Hongera Rais Magufuli kwa kulitatua tatizo sugu la mgao wa umeme nchini

Hongera Rais Magufuli kwa kulitatua tatizo sugu la mgao wa umeme nchini

Kuanzia mwaka 2006 mpaka rais magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa mara kwa mara ikikumbwa na tatizo kubwa la mgao wa umeme. Tatizo ambalo kwa muda mrefu lilikuwa mwiba kwa taifa letu. Vinyozi,wenye saluni za kike, wenye mabaa mpaka wenye viwanda lilikuwa ni tatizo linalowaumiza.

Ulipoingia madarakani ulisema hili tatizo litakuwa kweli mwisho. Na kwa hakika sasa tumesahau. Maana kama umeme ukikatika ujue kuna hitilafu na matengenezo. Lakini sio mgao wa umeme eti kwa sababu umeme hautoshelezi.

Swali ambalo mimi nimejiuliza kichwani kwangu je kwa nini kipindi hicho kulikuwa na mgao wa umeme wa karibu siku tatu au wiki kwa baadhi ya mikoa ? Je ilikuwa ni dili za wauza jenereta? Na wewe ulipoingia ukazibana na sasa umeme unapatikana masaa 24!

Je zilikuwa deal za wajanja wachache kama akina Harbinder Seth na wenzake ili waweze kupata tenda za kuizuia umeme Tanesco na kisha kulipwa malipo ya capacity charges yanayoiumiza Tanesco. Ila wewe ulipoingia ukavunja na mkataba wa Tegeta Escrow.

Au ndio zilikuwa hujuma za watumishi wa Tanesco kwenye hydropower stations ambao walishirikiana na mafisadi ili kufungulia maji yapungue kwenye mabwawa ili umeme usizalishwe kama inavyohitajika. Ila wewe ulilishutukia hili na kuwatimua. Sasa mgao wa umeme sio hadithi tena.

Je, kama hali iko hivi Je JNHPP ikikamilika mambo yatakuwaje?

Jambo linalosikitisha pamoja na mambo mazuri unayoyafanya wafuasi wa Chadema na wanachama wao hawana uzalendo na kukushukuru kwa namna ulivyojitoa ili Tanzania iliyokuwa imepinda inyooke.

Ila nakupa pongezi kwa hili na kwa mantiki hii kura za urais Mungu akipenda utapata 99.5%.
Bado kwenye suala la kukatikakatika umeme. Hapa hivi natype, umeme umekata na kurudi! Kyela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tindo bila kuwa na political will hili jambo ni gumu. Lazima umpongeze JPM.
Kumpongeza mtu anapofanya vizuri ni kitu kizuri hata kama ni wajibu wake na analipwa. Hii humwongezea motisha. Ndiyo sababu hata wachezaji akina Messi wakifanya yao uwanjani huwa wanashangiliwa ilhali wanayo mishahara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hii ni laana! Watanzania tumwogope Mungu!! Yani kuleta malori tani 1500 tu tena kwa kuazima kwa jirani eti hongera kwa kutatua tatizo sugu!!

Kwa hiyo tatizo sugu la Sukari limeshatatuliwa?
 
TANESCO wenyewe wanasema 58.5% ambayo ni 796.34MW ya umeme unaozalishwa nchini unatokana na thermal gas and diesel.

Kabla hamjampa Magufuli sifa ambazo sio zake kama ilivyo kawaida yenu, nitajie thermal gas and diesel plants zilizoanzishwa na Magufuli Administration.

Aidha, 41.5% ya umeme unaozalishwa ambayo ni 561MW, huu unatokana na maji.

Mosi, wewe umezitoa wapi hizo 800MW ambazo Sterling Magufuli alipoingia tu madarakani, "akabomoa bomoa" kuta zilizokuwa zinazuia maji na matokeo yake umeme ukaanza kuwa wa kumwaga!!

Pili, kwavile post ya awali nimekuuliza unitajie power plants initiated and built by Magufuli administration lakini umeshindwa kutaja, ina maana alichofanya Magufuli kubwa zaidi ni kudhibiti the so-called waliokuwa wanazuia maji ambao hata nikikuuliza katika hilo zoezi ameokoa megawatts ngapi katu huwezi kuwa na jibu!!!

So, unataka kusema pongezi zote hizo ni kwa sababu aliweza kudhibiti waziba maji ambao hata nikikuuliza katika kudhibiti huko ameokoa MW ngapi, katu hutaweza kujibu!!!

Narudia, kazi kubwa kwenye umeme imefanywa na Mkapa pamoja na JK na sio Magufuli baada ya kufanikisha kutoa gas kutoka Lindi na Mtwara hadi Dar es salaam, na hapo ikawa ndio mwisho wa ku-rely heavily kwenye diesel kuendesha power plants kadhaa za Dar es salaam ambazo zimeingizwa kwenye national grid.

