Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Mkuu hilo liko wazi mimi ni mtumiaji sana wahizo sabuni hata harufi ni tofauti. Kuna za UAE, Singapore, Pakstani, South Afrika na nk. Kwa maeneo ya huku unguja zinapatikana sana hizi Asia Material. Hali ni hivo hivo kwa Colgate test inabadilika kwa kila Colgate unayonunuaZamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣
View attachment 2212384
Mimi napewa na kampuni sinunui mwenyeweKatoni bei gani bwana chalii? Kubwa na ndogo
Mimi napewa na kampuni sinunui mwenyewe
Tangia lini mkuu?Nyingi zinatengenezwa mwanza kiwanda cha lakairo
Hata Cocacola ya California ni tofauti na ya BoniteMkuu hilo liko wazi mimi ni mtumiaji sana wahizo sabuni hata harufi ni tofauti. Kuna za UAE, Singapore, Pakstani, South Afrika na nk. Kwa maeneo ya huku unguja zinapatikana sana hizi Asia Material. Hali ni hivo hivo kwa Colgate test inabadilika kwa kila Colgate unayonunua
Huko kwenu sh ngapi?Toka zimepandiahwa bei gafla nimeachana nazo
Same nami imperial leather was best of my soap now nikitumia mafua ya hatari nimeamua kutumia protex nyeupeHizo imperial Leather tokea miaka ya 80 zilikuwa sabuni pendwa za familia, nyingine ni Lifebuoy.
Hiyo Label ni kweli ilikuwa haibanduki hadi unatupa kipisi.
Kwasasa Nina allergy na sabuni zote zenye manukato sizitumii maana zinaniletea Mafua.
Huenda kunafekelo siku hizi
Mkuu Imperial sabuni, body wash na lotion zipo kwa jumla niambie unapatikana mkoa gani tuweze kukufikishia.Katoni bei gani bwana chalii? Kubwa na ndogo
Mkuu Imperial sabuni, body wash na lotion zipo kwa jumla niambie unapatikana mkoa gani tuweze kukufikishia.
Ukiwa Arusha na Moshi delivery n free boss wangu.
Karibuni kwa Biashara wandugu.
Imperial leather original ni ya Uingereza, sasa vimekuja viwanda fekifeki vinafyatua tuZamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2212384
168k kwa 6dozens ukichukua nyingi tunaongea ili kupata unafuuBei gani katoni?
hata mm nilikuwa naangalia mkono laini na upaja mkuuNilijua tu kuna mtu ataibuka na mada yake tofauti na uzi. Naye ndio huyu 😂
Mke wangu huyo mkuuMkuu una paja na mikono laini sana.
Umeolewa?
Mkeo anashinda sana twitterMke wangu huyo mkuu
my fav soap aisee inanukia poa sanaAngalia imperial leather original ya UK, UAE na SA
View attachment 2213522