Hofu yazidi kutanda, Iran yaanza kutorosha wakuu wake kutoka Syria

Hofu yazidi kutanda, Iran yaanza kutorosha wakuu wake kutoka Syria

Ayatollaah siku ya 4 leo hapati choo, tumbo limejaa hofu inayosababisha kujaa gesi sana anajamba jambaa tu, na hofu ya Israel isikieni tu, na akikosa choo siku 20 lazima afe
 
Wanakimbizana, hofu imewatawala, na wanaweza kukimbizana kama watoto halafu Israel wasishambulie, siku wakitulia ndio watapigwa washangae imekuwaje.

Siamini kama wanaweza kuwaficha hao makamanda wao Israel wasijue walipo, kama waliwa detect wale wa mwanzo wakawaua, hao wengine wataenda kuwaficha wapi?
Umejaa ujinga na ushabiki. Hatutaki maneno wala blah blah Iran amesema Israel akilipa kisasi basi watarudishiwa dozi kamili ndani ya sekunde chache.

Sasa kazi imebkai kwa Mazayuni ili waone moto halisi wa Iran maana Iran akiahidi lazima atekeleze.
 
Ayatollaah siku ya 4 leo hapati choo, tumbo limejaa hofu inayosababisha kujaa gesi sana anajamba jambaa tu, na hofu ya Israel isikieni tu, na akikosa choo siku 20 lazima afe
Wewe pia ni Mzayuni? Yaani Iran itishwe na nchi inayopakatwa na mabwana zake US na UK?

Iran ni taifa dume limeishambulia Israel ikijua amezishambulia US na mashoga wengine hivyo wakijiingiza kichwa kichwa watamiminiwa moto wa makombora ambayo hawatapata kusahau.
 
Tatizo Israel hufanya baadaye mnapata matokeo, hivyo haijulikani watafanya wapi au kivipi, hofu imeanza kutanda kote, Iran imetorosha makamanda wake kutoka Syria, pia viongozi wa Hezbollah wameanza kufichwa.......

Iran pulling senior officers out of Syria

As part of those preparations, Iran has also begun evacuating Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) personnel from sites in Syria, the Wall Street Journal reported on Wednesday citing Syrian and Iranian officials and advisers.

Hezbollah has also reduced the presence of senior officers in Syria as well, while also increasing the number of personnel along the Syrian-Israeli border in order to collect intelligence, Syrian security officials told the Wall Street Journal.
Wakae kwa kutulia.Mossad itawafuata popote,katika sayari yoyote walipo na watapewa zawadi yao/pay the price!
 
Ameshindwa kupata watu wake waliofichwa katika eneo dogo sawa na wilaya ya ukelewe ataweza kuwaona watu watakaofichwa eneo kubwa kuliko nchi ya tanzania. Yaani mtu afichwe ilan wamuone ila washindwe kuona mateka waliofichwa gaza?
Unaandika kama mnyamwezi wa Ntalikwa au Isanjandugu kilabuni.
 
Ukiyafuata ku-deal na Yahudi Uta-deal na Mungu wake!
👇👇
Yeremia.31:37-40
37 Bwana asema hivi, Kama mbingu zikiweza kupimwa, na misingi ya dunia ikiweza kugunduliwa huko chini, ndipo wazao wa Israeli pia nitawatupilia mbali, kwa ajili ya hayo yote waliyoyatenda, asema Bwana.

49:23
[23]Na wafalme watakuwa baba zako za kulea, na malkia zao mama zako za kulea; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.
Wazao wa Israel unawajua wewe? Unadhani kina Netanyahu hao hata ukapime damu zao hawatokani na uzazi wa Yakobo hata siku moja.

Afu kizazi na nchi wapi na wapi, hivi kumbe nchi zinazaa au watu ndio wanazaa, kwa hio wa Palestine c kizazi cha Yakobo 😄

Lini mtapata akili kuna tofouti kumpoint mtu na kizazi chake na kupoint nchi, kwanza Israel ilikuja kundwa c 1948 alio andika bibilia alikusudia Israel ipi?

