Hongera Rais Magufuli kwa kulitatua tatizo sugu la mgao wa umeme nchini

GRID ina excess ya zaidi ya 300MW hivo hakuna mgao tena tunawakaribisha investors waje wajenge Plants mana Umeme ni uhakika kwa sasa uki pata outage jua tu kuna regularly maintenance zinakuwa zinafanyika kukeep systems healthy zaidi na wala hizo outages hazi last longer na areas zinazo experience zinakuwa informed earlier too, Tukimaliza Bwawa la nyerere kuna the likely tukauza umeme East africa yote mana ndio tutakùwa Power house ya EA
We keep moving
 
Wew ni chizi au wazazi wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kabla ya hapo nchi ilikuwa inaongozwa na CHADEMA au TLP?
na HAITAONGOZWA hata siku moja na CHADEMA wa TLP labda vije vyama vingine visivyo na ukabila au uMwinyi
Umeme sasa ni free kwa bei ya chini tofauti na majirani zetu
 
Kama wewe unaona hakufanya juhudi kudhibiti mgao wa umeme kalisha makalio kimya. Official data hizo ni official data au upuuzi. Kwani sisi hatuoni kuwa hakuna mgao sasa hivi.
achana na Chige akili yake ni ya wale wanaopinga kila kitu akishirikiana na mamluki wa Ubelgiji
Honera kwa Magufuli kutupunguzia makali ya umeme sijui leo tungekuwa wapi
sasa CORONA inawapelekesha wengi lkn ulitabiri Mataifa na Mabenki yasamehe madeni na Corona inawezekana tukaishi navyo
 
Je asingelifanya? Tusingelimlaumu ama tungelimlaumu mkuu

Wajibu wa mama Kwa mwanae, ni kumlea na hicho ndicho kiapo cha mzazi Kwa mwanae

Lakini wengine, huwatupa watoto Wao mashimoni na kuwatekereza!

Unataka kuniambia Kati ya watoto hao, ni Yupi atasema asante Kwa mzazi wake Kwa kumlea, na Yupi hatasema asante, ingawa jukumu la kulea na wajibu huo ni wa wazazi

Acha roho mbaya mkuu, panapostahili asante isemwe tena Kwa nguvu na bila haya, paspostahili Napo tutasema Kwa sauti yote
 
Kwa hili la umeme mh.raisi kajitahidi Sana Mungu amtie nguvu zaidi na zaidi.
 
Mgao wa Umeme umepungua ila mgao wa Sukari ndio kwanza umeanza tunaigia kwenye resheni za sukari kama wakati wa Mchonga meno
Shehena ya kutosha imeshaingia. Hakuna mgao tena wa sukari.
 
Sitaki wapewe bure ndio maana nimesema wanaupata baada ya kuulipia. Sasa kama huduma unapata kwa kuilipia unamsifu nini msimamizi wa hiyo huduma?
Je kipindi kile wakati wanalipia alafu haupatikani? Majenereta yalikuwa yanaunguruma Tanzanian nzima.
 
You must be kidding unless una chumba kimoja ua huna vitu vya umeme, kwangu hiyo ni bill ya siku 5 mpaka 6

Stay home, stay safe
Corona kills
 
You must be kidding unless una chumba kimoja ua huna vitu vya umeme, kwangu hiyo ni bill ya siku 5 mpaka
Ni ujinga wako tu huo Mkuu, km hujui malipo ya kila mwezi yameondolewa kacheza na Tarrif la utaumia sana, Nenda Tanesco wakakurekebishie Tarrif upate Unit chini ya 100 km huna mashine ya kusaga
mm nina nyumba nzima na taa za sequrity,
umeme Tanzania nzima upo na ndio maana JF 24hrs tunakutana
 
Wenzako wanavifungia viwanda na Maelfu ya wafanyakazi wanapoteza ajira zao
Sukari ipo bandarini anataka kulazimisha iwahi. Huyu nae ana matatizo si watumie iliyopo? Hawa ndio wanaomharibia kazi JPM
 
kwa hili nakubaliana na wewe kabisa, hata ufipa wakikataa ila ukweli utapabi pale pale Mataga.
covid ipo chato
 
na HAITAONGOZWA hata siku moja na CHADEMA wa TLP labda vije vyama vingine visivyo na ukabila au uMwinyi
Umeme sasa ni free kwa bei ya chini tofauti na majirani zetu
Mie situmii umeme wa bure, sijui mwenzangu unapata wapi umeme wa free, itabidi Tanesco wakufuatilie, nyie ndio wezi wa umeme mnaolitia hasara shirika letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka unaweza kumpongeza na usipotaka ni sawa pia. Ila usingekuwepo tungepiga kelele kama zote maana ni haki yetu na si hisani ya huyo JPM.
Huko ni kupinga kila jambo. Sio siasa za kileo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…