Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

mbona kupata mtoto siku hizi ni rahisi tu wengi tu wanalea watoto si wao.. unamlipa msela anakusaidia kupiga mashine ikiwa unajua huwezi pata mtoto.. kama una pesa basi mbegu za kidume mwingine zinapandikizwa kwenye yai la mkeo anazaa vyema kabisaaa
 
mbona kupata mtoto siku hizi ni rahisi tu wengi tu wanalea watoto si wao.. unamlipa msela anakusaidia kupiga mashine ikiwa unajua huwezi pata mtoto.. kama una pesa basi mbegu za kidume mwingine zinapandikizwa kwenye yai la mkeo anazaa vyema kabisaaa
Ndicho kilichofanyika kwa huyu grace mugabe wa bongo
 
Yan makonda akipita humu ataondoka na tenga la wake mpaka vidume
 
Hongera Daudi Albert Bashite kwa kupata mtoto wa kiume ,KEAGAN amepata Binamu zake KEANU na KENZO.
 
Acha walopoke, siku Makonda akimwonyesha live, chata ni yake, hawa hawa watadai ni wa kaka ake .
Wazazi wa makonda walitangaza kwenye TV kuwa wana mtoto mmoja tu Makonda basi hivyo hana wa kumsaidia kupata mtoto.
 
Najaribu kupiga Picha maisha ya mtoto baada ya Sizonje kumaliza awamu zake, na pale tume zitakapoundwa kufuatilia watu waliopotea ma miili ilitokootwa kwenye viroba, na ile kesi ya kughushi na kutumia vyeti vya mtu mwingine. Napatwa na huzuni na mustakabali wa mtoto
 
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda. Naandika hapa kukupongeza kwa moyo wa dhati kabisa kwa kupata mwana ambaye nasikia umempa jina la Keegan. Hongera sana. Najua relief iliyomo moyoni mwako kwa sasa. Maana watu walisema kila msemo. Mungu Mkubwa kaka, mwamini Yeye ndiye mtoa na mnyima wa vyote.

Lakini nna jambo moja kubwa nataka niseme nawe kidogo kuhusu barabara za jiji la Dar es salaam ambalo kila kona sasa hivi lami mbovu imekatwa 'Kashata' bila shaka ni kwa ajili ya kuziba mahandaki. Tatizo kaka RC hao wakata kashata wanafanya hivyo leo lakini wanakuja kufukia mahali hapo mwezi ujao. Na lami ikikatwa inakuwa kali kama kisu. Hivyo matairi ya vigari vyetu vya mkopo yanaathirika kishenzi!

Mfano mdogo tembelea barabara ya Kinondoni Muslim ambayo leo imekatwa 'kashata' toka kwa Manyanya hadi barabara ya Ali Hassan Mwinyi. Hebu waeleze watu wako wazibe hizo kashata mara tu baada ya kuzikata lamini haraka, vinginevyo nia njema ya kukarabati barabara zetu itageuka janga kwa watumiaji barabara.

Kwa leo ni hayo tu. I hope utapitia hapo na sehemu zingine uone uozo huu
Hongera sana Daudi Albert Bashite kwa Baby Boy,hongera sana Maria kwa mtoto,mungu amkuze na hasirithi tabia za baba yake amche mungu,awe mpole kama wewe.
 
Hongera mdogo wangu daudi bashite from kolomije jpili njoo kwenye kanisa la ufufuo na uzima kwa kaka yako gwajima akuombee
 
Kwa sababu mtu kapata katoto kamoja ka test tube baby akiwa Na miaka 42? Acha undezi
Mungu hadhiakiwi...! Vyote vilivyomo duniani ni mali yake. Chagua maneno vizuri ya kutumia mahali popote hapa duniani. Una bahati sana umepata furusa ya kukumbushwa hili.
 
Back
Top Bottom