Kondoo atabaki kuwa kondoo tu 😄
 
Wazao wa Israel unawajua wewe? Unadhani kina Netanyahu hao hata ukapime damu zao hawatokani na uzazi wa Yakobo hata siku moja.

Afu kizazi na nchi wapi na wapi, hivi kumbe nchi zinazaa au watu ndio wanazaa 😄

Lini mtapata akili kuna tofouti kumpoint mtu na kizazi chake na kupoint nchi,kwanza Israel ilikuja kundwa c 1948 aliw andika bibilia alikusudia Israel ipi?

Kondoo atabaki kuwa kondoo tu 😄
Uliwapima ukapata hayo uliyoyaandika au ukishalishwa uongouongo na maadui zao ndiyo na wewe unasambaza tu kama hauna kichwa?
 
Uliwapima ukapata hayo uliyoyaandika au ukishalishwa uongouongo na maadui zao ndiyo na wewe unasambaza tu kama hauna kichwa?
dogo walisha pimwa hao hawana asili ya hapo, wenye asili ya pale ni wale majewish orignally ambao wao na warabu hawana matatizo hata siku moja, na wanasali kama waislam c hao wakutingisha vichwa kwenye ukuta 😄

What was Netanyahu's original name?
Benzion Mileikowsky (later Netanyahu) was born in Warsaw in partitioned Poland, which was under Russian control, to Sarah (Lurie) and the writer and Zionist activist Nathan Mileikowsky.

Hao ni ma zionist c Majewish
 
Ameshindwa kupata watu wake waliofichwa katika eneo dogo sawa na wilaya ya ukelewe ataweza kuwaona watu watakaofichwa eneo kubwa kuliko nchi ya tanzania. Yaani mtu afichwe ilan wamuone ila washindwe kuona mateka waliofichwa gaza?
Hivi Israel imeuwa viongozi wangapi wa iran mpaka sasa???
MK254
 
dogo walisha pimwa hao hawana asili ya hapo, wenye asili ya pale ni wale majewish orignally ambao wao na warabu hawana matatizo hata siku moja, na wanasali kama waislam c hao wakutingisha vichwa kwenye ukuta 😄

What was Netanyahu's original name?
Benzion Mileikowsky (later Netanyahu) was born in Warsaw in partitioned Poland, which was under Russian control, to Sarah (Lurie) and the writer and Zionist activist Nathan Mileikowsky.

Hao ni ma zionist c Majewish
Bado umesimuliwa tu.Je,aliyekusimulia nia yake ilikuwa ni nini hasa?
NB;Dogo muangalie hapo mbele ya flaizi yako kwa ndani.You've got problems on your behind,kid!
 
Wanakimbizana, hofu imewatawala, na wanaweza kukimbizana kama watoto halafu Israel wasishambulie, siku wakitulia ndio watapigwa washangae imekuwaje.

Siamini kama wanaweza kuwaficha hao makamanda wao Israel wasijue walipo, kama waliwa detect wale wa mwanzo wakawaua, hao wengine wataenda kuwaficha wapi?
Mbona wameshindwa kuwakomboa mateka wao kutoka Hamas ,wameshindwa kujua walipo ,,
 
Ayatollaah siku ya 4 leo hapati choo, tumbo limejaa hofu inayosababisha kujaa gesi sana anajamba jambaa tu, na hofu ya Israel isikieni tu, na akikosa choo siku 20 lazima afe
Kama vile ushawahi hata muona vile.
 
Umejaa ujinga na ushabiki. Hatutaki maneno wala blah blah Iran amesema Israel akilipa kisasi basi watarudishiwa dozi kamili ndani ya sekunde chache.

Sasa kazi imebkai kwa Mazayuni ili waone moto halisi wa Iran maana Iran akiahidi lazima atekeleze.
Tangu makamanda wa 7 wa iran wapigwe kule syria na israel sijaona majibu yoyote ya maana kutoka iran dhidi ya israel zaidi ya tuku tuku 300
 
Back
Top Bottom