Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kuna mambumbumbu yanawadanganya mbumbumbu wenzao kwamba Gomez haendani na kasi ya timu yao kwa hiyo hawamuhitaji, yani nabaki nacheka tu.ππGomez ana kila sifa ya kuwa katika kikosi cha Wananchi
Mwenyekiti tutafute wa kutuasili bwanaπ€£π€£π€£Hivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Bila kuwasahau Romario na Edmundo πWabrazil wengi ninaowafahamu ni walokole watu wa dini sana na ni wastaarabu.
Yatima mzeee π€£π€£π€£π€£π€£π€£Wewe njoo tunywe bia acha ujinga, umri wako hata ukifiwa na Wazazi wote Wawili wala huitwi Yatima.
Akuoe tuHivi kuasili ina limitation ya umri, nikiomba mtu anichukue kama hivo inawezekana? Au niache ujinga...
Nyinyi ndoa ndio saizi yenu, tena unapata Uraia faster tu.Mwenyekiti tutafute wa kutuasili bwanaπ€£π€£π€£
Yani wewe kamata Mmarekani wako funga ndoa imeisha hiyo ubalozini usumbuliwi hata chembe, unalamba viza kiulani na Uraia uko njiani.Yatima mzeee π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Nipo tayari kukuasili BFF, nina green card ya kwa BidenMwenyekiti tutafute wa kutuasili bwanaπ€£π€£π€£
Aaah watuasili tu twende mbele katibu, hapa bongo mambo yashakua mengi waarabu watatuomba taarabu (ref afande sele)π€£π€£Mwenyekiti tutafute wa kutuasili bwanaπ€£π€£π€£
Au niache ujinga...
Hapo Ndipo Pabaya Na Kwakuwa Warmley Wao Tena KwaoSahivi wana msifia mnoo, ngoja mtoto akue, aamue akae upande upi kwenye sexual orientation, tusikie lawama km mile za kwa Madonna
Mjukuu naomba connection nikafie mbele nirudi parcel π€£Wewe bibi tulia umalizie uzee!
Niasili basi ila usinipeleke kanyigo nataka kwenda mbeleMmh acha hizo njoo nikuasili mimi
Sasa hao wamarekani wa kutuoa tunawatoa wapi? Na wanatuoa then tukipata visa tunapita hivi si ndio?Nyinyi ndoa ndio saizi yenu, tena unapata Uraia faster tu.
Mfano Marekani viza rahisi kuliko zote ni ya spouse viza.
BFF haya sasa ndio mambo ya kuongea. Hebu fanya haraka.Nipo tayari kukuasili BFF, nina green card ya kwa Biden
π€£π€£π€£π€£Aaah watuasili tu twende mbele katibu, hapa bongo mambo yashakua mengi waarabu watatuomba taarabu (ref afande sele)π€£π€£
Hilo ndo kuu linalowakwaza wabongo,Mbona kuna mambo mengi sana ya kufikilia tofauti na hayo ya ushoga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute huyo unae mueleza, ananifahamu kuliko hata wee, kaa kwa nywilaaa.hilo ni shoga achana nalo kama mi muongo lifatilie humu kwny thread zote anachoandka n zle za kufukuliwa mavi. Ni shoga huyo hata uspoteze muda nae hapo linaombea uyo mtoto achague kuwa choko.
Acha kujifungia ndani, jichanganye, jumapili kama leo unajilipuwa tu dompo yako unakwenda kunywea sea cliff hotel.Sasa hao wamarekani wa kutuoa tunawatoa wapi? Na wanatuoa then tukipata visa tunapita hivi si ndio?
Mie nimetoa tahadhari kabisaa, sio baadae tuanze kusikia lawamaa hapaa, wabongo hawakawii hataHapo Ndipo Pabaya Na Kwakuwa Warmley Wao Tena Kwao
Mtoto Anaweza Kupindwa Vizuri Tukabaki Midomo Wazi