Ndicho kilichofanyika kwa huyu grace mugabe wa bongombona kupata mtoto siku hizi ni rahisi tu wengi tu wanalea watoto si wao.. unamlipa msela anakusaidia kupiga mashine ikiwa unajua huwezi pata mtoto.. kama una pesa basi mbegu za kidume mwingine zinapandikizwa kwenye yai la mkeo anazaa vyema kabisaaa
Ataondoka na wajinga tu lakini siyo wenye kujitambuaYan makonda akipita humu ataondoka na tenga la wake mpaka vidume
Wazazi wa makonda walitangaza kwenye TV kuwa wana mtoto mmoja tu Makonda basi hivyo hana wa kumsaidia kupata mtoto.Acha walopoke, siku Makonda akimwonyesha live, chata ni yake, hawa hawa watadai ni wa kaka ake .
Wabaya wake wanalijua hilo ?Wazazi wa makonda walitangaza kwenye TV kuwa wana mtoto mmoja tu Makonda basi hivyo hana wa kumsaidia kupata mtoto.
Wanalijua sababu mimi niliwaona kwenye U Tube ina maana mtu akitafuta atawaona wanavyojisifia kuomba na walivyopata. Hii ni baada ya Bashite kuwa DC kabla ya RC.Wabaya wake wanalijua hilo ?
Hongera sana Daudi Albert Bashite kwa Baby Boy,hongera sana Maria kwa mtoto,mungu amkuze na hasirithi tabia za baba yake amche mungu,awe mpole kama wewe.Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda. Naandika hapa kukupongeza kwa moyo wa dhati kabisa kwa kupata mwana ambaye nasikia umempa jina la Keegan. Hongera sana. Najua relief iliyomo moyoni mwako kwa sasa. Maana watu walisema kila msemo. Mungu Mkubwa kaka, mwamini Yeye ndiye mtoa na mnyima wa vyote.
Lakini nna jambo moja kubwa nataka niseme nawe kidogo kuhusu barabara za jiji la Dar es salaam ambalo kila kona sasa hivi lami mbovu imekatwa 'Kashata' bila shaka ni kwa ajili ya kuziba mahandaki. Tatizo kaka RC hao wakata kashata wanafanya hivyo leo lakini wanakuja kufukia mahali hapo mwezi ujao. Na lami ikikatwa inakuwa kali kama kisu. Hivyo matairi ya vigari vyetu vya mkopo yanaathirika kishenzi!
Mfano mdogo tembelea barabara ya Kinondoni Muslim ambayo leo imekatwa 'kashata' toka kwa Manyanya hadi barabara ya Ali Hassan Mwinyi. Hebu waeleze watu wako wazibe hizo kashata mara tu baada ya kuzikata lamini haraka, vinginevyo nia njema ya kukarabati barabara zetu itageuka janga kwa watumiaji barabara.
Kwa leo ni hayo tu. I hope utapitia hapo na sehemu zingine uone uozo huu
Kwa sababu mtu kapata katoto kamoja ka test tube baby akiwa Na miaka 42? Acha undeziWanajisikia aibu.Ingawa hawawezi kukiri
South Africa mkuu Mwananyamala tutazalia sisi wa KwamtogoleNaomba niulizie na hospital aliyojifungulia mkuu wakikujibu niambie maana mm sijui.
Raha ya mimba iingilie kwenye 6x6 si test tube bwanaKwa sababu mtu kapata katoto kamoja ka test tube baby akiwa Na miaka 42? Acha undezi
Unadhani na yeye anakupenda?Mange simpendagi kiivo
Mungu hadhiakiwi...! Vyote vilivyomo duniani ni mali yake. Chagua maneno vizuri ya kutumia mahali popote hapa duniani. Una bahati sana umepata furusa ya kukumbushwa hili.Kwa sababu mtu kapata katoto kamoja ka test tube baby akiwa Na miaka 42? Acha undezi