kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,875
Kwani ina maana mtu ukimsifu inakunyima haki ya kumponda akifanya kinyume?. Kukosoa siyo kosa bali ni kuonesha una mtazamo tofauti na huyo unayemkosoa. Ukisifiwa ukafurahi pia si kosa kufurahi unapokosolewa. Huyu jamaa PASCO kwanza ana elimu nzuri ya sheria inayompa mtazamo mpana si kama hawa waandishi uchwara waliofeli shule kisha wakakimbilia DSJ, au wale waganga njaa na wenye kumtumikia matumbo yao. Swali lake nimelipenda na kunipa mtazamo chanya juu yake.ni nyie kesho mtakuja kumponda hapa akimsifia huyohuyo aliyeshindwa kujibu swali vizuri leo..