Hizi simu mbona bei rahisi hivyo kunani

Hizi simu mbona bei rahisi hivyo kunani

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Habari. Hawa mabwana wanajiita Samsung discount wapo china plaza bei zao ziko chini sana ukilinganisha na maduka mengi yanayo uza simu za kufanana na hizo mpaka nimeshawishi nataka nikachukue Note 10+ lakini ninakuwa na wasiwasi ebu team Samsung nitoeni uwoga na wasiwasi nataka nikaitie petrol 600k yangu
screenshot_20220916-222733-jpg.2359125
Screenshot_20220916-223914.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220916-222733.jpg
    Screenshot_20220916-222733.jpg
    175.3 KB · Views: 194
Ushauri wa buree...achana kabisa na hizo simu utajutaa hakuna mpuuzi ambaye anafanya biashara bila kulenga faidaa...simu za samsung nyingi kwa bei hiyo sio mpyaa ni refub au used ila ukiiona unaweza sema ni mpyaa hadi box wanakupa.
Mimi nimewahinunua Note 10+ 900k kuna jamaa wako pale Mcity simu ilikua mpya kwenye box ila nimetumia almost miezi miwili simu inachemka na ilikuja kuwa na mchezo wa kuzima na kuwaka non stop baada ya kuupdate, Mafundi wote iliwagomea wanasema box lina information tofauti nasimu kwaiyo nilifanyiwa uhuni mpka sasa nimeamua tuu kuifungia kabatini...ukitaka simu nzuri nenda kwa samsung official dealers, hivi vitu vya bei rahisi ni hasara tupu! USIJARIBU Ila kama unataka kuprove kanunue ujionee.
 
Ushauri wa buree...achana kabisa na hizo simu utajutaa hakuna mpuuzi ambaye anafanya biashara bila kulenga faidaa...simu za samsung nyingi kwa bei hiyo sio mpyaa ni refub au used ila ukiiona unaweza sema ni mpyaa hadi box wanakupa.
Mimi nimewahinunua Note 10+ 900k kuna jamaa wako pale Mcity simu ilikua mpya kwenye box ila nimetumia almost miezi miwili simu inachemka na ilikuja kuwa na mchezo wa kuzima na kuwaka non stop baada ya kuupdate, Mafundi wote iliwagomea wanasema box lina information tofauti nasimu kwaiyo nilifanyiwa uhuni mpka sasa nimeamua tuu kuifungia kabatini...ukitaka simu nzuri nenda kwa samsung official dealers, hivi vitu vya bei rahisi ni hasara tupu! USIJARIBU Ila kama unataka kuprove kanunue ujionee.
Pole mkuu ilikuwa bahati mbaya tu kwako. Jamaa hawakukuweka wazi kama ni used?? Yani walikwambia ni brand new!
Hizi simu ni kama bahati nasibu tu unaweza ukapata refurb iko poa ukatumia miaka. Ninae mtu wangu wa karibu alinunua s9 ina miaka miwili na miezi kadhaa bado ipo makini kabisa. Mwingine alinunua s10 refurb ikawa na shida kwenye camera, akarudisha akapewa nyingine so far not bad sijamsikia akilalamika tena.

Kusema kweli hizi used/refurb zinatusaidia na sie walalahoi walau tuonje utamu wa flagship japo unakuta ishapitwa na wakati mpaka miaka minne lakini utapata performance na user experience nzuri kuliko mid ranges nyingi tu mpya za miaka ya karibuni.
 
Ipo simu inaitwa Samsung A52S ni midrange ila ni premium zaidi waterproof, 3.5mm jack, sd card, ram 6 mpaka 8GB, storage kuanzia 128, kioo Amoled 120hz, perfomance sawa na note 10 etc. Bei 720K kenya Mpya, sijajua hapa Bongo zinaendaje madukani, its worth it over refurb.
 
Ipo simu inaitwa Samsung A52S ni midrange ila ni premium zaidi waterproof, 3.5mm jack, sd card, ram 6 mpaka 8GB, storage kuanzia 128, kioo Amoled 120hz, perfomance sawa na note 10 etc. Bei 720K kenya Mpya, sijajua hapa Bongo zinaendaje madukani, its worth it over refurb.
Thanks for
 
Galaxy f62 ndo sawa Na note 10
Unamaanisha soc?

Maana F62 haina kitu chochote cha maana kuiweka level moja na Flagship, haina ip ratings yoyote, haina OIS, kioo hakina Refresh rate kubwa wala HDR na kina peak 420nits tu etc.
. F62 ni midrange ya kawaida ambayo ina battery kubwa kwa ajili ya kuvutia watu wanaotaka simu zinazokaa na Chaji, A52S ni premium all arounder ina feature nyingi za flagship phone imekuwa positioned kama flagship killer (A52s inafanana sana na Nothing phone).
 
Back
Top Bottom