The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Binafsi napenda hao Umoja Party wapewe usajili Ili wakaumbuke ulingoni,shida ccm wanaogopaga hata vivuliKwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Mnao tuita sukuma gang tutapiga nje ndani ....yani ndani ya ccm tunakita mizizi pia nje ya ccm tunakita mizizi ...hii mfumo unaitwa "full formation"Nani ana hofu na kitu ambacho hakipo?
Yale Yale ya cck 😬😬Dead on arrival party
Uone nini?Ngoja tuone...
Sasa unahofia nini?Kama huu. Kubalini matokeo mtu wenu yuko jehanam anavuna alichopanda.
Matusi ya nini mama?Wewe bwabwa ongea na machoko wenzako fala wewe
Sasa unahofia nini?Unayeabudu mfu aliyeko jehanam ndiye huna hoja.
Sasa hofu ya nini?Misukule ya magufuli kubalini matokeo tu Msoga Gang imewatia la kati.
Kule tunawaachia wenye chama chao ili wazidi kulamba asali na vizazi vyao halafu tuonane kwa debe.Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Hivi nivichekeshi jamaan... Mm sio mwana CCM ila navokijua CCM hakuna mtu ambae anauwezo wakukivunja au mkubwa zaidi ya CCM Kama Chama... Wakina lowasa pamoja na ushawishi wao ambao sioni hata mwanasiasa wa Sasa ndani ya CCM kwa Sasa mwenye mabavu kama ya lowasa..... Jamn magufuli alishapumzika na kubalini tu siasa ni karata ambae hayupo nalake alipo.. CCM huwa wanakumbuka falsafa za walio husika kuki asisi tu Hawa wengine wote w atapita kama wengine wote wasasa na wajao...Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Wewe na Pascal ni wachoyo sanaGhafla baada ya Pasaka pameibuka tishio la kuzaliwa chama kipya cha siasa kitakachoitwa Umoja Party.
Inasemekana chama hiki kipya kitaanzia pale Magufuli alipoachia baada ya kutwaliwa na Mungu wa mbinguni
Niwatoe hofu Chadema kwamba wasiogope bali wajiandae kwa changamoto mpya!
Lowassa hakuwa na nguvu ya umma shutup[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Hivi nivichekeshi jamaan... Mm sio mwana CCM ila navokijua CCM hakuna mtu ambae anauwezo wakukivunja au mkubwa zaidi ya CCM Kama Chama... Wakina lowasa pamoja na ushawishi wao ambao sioni hata mwanasiasa wa Sasa ndani ya CCM kwa Sasa mwenye mabavu kama ya lowasa..... Jamn magufuli alishapumzika na kubalini tu siasa ni karata ambae hayupo nalake alipo.. CCM huwa wanakumbuka falsafa za walio husika kuki asisi tu Hawa wengine wote w atapita kama wengine wote wasasa na wajao...
Wewe nyumbu unajitambua? Au una rukaruka hovyo?Wewe bwege kweli Saigon Club imeshawamaliza nyie rudini kwenu Burundi tu
Mimi nina umaskini?Mimi najitambua ndiyo maana siabudu marehemu. Utasugua sana bench sana na kamwe umasikini hautakutoka
Wakamuulize Sumaye na Lowasa kwa nini walirudi baada ya kutokaHawa misukule ya magufuli wanajilisha upepo tu
Mimi najitambua ndiyo maana siabudu marehemu. Utasugua sana bench sana na kamwe umasikini hautakutoka