza hayati JPM baada ya kushinda....unataka tusiiamini TUME na tukuamini wewe KHOISAN?!!!
😳😳🤣🤣Nan iblis tuanzie hapo
😍Ajibiwe kwa hoja wakati yeye hajatoa ushahidi wowote,
Kila mtu anaweza kutuhumu mtu, sema aliiba nini? wapi?
Makonda aliyevamia kituo cha Clouds na mabunduki akionekana kabisaJanuary ni kama alivyokuwa Makonda kwa JPM....
Kibaya ni akitumbuliwa hapa ndio kitakuwa kifo chake cha kisiasa..... na akiachwa pia anachafua mamlaka ya uteuzi...
Mpinzani wenu kwa sasa CCM ni sukuma Gang sio ChademaKipaji haswaaa.......View attachment 2183172
Mama Samia sikio vilio vya watu juu ya huyu dogo Makamba, we told you kuwa huyu jamaa ni Kibaba/mwizi tu na mnafiki kama baba yake,,,,,hafai kwa taifa letu.
Mama yenu anaongozwa na remote Ya msogaLolote linawezekana.
Na haya ni matokeo ya kurudisha watu walewale waliikuwa kwenye utawala wa JK. 'Mama' angetengeneza mfumo wake.
Au kwa vile bado hajawa Rais, Tusubiri hadi baada ya uchaguzi wa 2025?
Unamjua huyu jamaa?Bob t kola. Haaaaa
[emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Akhui vipi umeshakuwa tena mjadala wa fikra pana za kitabu cha "laa ya massuhu illal muttwahiriiyn"?!!!
Anauawa na watafuta nia ya urais 2030. Wako ccmCCM sioni msafi.
Tumia browser mkuu, hawa developer wa JamiiForums wamefeli kwenye app yao ku'view attachment.Mbona haifunguki
Kuna vikao haviendelei huko, shauri yako.Majungu at work