Hoja ya kuongezewa muda wa Rais kubakia madarakani itaendelea kwa Rais Samia Suluhu Hassan?

Nasisitiza, atake asitake lazima tumuongezee muda hata kwa kulazimisha.

Jamani MUNGU fundi nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anatuangalia mipango yetu alafu anasema ihiiii in magus voice[emoji23][emoji23][emoji23]
Niseme tu kuna haja ya kurudi na kujifanyia tathmini
Kupitia huu msiba kuna mengi ya kujifunza
Ni namna nyingine Mungu kajidhihirisha mimi ni Mungu nipo ambae nipo
Once again nakubali Mungu mkali sana[emoji1430]
Kama tungejua kesho yetu tungeishi Kama vile hii dunia ni mapito tu
 
Wangeweza kufikilia hilo wasingejaribu kumuongezea hata mwaka. Tatizo walimchukulia kamungu mtu ambacho akiwezi kufa.
 
Hiyo hoja itazima kama moto wa kifuu ukinyeshewa na mvua ya masika.

Hapa ndipo utagundua watu walivyo na degree za unafiki - sasa hivi wanamsoma Mama ili waone namna bora ya kumpamba pamba!! Subiri Bunge lianze ili ushuhudie wazee wa mishipa ya aibu iliyokatikaga!!
 
kwani Samia ameshatimiza vipindi viwili vya miaka mitano mara ile?
 
Sisi wa kanda ya ziwa its nature!! Ndiyo maana mzee wa mji (boma) akifika nyumbani toka matembezini kwa mfano watu wote kwenye boma lazima wasimamishe kazi zao zote wakamsalimie mzee kwa kupiga magoti kila mmoja kwa wakati wake...kuanzia Mkewe hadi watoto wote!! Watoto wakiume tu ndiyo hawapigi magoti.

Kisha mzee hubaki na watoto wake wa kiume tu kuongea nao kupata ripoti ya kutwa hasa reportya mifugo kuhusu malisho, maziwa yaliyokamuliwa na magonjwa kama yapo nk
kama mtoto wa kike akiwa na shida basi itapitia kwa mama yake yeye hana mamlaka ya kumwambia ama kumhoji baba yake - Mzee wa boma ni mtu mtu mkubwa!!

Ndiyo maana watoto wa kiume wote huitwa Ngosha!! Yaani Kidume.

Kama mzee wa boma akisafiri basi humteua kijana wake mkubwa kushika mji..(madaraka) huyo ndiyo atafanya kazi zote za boma kwa mujibu wa kanuni za mji ama kabila ambazo zipo wazi. Kama mama mwenye mji ( bi mkubwa) akiwa na jambo hana mamlaka ya uamuzi wa utekelezaji hadi ashirikiane na kijana - kijana akigoma basi jambo halitafanyika.
 
Inawezekana walikuwa wakitoa maoni hayo kutokana na utendaji Wa marehemu so Mh. Samia nae akifanya vema sana huenda kukawa na maoni kama hayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…