Hizi sio mboga ni jaza tumbo

Hizi sio mboga ni jaza tumbo

Zote napiga sema sipendi mboga saaana na ndo kilichopo hapa lazima ule au ufe😋

,matembele ndo nitakula sana, na mchicha
😂😂,
 
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Ndio mboga iliyowakuza Watanzania acha dharau
 
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Hujui kitu kuhusu virutubisho..!!
 
Ndio mboga iliyowakuza Watanzania acha dharau
Udumavu bado ni tatizo mkuu. Fuatilia watu wanajaza tumbo kwa vitu visivyo na virutubisho. Na hii miili sio yetu. Ushawahi msikia Okonkwo
 
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Tulianza na mila na desturi za kwetu kwamba ni za kishenzy ambazo kwa sasa tunatumia nguvu kubwa kuhakikisha zinarejea; sasa tumehamia kwenye vyakula. Doh, kazi kweli kweli!
 
1. Kusimamia kucha ndo uanaume mkuu?
2. Mfalme Solomoni alikua na pisi buku alikula kisamvu na matembele?
Ndo maanq nlisema hayo ni magugu mnayaremba na nyanya [emoji534] [emoji1647] kitunguu ili myape cheo cha mboga.
Alikula za kipindi hicho we pisi buku utazimudu kwa kula piza na bugger?
 
Alikula za kipindi hicho we pisi buku utazimudu kwa kula piza na bugger?
Tofauti iliyopo kati ya burger 🍔 na ugali harage kisayansi ni kwamba burger ni wanga iliyookwa na protein iliyo kaangwa, ugali harage una wanga na protini vilivyopikwa kwa maji.
Sasa hayo ni yale yale
 
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Tembele linaongeza damu mkuu
 
Back
Top Bottom