Kinyerezi peke yake inazalisha karibu 400MW kutokana na gas ya Mtwara ambayo bomba lilijengwa mwaka 2013. Pale Ubungo zinazalishwa takribani 230MW kutokana na gas kutoka Lindi!

Sasa pamoja na yote hayo, sifa apewe Magufuli ambae hajaanzisha plant yoyote ya uzalishaji wa umeme?! WHY?! Jibu ni very simple: Kwa mfuatiliaji anajua Magufuli kaanzisha miradi michache sana ambayo ipo successful.

Kutokana na hilo, Wafuasi wake wanalazimika kumsifia kwa vitu ambavyo hata hajafanya yeye, manake hata hizo flyovers za Dar es salaam, ukweli ni huu hapa kama unavyoelezwa na Wajapan wenyewe:- Na ukifuatilia, utakuat projects zote mbili, TAZARA na Ubungo, zilitokana na ombi la serikali la mwaka 2007, kwahiyo JPM kaja kujenga tu manake kila kitu kilishakamilika, including funding.
Sometimes this world needs crazy decisions and crazy decision-makers if that's all it takes to make it a better place for humankind... by chige.
MAGUFULI JP
 
What's so special alichofanya JPM kwenye umeme?!

Kwa wanaofuatilia wanafahamu mahali kama Dar moja ya changamoto kubwa ilikuwa miundombinu! Ni wakati Muhongo yupo waziri awamu ya 4 ndipo miundombinu iliboreshwa sehemu mbalimbali.

Aidha, ili kuondokana na kutegemea umeme wa maji kwa mabwawa ambayo yamejengwa tangu ukoloni na kuachana na matumizi ya mafuta, likajengwa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es salaam.

Baada ya kujengwa Bomba la Gesi, mitambo ambayo zamani ilikuwa inatumia mafuta ikaanza kutumia gesi, na wakati anaingia JPM tayari umeme ulishaanza kuzalishwa, na yeye akaongeza tu Kinyerezi III.

Hakuna mradi mkubwa hata mmoja ambao Magu ameuanzisha, no wonder anang'ang'ania Stiegler ili aache alama huko manake wakati Mkapa kajenga Ubungo Power Plant kwa kutumia Gesi ya Songosongo, JK akajenga Kinyerezi kwa kutumia gesi ya Mnazi Bay!

Nitajie Power Plant iliyojengwa na Magufuli!
Hiyo kinyerezi ||| amejenga baba yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgombea u-Rais alipokuwa anaomba kura mwak 2015 alitoa AHADI kuwa nitafanya haya na haya. Wapiga kura wakalinganisha kati ya yeye na mpinzani then wakampa yeye kura akashinda. Sasa anatekeleza yale aliyo YAAHIDI ambayo ni wajibu wake, SWALI, kwa nini nyie mnataka TUMSIFIE 24/7? isitoshe kila mradi anaoutekeleza anatumia kodi zetu sisi wenyewe, kwa nini mnakomaa mishipa KUMSIFIA?

Wanaotaka KUSIFIWA wana dalili zote za UDIKTETA na hivyo ndivyo alivyokuwa Adolf Hitler na Benito Mussolini
Na Nyerere
 
Miaka yote kodi zimekuwa zinalipwa. Ila mambo aliyoyafanya JPM yanastahili pongezi. Maana amejitoa, na kusema ukweli sio kumsifia mtu. Hayo ya Benito na Hitler ni mifano mfu.
Sana sana amejitoa kutuibia. Ziko wapi Tsh 2.4 Trilion anazoziulizia CAG wa ukweli
 
Usitoe pongezi kwa mtu asiyehusika. Mgao wa umeme ulidhibitiwa siku nyingi kabla ya 2015. Ni wakati ambapo prof Muongo alipokuwa waziri wa nishati. Alidhibiti mpaka gharama za kuweka umeme majumbani, maana wakati huo kabla yake nguzo moja tu mtu alitakiwa kuilipia sn milioni 1. Alipoteuliwa kuwa waziri aligundua kuwa nguzo zinatoka humu nchini zinaenda nje kisha tumauziwa sisi wenyewe. Hayo aliyasema bungeni na akayadhibiti, gharama za umeme zikashuka.
Kuanzia mwaka 2006 mpaka rais magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa mara kwa mara ikikumbwa na tatizo kubwa la mgao wa umeme. Tatizo ambalo kwa muda mrefu lilikuwa mwiba kwa taifa letu. Vinyozi,wenye saluni za kike, wenye mabaa mpaka wenye viwanda lilikuwa ni tatizo linalowaumiza.

