Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe unaona sawa tu mbunge anawalilisha watu elifu 20 na mwingine anawalilisha watu milioni na mshahara na posho sawa hela yetu ya kodi ni sawa tuu?? Toa jibuKugawanya majimbo ni kuongeza gharama maana mbunge mpya atahitaji gari, mshahara na benfits nyinginezo. Nchi hii kila mwanasiasa anapigania tumbo lake sio upinzani wala CCM. Asije kudanganya mtu kuwa ana uchungu sana na nchi . Hizo huwa ni hadaa tu.
Nchi hujengwa kwa kuanza na mtu binafsi then familia na ndicho wanasiasa wa nchi hii wanafanya kwa kupigania maslahi yao binafsi na familia zao huku wakijificha kwenye kichaka cha kutetea wanyonge.
Mimi sio mwana CCM ila ni ngumu sana CCM kuacha Tulia apoteze jimbo trust me, itatumika namna yyte kufanikisha mpango.Pengine kwa mshangao,hofu au uchungu mwingi
CCM na demecrasia ni maji na mafuta, ngoja inyeshe tujue wapi inapo vujaHali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali , baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli , Dr Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa Chadema .
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema .
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi .
Kwan huyu Bibi kizee ana nn chamaana hapo bungen, yy ckapiga teke report ya CAG, mambieni hii report itamtokea puaniMimi sio mwana CCM ila ni ngumu sana CCM kuacha Tulia apoteze jimbo trust me, itatumika namna yyte kufanikisha mpango.
Kumbe majimbo yanagawanywa kwasababu ya kuwaogopa cdm?Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali , baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli , Dr Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa Chadema .
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema .
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi .
Ni terms and conditions za mikopo sio yy mkuu,, 2025 chadema watakuwa kama wote bungeniSijaelewa Samia anawaza nini.
Ila kukosana na watu wake halafu unategemea wapinzani wakusaidie the likes of Mbowe sioni kama anafanya maamuzi sahihi.
Anadanganywa.
Tulia yupo pale strategically, kuna watu unaona kbsa wanaenda kula za uso (gambo) lakini sio Tulia.Kwan huyu Bibi kizee report itamtokea puani
Hapa hapa hapa Tunataka tuone mtanange wa kukata na shoka wa sugu na tuliaSugu akileta huo utoto wake wa kumfata Tulia popote atakapogombea ni dhahiri hatutamuona bungeni 2025, CCM lazima wahakikishe Tulia anarudi mjengoni by any means. Kama Sugu anania ya ubunge asishindane na yule tolu.
Kwa jinsi Tulia alivyocheka nikaukumbuka ule ugonjwa wa kucheka uliokuwa unawapata wasichana shule za bweni.Tulia amecheka sana aliposikia Sugu yupo nae sambamba kupambania ubunge.
Something anayo tayar Tena Nadhani alipewa cheo fln hv na mamaKwa jinsi Tulia alivyocheka nikaukumbuka ule ugonjwa wa kucheka uliokuwa unawapata wasichana shule za bweni.
Ili upone unahitaji something [emoji7]
akikujibu nistueTulia atuambie lile jeneza liko wapi.
Hakuna kitu kama hichoMimi sio mwana CCM ila ni ngumu sana CCM kuacha Tulia apoteze jimbo trust me, itatumika namna yyte kufanikisha mpango.
yali siyo yataKumbe majimbo yanagawanywa kwasababu ya kuwaogopa cdm?
Nilidhani ni kwasababu za kimaendeleo.Lakini kuna majimbo yaligawanywa hata wakati cdm hawapo
Katiba mpya si mchezo , endelea kuota , angalia picha hiiSugu akileta huo utoto wake wa kumfata Tulia popote atakapogombea ni dhahiri hatutamuona bungeni 2025, CCM lazima wahakikishe Tulia anarudi mjengoni by any means. Kama Sugu anania ya ubunge asishindane na yule tolu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa anafanya watu wajinga.Ni bora umemuumbua.Eti huyu naye ni think tank!
Erthyrocyte king'ang'anizi wee [emoji1787][emoji1787]Hakuna nisichokijua , lakini wakina nani walikuwa nyuma ya hili ?
lengo kuu ni kutwaa nchi , na kwa kweli hatuoni kipingamiziNi terms and conditions za mikopo sio yy mkuu,, 2025 chadema watakuwa kama wote bungeni