Hizi sabuni za imperial siku hizi tunapigwa

Hizi sabuni za imperial siku hizi tunapigwa

Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣

View attachment 2212384
Mkuu hilo liko wazi mimi ni mtumiaji sana wahizo sabuni hata harufi ni tofauti. Kuna za UAE, Singapore, Pakstani, South Afrika na nk. Kwa maeneo ya huku unguja zinapatikana sana hizi Asia Material. Hali ni hivo hivo kwa Colgate test inabadilika kwa kila Colgate unayonunua
 
Jina la sabuni hiyo nembo inakuwa ni ya moto ipo kwenye sabuni sio hiyo label,hizo sabuni zinatoka Congo.
 
Mkuu hilo liko wazi mimi ni mtumiaji sana wahizo sabuni hata harufi ni tofauti. Kuna za UAE, Singapore, Pakstani, South Afrika na nk. Kwa maeneo ya huku unguja zinapatikana sana hizi Asia Material. Hali ni hivo hivo kwa Colgate test inabadilika kwa kila Colgate unayonunua
Hata Cocacola ya California ni tofauti na ya Bonite
 
Hizo imperial Leather tokea miaka ya 80 zilikuwa sabuni pendwa za familia, nyingine ni Lifebuoy.
Hiyo Label ni kweli ilikuwa haibanduki hadi unatupa kipisi.
Kwasasa Nina allergy na sabuni zote zenye manukato sizitumii maana zinaniletea Mafua.
Huenda kunafekelo siku hizi
Same nami imperial leather was best of my soap now nikitumia mafua ya hatari nimeamua kutumia protex nyeupe
 
Imperial leather soap zipo aina saba

Screenshot_20220506-081322.png


Hyo iliyofunguliwa ndio imetumika pembeni n shower gel yake

Screenshot_20220506-082157.png


Mpaka lotions zake zipo hvyo body wash na lotion zipo aina saba ukihitaji kwa jumla nicheki.

Mzigo Ni kutoka PZ cussons kiwandani
 
Katoni bei gani bwana chalii? Kubwa na ndogo
Mkuu Imperial sabuni, body wash na lotion zipo kwa jumla niambie unapatikana mkoa gani tuweze kukufikishia.

Ukiwa Arusha na Moshi delivery n free boss wangu.

Karibuni kwa Biashara wandugu.
 
Back
Top Bottom