Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

Bora kutokujaribu kabisaaaaaaaa...
Kuna Hawa was Badoo
Kuna wanaoenda Bar na hela waliyodanga week nzima
Anaagiza Heineken au Windhoek mbili! Afu wanatega Nani ataingia kingi jichanganye uone.
Salout
 
Sàsa hivi wamwhamia mitandaoni na hawako Tena barabarani mitandao Kama Telegram na Exotic! Wateja hufanya order online na kuamua ama kumfuata kahaba au kahaba kumfuata mteja kwa ajili ya huduma ya ngono...
Halafu watu weng wanaenda telegram kwa ajili ya haya magrupu ya ngono tu na sio kwa mawasiliano...

Contacts zangu waliopo telegrama 90% wanaume na hakuna anayetumia telegrama kuwasiliana na mie..

Wengine wakijua upo wanaomba link kabisa bada ya hapo humuon akikuvhek kwa telegram...
 
Wewe si upo visiwa vya wavuta bangi Jamaica umerudi lini
 
Wewe si upo visiwa vya wavuta bangi Jamaica umerudi lini
Baada ya Dada yako Kunikubali Nimbandue na Nimuoe imenilazimu nirejee Kutekeleza hayo kisha nirejee nae huko Kwangu / Kwetu nchini Jamaica kwa Masela na Werevu tukaishi.
 
Ukatae au Ukubali,wengi wa wanaume wanataka wanapofanya tendo la ndoa waridhike.

Unakuta mwanaume analala na mwanamke wake lakini janamke limekuwa kama gogo tu ndani ya nyumba,ukiliambia geuka uiname hivi linakuvutia midomo kama manati.Unadhani mwanaume gani anataka kero?,Mwisho wa siku akipita Magomeni pale akakuta mama poa yakaanza kumshika shika pumbu kwa bashasha huku yakimkatikia mauno ya karne ataacha kupiga?.

Nyumbani kwako ukimwambia mwanamke twende tukaoge lenyewe linavuta midomo kama kisonso,halafu hapo Buguruni mnaingia wote na kahaba kuoga sasa mniambie hapa mwanaume gani ataacha kununua kahaba?

Unakuta janamke linanuka kutwa nzima haliogi,Kuoga mpaka mpigizane kelele,umetoka ummenda zako kupiga urabu mahali fulani ukakutana na mtoto wa Singida ananukia utuli wenye laana,unadhani utaacha kupiga?

Umelichia li mwanamke lako hela nyumbani ukiwa na matumaini ukirudi ukute msosi,wewe unatoka kwenye mihangaiko au kazini unakuta limelala kwenye kochi linatazama tamthilia ya huba,ukiliuliza kuhusu chakula linakujibu kwa nyodo na dharau kwamba halijapika limechoka.
Unaondoka zako unasogea Mwenge hapo kupata msosi unakutana na mwanamke ambaye anatabasamu muda wote,unadhani utaacha kupiga?

Una mwanamke wako ambaye yeye kutwa kushinda kwao,ukimwambia aje upige mashine analeta sababu za kijinga,unaamua kutoka zako unaibuka pale Mabibo unakutana na toto lenye shepu kuliko hata mwanamke wako,unaliimbisha linajaa,unadhani hutapiga?

Mwanamke anakuletea nyodo na dharau ndani na ajifanya kulala mzungu wa nane,unambembeleza lakini anajifanya kukaza,kwa hasira unaondoka zako unaelekea triple 777 kupata moja moto na moja baridi!,Mara ghafla muhudumu huyo anakuja anajichekesha na ukisema nae anaitikia,unadhaji utaacha kupiga?

Kwa kifupi


Mwanaume hana Tamaa ila mwanamke ndiye anasababisha mwanaume awe na tamaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…