Hizi timu ni familia ya GSM na Yanga.

Hizi timu ni familia ya GSM na Yanga.

1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?

Haya leta na timu familia na MBUMBUMBU SC.
 
1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Na simba nayo umesahau kuiweka kwenye orodha....rejea ushindi wa goli 5 zile
 
1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Namungo sijamuona hapo
 
Mbona Simba imepoteza dhidi ya Yanga na haujaiweka? Hauko siriasi.
1000214333.jpg

Tumeweka hii hpa umefurahi
 
Hujajibu nilichouliza zaidi ya kupaniki tu. Hata kama ni derby, lazima yupo aliyepelekewa moto kuliko. Kati yao hao wawili, nani katemewa kohozi mara kibao?
Mlihonga wachezaji wetu mkawasajili sasa hivi wapo benchi
 
1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅


Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Umeasahau na Namungo
 
Mimi ni shabiki wa Simba ila hiki ni kichaka cha kutokea viongozi wetu endapo tutakosa ubingwa, Maswali ya kujiuliza 1.
kabla ya GSM Yanga iliwezaje kuchukua ubingwa?
2. Kwanini Yanga akipoteza mechi haya maneno hua yanapotea?
3 . Yanga imefika Fainali shirikisho na Robo CL huko nako GSM yupo?
4. Sisi ambao sio wana familia ya GSM mbona anatubonda kila siku?
Hakuna shabiki wa Simba mjinga kiasi hiki. Wewe ni chura.
 
Back
Top Bottom