Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
kuna ambazo hata harufu hazina tena yaani full uchina na uchakachuaji, kimsingi brand hiyo ni ya zamani sana na matata kwahiyo wachina lazima waichakachue tu hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongoland kila kitu feki!Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2212384