mimi binafsi simpongezi kwa pasco kwa swali bali kwa kuwakilisha vizuri jukwaa hili la jamii forum ametutendea haki ,siku zote hoja za jamii forum hoja ni nzito zinahitaji upekee kukabiliana nazo .pongezi kwa uwakilishi mzuri hukuficha uhalisia wako na umejitambua ulikotoka ,hii inaonyesha ya kuwa michango yetu inakubalika katika jamii husika .