Humu humu ndiyo pazuri Mkuu, unapelekwa Mtwara kula ming'oko au unapelekwa Morogoro ukale magimbi au unapelekwa Mwanza ukale Sato [emoji28]
Wahi kujaza fomu uniletee mapema [emoji125][emoji125]
Nimetoa tahadhari mapemaaa, hamkawiii baadae mtoto kapotoka muanze kusema ndo alitaka mtoto aharibike, kwan wabongo wana jema sasa.Umeshawaza mambo ya upinde tayari
Basi sawaahbrazil hawana ujinga huo na kuna dini kuliko ulaya.
Nimetoa tahadhari mapema, wala sio vibayaaNdio unachowish kitokee[emoji35]
🤣🤣🤣 utakuja unifanye nianguke kwa kucheka siku moja!Hivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Hahaha.........sahihi Mkuu, akichelewa atapelekwa Iringa akale supu ya mbwa 😅Mwache alete pozi atakuja kutafuta nafasi za bariadi akute zimeshajaa
Acha urongo brazilian wengi ni roman catholicWabrazil wengi ninaowafahamu ni walokole watu wa dini sana na ni wastaarabu. Mfano wachezaji wa Liverpool pale akina Fabinho, Alison na enzi hizo Firmino, Coutinho walikuwa ni watu wa imani sana walokole wa ubatizo wa maji mengi.
Mara kadhaa hata wakiwa mapumzikoni kwao Brazil wanaimba kwanya makanisani.
Akina Lissu wameshindwa kabisa kulea Huyu mtoto?Huyu mtumishi wa Mungu na mke wake baada ya kufika Singida walienda kituo cha kulea watoto na kumchukua mmoja ambaye kwa sasa wanaishi nae na mke wake kama mtoto wao
Hakika kwa imani na matendo yake nina imani mtoto atalelewa katika kumjua Mungu.
View attachment 2661365View attachment 2661366
Mmh acha hizo njoo nikuasili mimiHivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Wewe bibi tulia umalizie uzee!Hivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Wengi ni wote? Soma uelewe kabla hujakurupuka. Halafu sijasema ninawafahamu wabrazil wote nimesema wengi nanaowafahamu.Acha urongo brazilian wengi ni roman catholic
Mbona kuna mambo mengi sana ya kufikilia tofauti na hayo ya ushoga?Sahivi wana msifia mnoo, ngoja mtoto akue, aamue akae upande upi kwenye sexual orientation, tusikie lawama km mile za kwa Madonna
Asije fundishwa uchoko kama yule wa madonaHuyu mtumishi wa Mungu na mke wake baada ya kufika Singida walienda kituo cha kulea watoto na kumchukua mmoja ambaye kwa sasa wanaishi nae na mke wake kama mtoto wao
Hakika kwa imani na matendo yake nina imani mtoto atalelewa katika kumjua Mungu.
View attachment 2661365View attachment 2661366
Njo nikuasili mimiHivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
mbwa mzee hafundishikiHivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Brazil 70% ni RC,the rest ni protestant,makanisa ya kilokole hayafiki asilimia mbiliWengi ni wote? Soma uelewe kabla hujakurupuka. Halafu sijasema ninawafahamu wabrazil wote nimesema wengi nanaowafahamu.
Umeongea hoja kubwa Sana Sisi weusi ni watu wenye roho mbaya sana. Mfano mdogo tu wengi hua tunatamani kuzamia nchi za dunia ya Kwanza na tupeww uraia lakini hebu fikiria mfano Kibu Denis kuna watu hua wanaumia kupewa uraia ya nchi masikini kama Tanzania. Hata inafika steji anatukanwa stars isipofanya poa, sio Kwa kiwango chake Bali asili yake.. [emoji28]Mzungu mzungu tu,usikute jamaa hana mshahara mkubwa wala maisha makubwa lkn moyo wa kusaidia anao,akina sisi sasa ndugu tu humtaki
Wewe njoo tunywe bia acha ujinga, umri wako hata ukifiwa na Wazazi wote Wawili wala huitwi Yatima.Hivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
hilo ni shoga achana nalo kama mi muongo lifatilie humu kwny thread zote anachoandka n zle za kufukuliwa mavi. Ni shoga huyo hata uspoteze muda nae hapo linaombea uyo mtoto achague kuwa choko.unamtindio sio bure