Hofu yatanda kwa Wabunge wa CCM, baada ya Tulia Ackson sasa Mrisho Gambo ataka jimbo la Arusha ligawanywe

Hofu yatanda kwa Wabunge wa CCM, baada ya Tulia Ackson sasa Mrisho Gambo ataka jimbo la Arusha ligawanywe

Weupe kinoma yaani
CHADEMA ya sasa ni weupe zaidi. Watu makini wamepungua sana. Nakumbuka Dr Slaa enzi zile karibu uongozi wote wa CCM mkoa unapiga kambi Karatu kuhakikisha wanarudisha jimbo CCM kumbe Dr Slaa nae kapenyeza mamluki kama wote ndani ya CCM. Siku ya uchaguzi CCM tunaishia kulaumu Dr kaiba kura. Ilikuwa sio poa muziki wa yule Mzee. Alikuwa anapendwa kuliko kawaida.
 
Kamarada Gambo wala hana mchecheto na Lema ila tu jimbo ni kubwa kuligawanya ni jambo jema....

Kwani lilipogawanywa Jimbo la Nzega kulikuwa na makada wa CHADEMA?!!!

Kwa hiyo Dr.Kigwangwala na mh.Bashe ni M4C?!!!![emoji1787][emoji1787]
Huko hali ilikuwa hivi , fuatilia

Watu%20wameanza%20kufukua%20makaburi%20_joy__joy__joy_%20kosa%20la%20%20%40hamisi_kigwangalla%...jpg
 
Hakuna jimbo litakalo gawanywa..

It is very expensive kugawa jimbo, gharama zake ni billions, serikali ya Mama Samia, sitegemei ifanye hilo, kwani Mrisho Gambo au Tulia Ackson mfano wakikosa au kuanguka ktk kura zaijazo 2025 wao ni nani, CCM iko pale pale, Rais wetu ni yule yule, Mama yetu Samia, Chama ni CCM, watu wachache hao wakikosa ubunge haina shida.

Kugawa jimbo ni gharama kubwa mno kwa nchi, na sbb za kagawa jimbo ziko wazi na sio eti iwe sbb fulani anahisi atashindwa jimbo ligawanywe, hilo hapana asilani
Mama hatogombea
 
CHADEMA ya sasa ni weupe zaidi. Watu makini wamepungua sana. Nakumbuka Dr Slaa enzi zile karibu uongozi wote wa CCM mkoa unapiga kambi Karatu kuhakikisha wanarudisha jimbo CCM kumbe Dr Slaa nae kapenyeza mamluki kama wote ndani ya CCM. Siku ya uchaguzi CCM tunaishia kulaumu Dr kaiba kura. Ilikuwa sio poa muziki wa yule Mzee. Alikuwa anapendwa kuliko kawaida.
Hii hadithi yako inatufundisha nini ?
 
Matukio mawili tofauti.....

Hebu uwe mkweli basi [emoji1787][emoji1787]

Hapo mh.Kigwangwala ni mbunge na alikwenda kwa wananchi wa Jimbo lake waliokuwa wanaandamana.....

Kumbe RBC huwa una "kamba sana" [emoji1787][emoji1787]
ilikuwa mwaka gani ?aliyeinjinia hili unamjua , unadhani ni kwanini ?
 
2014.....

Mgogoro wa wachimbaji wadogo na mgodi mkubwa jirani wa RESOLUTE......

Acha "conspiracy" RBC.....[emoji1787][emoji1787]
Wala hatubishani , unaweza kuniambia wakati huo bashe alikuwa wapi ? haukuwa wakati ambao analisaka jimbo ?
 
Sijaelewa Samia anawaza nini.

Ila kukosana na watu wake halafu unategemea wapinzani wakusaidie the likes of Mbowe sioni kama anafanya maamuzi sahihi.

Anadanganywa.
Idea hiyo imepunguza sana upinzani wa ndani ya chama chake.

Anayofanya Yana faida zaidi Kwa wananchi.

Waliozoea wizi wa kura KAZI wanayo.
 
Wala hatubishani , unaweza kuniambia wakati huo bashe alikuwa wapi ? haukuwa wakati ambao analisaka jimbo ?
Acha kutengeneza FALSE ALLEGATIONS ili tu uitakase hoja yako.....

Kumbe hata hujui kilichotokea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo uliyemtaja na mgodi wa Resolute wanahusika vipi ?!!!

Nikwambie.....

Wachimbaji wadogo walikuwa wanahamishwa kupisha mgodi mkubwa wa RESOLUTE.....
 
Acha kutengeneza FALSE ALLEGATIONS ili tu uitakase hoja yako.....

Kumbe hata hujui kilichotokea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo uliyemtaja na mgodi wa Resolute wanahusika vipi ?!!!

Nikwambie.....

Wachimbaji wadogo walikuwa wanahamishwa kupisha mgodi mkubwa wa RESOLUTE.....
Hakuna nisichokijua , lakini wakina nani walikuwa nyuma ya hili ?
 
Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali , baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli , Dr Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa Chadema .

Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema .

Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi .
Si wamesema tupime kina Cha maji( dola) mbona hofu nyingi sasa.
 
Wanasiasa wachumia tumbo wasikuingize chaka.

Tamaa zao za madaraka zisizojali wananchi na mzigo wa kodi kulea wanasiasa zisikuyumbishe.

Achana nao ni tamaa tu wanaona kama 2025 hawatoboi.

Kama wameshindwa kuwatumikia Wanachi kwa weledi kwa sasa hao achana nao.

Kila mtu ashinde mechi zake 2025
 
Hakuna jimbo litakalo gawanywa..

It is very expensive kugawa jimbo, gharama zake ni billions, serikali ya Mama Samia, sitegemei ifanye hilo, kwani Mrisho Gambo au Tulia Ackson mfano wakikosa au kuanguka ktk kura zaijazo 2025 wao ni nani, CCM iko pale pale, Rais wetu ni yule yule, Mama yetu Samia, Chama ni CCM, watu wachache hao wakikosa ubunge haina shida.

Kugawa jimbo ni gharama kubwa mno kwa nchi, na sbb za kagawa jimbo ziko wazi na sio eti iwe sbb fulani anahisi atashindwa jimbo ligawanywe, hilo hapana asilani
Unawavunja moyo wanaccm uchwara.
 
Wanasiasa wachumia Tumbo wasikuingize Chaka.

Tamaa zao za madaraka zisizojali wananchi na mzigo wa kodi kulea wanasiasa zisikuyumbishe.

Achana nao ni tamaa tu wanaona kama 2025 hawatoboi.

Kama wameshindwa kuwatumikia Wanachi kwa weledi kwa sasa hao achana nao.
Kila mtu ashinde mechi zake 2025
Tamaa mbaya sana. Na ukame woote huu wa uchumi wao hawajali kabisa.
 
Matukio mawili tofauti.....

Hebu uwe mkweli basi [emoji1787][emoji1787]

Hapo mh.Kigwangwala ni mbunge na alikwenda kwa wananchi wa Jimbo lake waliokuwa wanaandamana.....

Kumbe RBC huwa una "kamba sana" [emoji1787][emoji1787]
Jamaa anafanya watu wajinga.Ni bora umemuumbua.Eti huyu naye ni think tank!
 
Back
Top Bottom