Mbona Simba imepoteza dhidi ya Yanga na haujaiweka? Hauko siriasi.1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Tena ukiweka zote ndiyo uwiano unaweza kupuungua na usiwe mkubwa kama mnavyotamba.Kwanini ziwe kumi tu. Lete zote
Sio case, Nataka kujua tu nani kakojolewa sana?Tena ukienda zote ndiyo uwiano unaweza usiwe mkubwa kama mnavyotamba.
Hii ni derby. Huyu kumfunga huyu ni kawaida na hakuna derby duniani ambapo timu zimefungana kwa idadi sawa. Acheni ushamba....Sio case, Nataka kujua tu nani kakojolewa sana?
Kwanini ziwe kumi tu. Lete zote
Weka na Simba ..... Wao ndio wametuchangia point nyingi na magoli mengi...1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Hujajibu nilichouliza zaidi ya kupaniki tu. Hata kama ni derby, lazima yupo aliyepelekewa moto kuliko. Kati yao hao wawili, nani katemewa kohozi mara kibao?Hii ni derby. Huyu kumfunga huyu ni kawaida na hakuna derby duniani ambapo timu zimefungana kwa idadi sawa. Acheni ushamba....
Endelea kujichezea kwapa
Sina hizo takwimu ila mbona kawaida tu. Unakazia inshu ambayo wala haina mitkasiHujajibu nilichouliza zaidi ya kupaniki tu. Hata kama ni derby, lazima yupo aliyepelekewa moto kuliko. Kati yao hao wawili, nani katemewa kohozi mara kibao?
Tena hiyo mechi ilikuwa mbele ya Gavana.Endelea kujichezea kwapa
Kupelekewa moto kwenu ni kawaida kumbe. Good eveningSina hizo takwimu ila mbona kawaida tu. Unakazia inshu ambayo wala haina mitkasi
Hizi timu zina miaka zaidi ya 80, hakuna ambaye ni kibonde wa mwenzie. Kila mmoja amemfunga mwenzie kwa uwiano mzuri.Kupelekewa moto kwenu ni kawaida kumbe. Good evening
Mechi zote hapo kachukua point 😄😄😄😄1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Umeisahau Simba Mkuu.1. Dodoma Jiji (familia) ✅✅
2. Kagera Sugar (GSM) ✅✅
3. Pamba Jiji (GSM) ✅✅
4. KMC (Familia) ✅✅
5. Prisons (silent ocean) ✅✅
6. Coastal (GSM) ✅✅
7. Mashujaa (GSM) ✅✅
8. Singida (Familia) ✅✅
Timu ambazo Yanga wamepoteza points hazipo hapo,halafu tuache kusema GSM na Yanga hawapangi matokeo?
Kibonde ni aliepigwa sana.Hizi timu zina miaka zaidi ya 80, hakuna ambaye ni kibonde wa mwenzie. Kila mmoja amemfunga mwenzie kwa uwiano mzuri.