Hongera Mwakilema kwa kupandishwa kutoka Kamishna TANAPA hadi kuwa Mkuu wa Wilaya

Bora na sisi TANAPA tupumue baada ya kutoka ili linyakyusa mpigaji
 
KAPANDISHWA AU KASHUSHWA?
 
Dah tutakumiss sana

Ha ha ha !
Mkuu mimi nampongeza mama Samia kwa kumuoana huyu jamaa na utopolo ndani ya TANAPA.
Naona unamdhihaki huyu Mwakilema, kaporomshewa jumba bovu kama huna habari.
Alikuwa anaringia wadhifa wake unaofadhiliwa na World Bank.
Na wewe unashindwa nini kuringia wadhifa wako kama unao. Ringa na wewe kama unadhani ni rahisi hujakatazwa.
 
Kama ameonewa basi ashitaki kwa Mwenyezi Mungu atamlipia hapa Duniani akiona.

[emoji24]
 
Watamshangilia kuwa kapata uteuzi but in real sense kimasirahi imemega kwake, title sawa! Anaacha OC ya B1, Dev B 12 hadi Oc ya Mil 3, Dev 0. Anaenda kupiga magot kwa DED!

Anahama na mshara wake. Why? Sababu haja request kuhama. Ila amehamishwa so kisheria wataendelea kumlipa vile vile isipokuwa tu marupu rupu hayotokuwepo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…