Watangwane Ili iweje sasa kwa faida ipi.
Hii Syrabus ya drs la tano huko! Mkuu! Nilikuwa nadhani unaelewa!! Loool! kuuumbe hata hukufundishwa maadui waafrica weye??? ....
Kwann wasikimbilie kusini Mwa afrika mfano east africa.
Kambi ya Kakuma refugee camp! huijui?
Ngara, Kibondo, Tabora, zamani Mazimbu je umewahi kuzisikia hizo
Haya makundi ya kigaidi upata pesa kwa kuuza madawa ya kulevya,uharamia,viungo vya binadamu,na biashara haramu.
Hakuna nchi africa inazalisha madawa ya kulevya umepigwa changa la macho!
km hujui adui yako anafaidikaje na kutoa siraha bure kwa wanao dhoofisha serikali za kiafrica mjadala huu siyo size yako!
?? ondoka huko porini yanakupita mengi!! au rudi drsani kabisa!
waafrika tumeshindwa vipi kuwagombanisha wazungu wauane kama sisi waafrika.
hatukurupuki kugombanisha ili tupate nini kwa mazeruzeru nefilimu wale??? fikiria kwanza ?? kwa sababu hawana kitu?? wao wanatamani usiku na mchana tulivyo navyo!! hawawezi kuishi bila sisi!
Ni uongo mtupu kusema mtu mzima unachonganishwa mpigane
Hujui uchonganishi ulianzia mbinguni!! sasa kanisani unaendaga kushinda mkuu??... jua saa Mkuu wa ulimwengu alipoteza theluthi tatu ya Malaika!! ajili ya uchonganishi! km una vinasaba vya kiungu hili haliwezi kukupa tabu, kwani kanisani unasali nini km hujui hoja rahisi ivi?
wababe wawili wasiotaka kupata wauliwe Ili wengine wapatane.
hao wababe wawili ni uwakilishi wa Mamillion ya wasudan!! hata ukiwaua siyo suruhisho!... kabila mkubwa alikufa lkn congo bado ilitawaliwa na walewale! mpaka leo haitikisiki na wako mlemle.....
....
waafrika tumeshindwa vipi kuwagombanisha wazungu wauane kama sisi waafrika.
Hatuwahitaji sisi kama wao wanavotuhitaji! ili waishi!...hawana kitu ni maskini tu......wako ivo leo ajili yetu....ila watu km weye hamjui. thamani yenu......tangia Miili yetu mizuri hii, ardhi, urembo na kila kitu tulicho nacho wanatamnai mno! wanaumia sana wanatamani wangekuwa wao!! kifupi tumependelewa mno na Maulana!! kuna watu ambao hamlijui hili la thamani ya mweusi hasa nyie Machotara! poleni sana....
kuwalazimisha kusini wawe waislamu pili kuwabagua hivyo
Si kweli hujui undani wa sakata hilo.......ni sawa na sisi leo tuna wabagua hapa hapa Tanzania na hamjawahi kujitenga??.....thubutu uone km hujarudi mikono nyuma... wala kufurukuta?,
jiwe kawagalagaza weee!! mpaka kajichokea mwenyewe!! kuanzia ndani ya ccm, mpaka vyama vya upinzani! nani kajitenga???? uongo...mpaka kesho hakuna...sasa kwa nini iwe sudani na siyo Bongo! si hapo tu mbele ya Uganda?
mpaka leo Mama anawapeleka mpela mpela na ndevu zenu! km ndugai! hkn wa kumfanya kitu!! .......nani ajitenge weee!! thubutu.... zanzi hao hapo tunawapa mgao nani ajitenge?.....mweee!
jiwe kawaita majina ya hovyo mpaka kajichokea eti watu wazima mnaitwa Majipu mnacheka mchana kweupeeeee!! .... nani alijibu?...wala kujaribu kujitenga?? .....sembuse sudan?
Piga risasi kweupe!!!......umakondeni huko kawapasha wakome kuombaomba mafuta!! kiko wapi!.......haya km haitoshi kabeba korosho na magari ya jeshi!! kapeleka kusiko julikana! na hkn kudai mpaka sasa!! ...sudani yeye nani ajitenge??
Mliufyataaa kimyaaa .........ila nyuma ya key board Mnangenga sana! Wabongo!! .......Makonda kawatia Bakora alivo taka nani ali/ana muuliza?.......labda mwenzio Gwajima alijaribu!! lkn naye tunamzima sababu anajimilikisha kanisa!! na
Helkopta ni Mali ya kanisa!!! lkn kaandika jina lake arudishe kwa waumini! sivyo laa! alipe kodi! ..... hawezi tumia anga letu kirahisi tu! Africans yeyote anae pinga Waafrica hana tofauti na Juda Eskariote!