Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Na simba nayo umesahau kuiweka kwenye orodha....rejea ushindi wa goli 5 zile1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Namungo sijamuona hapo1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Mbona Simba imepoteza dhidi ya Yanga na haujaiweka? Hauko siriasi.
Na simba nayo umesahau kuiweka kwenye orodha....rejea ushindi wa goli 5 zile
Na simba imeshinda ngapi?....Katika mechi 10 zilizopita za Simba vs Yanga, ni kwamba Yanga imeshinda mechi 5 tu.
Mechi nne zote tulizowachokonoa tuliwahongaMlihonga wachezaji wetu mkawasajili sasa hivi wapo benchi
Njoo na wewe tukuhonge...Mlihonga wachezaji wetu mkawasajili sasa hivi wapo benchi
Umeasahau na Namungo1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Orodhesha hizo mechi.Katika mechi 10 zilizopita za Simba vs Yanga, ni kwamba Yanga imeshinda mechi 5 tu.
Hakuna shabiki wa Simba mjinga kiasi hiki. Wewe ni chura.Mimi ni shabiki wa Simba ila hiki ni kichaka cha kutokea viongozi wetu endapo tutakosa ubingwa, Maswali ya kujiuliza 1.
kabla ya GSM Yanga iliwezaje kuchukua ubingwa?
2. Kwanini Yanga akipoteza mechi haya maneno hua yanapotea?
3 . Yanga imefika Fainali shirikisho na Robo CL huko nako GSM yupo?
4. Sisi ambao sio wana familia ya GSM mbona anatubonda kila siku?
Ili uwe na akili lazima ukubalianae na ujinga? katika hoja zangu umejibu ipi?Hakuna shabiki wa Simba mjinga kiasi hiki. Wewe ni chura.