Chama kama hakina sapoti ya matajiri kitakua kama TADEA tu au APPT maendeleo.Ccm wanadhani wasomi pekee ndio kila kitu, wanawatupa wananchi wa chini, wamesahau hata kaulimbiu ya chama chao kuwa ni ccm si chama cha matajiri
Ngoja waione nguvu ya walala hoi wapuuzi hawa!
Ccm walijidanganya saana, kubeza wanyonge na kumsema hovyo mtetezi wao, R.I.P JPMHatimaye wanyonge tunaenda kupata chama cha kweli cha kututetea, kama kweli watafuata itikadi za Umagufuli.
Unalalamika au unalia?
Wewe na nyumbu wenzako
ccm ndio inaogopaMakamanda uchwara wametibuka.
Endelea kufananisha tuu!Chama kama hakina sapoti ya matajiri kitakua kama TADEA tu au APPT maendeleo.
Wameparaganyika kama nyumbu zinavuka mto.Makamanda uchwara wametibuka.
Punguza hofu subiri matokeo.
Mh!?ccm ndio inaogopa
Tunaenda kuwaonesha nguvu ya wanyonge.Ccm walijidanganya saana, kubeza wanyonge na kumsema hovyo mtetezi wao, R.I.P JPM
Ccm wanadhani wasomi pekee ndio kila kitu, wanawatupa wananchi wa chini, wamesahau hata kaulimbiu ya chama chao kuwa ni ccm si chama cha matajiri
Ngoja waione nguvu ya walala hoi wapuuzi hawa!
Achana na majangili ya ccmUnajua kufanya tafiti? Ingia mitaani na ufanye tafiti.
sasa hapo tatizo ni la waziri au wwnanchi?Mwanasiasa anayedhani kuanzisha Chama kipya ndiyo solution ya matatizo waliyonayo Watanzania ni mjinga sisemi ni mpumbavu!
Watanzania wengi hawajitambui hivyo si lazima kuanzisha Chama kipya ndo uwaamushe!
Angalia press ya Waziri Bashe na wale wahindi wa Mbolea juzi ndo utajua ninachoongea!
Waziri Bashe anawabembeleza wale wezi warudishe elfu 30 walizowaibia wakulima kwa kila mfuko wa Mbolea badala ya kutaifisha Mbolea yao yote na kuwatupa lupango kama wahujumu uchumi wengine!
Fight from within is better kuliko kuanzisha tu vyama vya ajabu ajabu!
wanaotapatapa ni akina nani?Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Mkuu, hivi mnakumbuka chadema mliwahi kutuuzia mbuzi kwa gunia!?Watu wanaidharau chadema na kufikiri kupambana na CCM Ni jambo la siku moja, haya Bwana yetu macho. Maana ili mchukue dola lazima mpambane na CCM sio CHADEMA.
Lakini wewe ni mwanaccm pia mbona unawatukana wenzako? wamekufanya nini?Achana na majangili ya ccm
Sio kweli. Be honesty ndugu.Mkuu, hivi mnakumbuka chadema mliwahi kutuuzia mbuzi kwa gunia!?
Mnalituhadaa Lowasa fisadi mkamvuta tena kupitia mlango wa nyuma, kitendo hiko ndicho kiliniondoa chadema, na ukipima tu, nguvu ya chadema ilianza kupoa tokea hapo
Makamanda uchwara wametibuka.
Wanyonge gani wanaweza kumshinda tajiri?Tunaenda kuwaonesha nguvu ya wanyonge.