Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,655
Sababu ya kucheat ni kuwa 'huna morals za kuwa mwaminifu' sioni sababu nyingine zaidi ya hii.
Ndo maana wewe hukuweza chwat kipindi umechitiwa ukaamua ku-move on.
Mie huwa sioni justification kabisa, yaani acheat mwingine, afu mie nijipe adhabu ya kwenda kupakwa jasho na mtu mwingine?
Bora nimsababishie aliyenicheat abakwe na wanawake hata elfu lol
ah ah ah ah..... Kongosho umesema kweli tena ukifanya kwa hasira unaumia kweli maana kunakuwa hakuna rhythm
Last edited by a moderator: