Hongera kwa Wabunge na Viongozi wa Upinzani waliogoma kuuza utu wao

Watu wanajiuza miili na kurisk maisha sababu ya familia ndo ije ubunge, we fa la sana
 
Wameishia kununua .madiwani na wabunge njaa....

Kuiua CDM unahitaji kichwani uwe fit... yaani hesabu kama za Galileo...
sasa akili kidogo kama zangu na nguvu nyingi wapi na wapi kuruta!!
 
Wameishia kununua .madiwani na wabunge njaa....

Kuiua CDM unahitaji kichwani uwe fit... yaani hesabu kama za Galileo...
sasa akili kidogo kama zangu na nguvu nyingi wapi na wapi kuruta!!
Hahahaha unakuta mtu akili zake zinamtuma kusifia tu
 

Hakuna yasiyokua na mwisho yuko wapi nkurunzinza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…