Hizi timu ni familia ya GSM na Yanga.

Hizi timu ni familia ya GSM na Yanga.

1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Mbona Simba imepoteza dhidi ya Yanga na haujaiweka? Hauko siriasi.
 
Kwanini ziwe kumi tu. Lete zote
1000053353.jpg
 
1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Weka na Simba ..... Wao ndio wametuchangia point nyingi na magoli mengi...
 
Hii ni derby. Huyu kumfunga huyu ni kawaida na hakuna derby duniani ambapo timu zimefungana kwa idadi sawa. Acheni ushamba....
Hujajibu nilichouliza zaidi ya kupaniki tu. Hata kama ni derby, lazima yupo aliyepelekewa moto kuliko. Kati yao hao wawili, nani katemewa kohozi mara kibao?
 
Hujajibu nilichouliza zaidi ya kupaniki tu. Hata kama ni derby, lazima yupo aliyepelekewa moto kuliko. Kati yao hao wawili, nani katemewa kohozi mara kibao?
Sina hizo takwimu ila mbona kawaida tu. Unakazia inshu ambayo wala haina mitkasi
 
Kuna familia nyingine naona umeiacha makusudi ila huwa Ina tubless sana
 
1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Mechi zote hapo kachukua point 😄😄😄😄
 
1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Umeisahau Simba Mkuu.
 
Back
Top Bottom