igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Wewe endelea kuogea sabuni ya magadi huu mjadala haukufai [emoji12][emoji12]ina nini hiyo sabuni cha ziada hata tuijadili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea kuogea sabuni ya magadi huu mjadala haukufai [emoji12][emoji12]ina nini hiyo sabuni cha ziada hata tuijadili?
Wewe endelea kuogea sabuni ya magadi huu mjadala haukufai [emoji12][emoji12]
Bora hizo za magadi au medicated soap kama protex, dettol na nyingine za mfano wake maana za kunukia Sikh hizi zinaleta mafua ya hatariWewe endelea kuogea sabuni ya magadi huu mjadala haukufai [emoji12][emoji12]
Hizi wameanza kupiga mda sanaaaZamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣
View attachment 2212384
Ni mda sana zinatengenezwa mwanza maeneo ya kisesaTangia lini mkuu?
95% ya product tunazouziwa Bongo ni fake. Tutakuwa na wagonjwa wengi sana wa Cancer hapo baadaeZamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣
View attachment 2212384
Ameolewa? Nitumie number yake ya simuMke wangu huyo mkuu