THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
-
- #41
UVCCM kumejaa wachumia tumbo wanaoongozwa na nguvu ya buku 7.
Mara hii tu wameswitch eti Samia kachaga twende Magufuli alituchelewesha sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi wanamsoma kwanza kuwa anapenda nini.Wachumia tumbo bado wanasikilizia upepo wa Madam kama ataendelea kuwabeba basi na wao watendelea kupendekeza aongezewe muda.
MUNGU ACHENI AITWE MUNGU;Awali ya yote tupeane pole kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na Mh Rais John Pombe Magufuli,hakika hayakuwa haya maisha ya dunian ila ni kitu chenye kupita tu.
Hapa karibuni kulikuwa na hoja ya kumuongezea muda wa kubakia madarakani Mh Rais John Pombe Magufuli na wengine wakaenda mbali na kusema kwamba akikataa tumlazimishe, pasipo na kujua kwamba ahadi ya uhai na maisha siri hii ipo kwa Mwenyezi Mungu. Leo hayupo Tena kwenye mgongo wa ardhi, hayupo tena. He is very dead and very gone!
Je, wale wahafidhina wa mitano Tena na kuongezwa kwa muda wa kukaa RAIS MADARAKANI, wataendelea na HOJA hii kwa MH RAIS Mama SAMIA SULUHU au walii-personalise kwa Hayati Mh RAIS Magufuli?
Aongezewe au Asiongezewe.
Mzee alishachemka siku mingiWale walikua ni wa mapambio.
Samia hawezi kutaka Yale Mambo ya kisifa.
Magufuli ndie alikua anataka abaki madarakani.
Akaanza kupandikiza watu waseme kua aongezwe Muda atake asitake.
Mbinu alizokua anatumia za kijinga za kumbakisha madarakani ndio yaliyomperekea kununua hata wapinzani.
Sasa kwa mfano Patrobas katambi kua usalama wa taifa ili iweje,alikua anataka nini.
Nabisha! Nabisha! Nabisha! Naenda kwenye page yake nikathibitishe mwenyewe manake naona kama unamsingizia tu mzee wa watu!Mf Lemutuz kaanza kumsifia Mama eti Kanyaga Twende…tumechelewa sana…yaan mara Hii Magu alikuwa anatuchelewesha!?…
Nabisha! Nabisha! Nabisha! Naenda kwenye page yake nikathibitishe mwenyewe manake naona kama unamsingizia tu mzee wa watu!
Kwa kweli katiba iheshimiwe, iboreshwe zaidi iendane na nyakati na mahitaji ya sasa na iheshimiwe na watu wote. Ikiwa kila kundi dogo la watu wenye takwa lao wanabadili katiba, matakwa ya wanadamu hayaishi tutabadili katiba kila siku.What if kama umepeleka HOJA Kama hiyo na katiba ikabadilishwa,then all of the sudden RAIS huyo anafariki dunia Kama ilivyotokea hivi sasa,then akapatikana RAIS mwingine ambae ni mbovu na muovu,je tutarud Tena kubadilisha katiba na kupunguza muda wa RAIS KUBAKIA MADARAKANI??
Salute kwako The Big ShowNipo,Magufuli alinikwaza kwenye suala la Korosho tuh,hayo mengine sina comment
Salute kwako The Big Show
Ni kweli kbs,ni Kama uchuro hiviiMkiongea sana hii hoja watakufa kabla ya kumaliza terms jamani. Iacheni hoja.
Kwa kweli katiba iheshimiwe, iboreshwe zaidi iendane na nyakati na mahitaji ya sasa na iheshimiwe na watu wote. Ikiwa kila kundi dogo la watu wenye takwa lao wanabadili katiba, matakwa ya wanadamu hayaishi tutabadili katiba kila siku.
Mkuu ni wewe hii ID? sijaiona kitambo humu, ulienda wapi ndugu.
Kwa kweli haukuwa ustaarabu!Ila swala la Ukabila na Udini limemkwaza kila mmoja.
Mkubwa ni mungu pekee,MUNGU ACHENI AITWE MUNGU;
Watu wamejazana ujinga kwamba nchi hii haiwezi kwenda bila Magufuli. Leo ni siku ya 10 kwa (mujibu wa tangazo lao) tangu afariki lakini nchi ipo, inakwenda na waliokuwa wanapiga debe wapo. Watuonesha imesimama upande upi?
Ndugai
Keissy
Sanga
Bado mko hai, mlituaminisha hakuna kitakachofanyika bila Magu, mbona hamjajitoa uhai mumfuate?
Mambo poa, Furaha kukuona.Mkuu ni Mimi,
Maisha tuh,mambo yako poa lakin