Ulipoingia madarakani ulisema hili tatizo litakuwa kweli mwisho. Na kwa hakika sasa tumesahau. Maana kama umeme ukikatika ujue kuna hitilafu na matengenezo. Lakini sio mgao wa umeme eti kwa sababu umeme hautoshelezi.

Swali ambalo mimi nimejiuliza kichwani kwangu je kwa nini kipindi hicho kulikuwa na mgao wa umeme wa karibu siku tatu au wiki kwa baadhi ya mikoa ? Je ilikuwa ni dili za wauza jenereta? Na wewe ulipoingia ukazibana na sasa umeme unapatikana masaa 24!

Je zilikuwa deal za wajanja wachache kama akina Harbinder Seth na wenzake ili waweze kupata tenda za kuizuia umeme Tanesco na kisha kulipwa malipo ya capacity charges yanayoiumiza Tanesco. Ila wewe ulipoingia ukavunja na mkataba wa Tegeta Escrow.

Au ndio zilikuwa hujuma za watumishi wa Tanesco kwenye hydropower stations ambao walishirikiana na mafisadi ili kufungulia maji yapungue kwenye mabwawa ili umeme usizalishwe kama inavyohitajika. Ila wewe ulilishutukia hili na kuwatimua. Sasa mgao wa umeme sio hadithi tena.

Je, kama hali iko hivi Je JNHPP ikikamilika mambo yatakuwaje?

Jambo linalosikitisha pamoja na mambo mazuri unayoyafanya wafuasi wa Chadema na wanachama wao hawana uzalendo na kukushukuru kwa namna ulivyojitoa ili Tanzania iliyokuwa imepinda inyooke.

Ila nakupa pongezi kwa hili na kwa mantiki hii kura za urais Mungu akipenda utapata 99.5%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes this world needs crazy decisions and crazy decision-makers if that's all it takes to make it a better place for humankind... by chige.
MAGUFULI JP
Signature yangu inahusiana vp na mada hii?!

Siku mradi wa Stiegler ukikamilika na kuleta matunda ndipo signature yangu itakuwa sawa kwake kwa sababu to run Stiegler's Gorge Project wakati tuna gas ya kumwaga ambayo economic impact yake ni kubwa maradufu ya hydropower project, of course, that needs crazy decision and crazy decision-makers.

But also don't forget my conclusion kwenye signature "...if that's all it takes to make it a better place for humankind".
 
Usitoe pongezi kwa mtu asiyehusika. Mgao wa umeme ulidhibitiwa siku nyingi kabla ya 2015. Ni wakati ambapo prof Muongo alipokuwa waziri wa nishati. Alidhibiti mpaka gharama za kuweka umeme majumbani, maana wakati huo kabla yake nguzo moja tu mtu alitakiwa kuilipia sn milioni 1. Alipoteuliwa kuwa waziri aligundua kuwa nguzo zinatoka humu nchini zinaenda nje kisha tumauziwa sisi wenyewe. Hayo aliyasema bungeni na akayadhibiti, gharama za umeme zikashuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika?
 
Usitoe pongezi kwa mtu asiyehusika. Mgao wa umeme ulidhibitiwa siku nyingi kabla ya 2015. Ni wakati ambapo prof Muongo alipokuwa waziri wa nishati. Alidhibiti mpaka gharama za kuweka umeme majumbani, maana wakati huo kabla yake nguzo moja tu mtu alitakiwa kuilipia sn milioni 1. Alipoteuliwa kuwa waziri aligundua kuwa nguzo zinatoka humu nchini zinaenda nje kisha tumauziwa sisi wenyewe. Hayo aliyasema bungeni na akayadhibiti, gharama za umeme zikashuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mfuatiliaji mzuri sana wa masuala ya umeme! Na to be honest, pamoja na scandal ya Escrow, kwangu Muhongo ndie alikuwa my best candidate kwa uchaguzi wa mwaka 2015; na alini-impress kutokana na alivyoshughulikia vema issue ya umeme na gas kule kusini!

Mimi nakumbuka Bush kwetu ilikuwa tuwekee umeme mwaka 1991 lakini ikashindikana hadi mwaka 2014; WHY? Kwa watu wa pwani miaka ile minazi kwao ilikuwa ni kama ng'ombe kwa Mmasai!

In short walishindana kwenye malipo ya kukata minazi!

Muhongo alipoenda mwaka 2014 hakutaka kuremba... akawaambia wazi tunaleta umeme na hakuna atakayelipwa hata senti 5 kwa ajili ya minazi yake; na kama hamtaki, tunawaruka tunasonga mbele!!

Ni spirit ile ile ya Muhongo ndiyo imebadilisha Tanzania mzima; halafu leo wanakuja watu eti Magufuli ndo katatua tatizo la umeme!
 
Back
Top Bottom