Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #141
Mkuu Mheshimiwa Hon Nkundwe , naunga mkono hoja, Tulia ame tulia, japo baadhi ya mbinu alizotumia kumtoa Sugu Mbeya, hazikuwa poa!, hii ilipelekea akina sisi kuuliza https://www.jamiiforums.com/threads...li-huumba-jibu-sahihi-ni-oktoba-2020.1695829/Seriously Dr. Tulia Mimi binafsi naona ni speaker Bora kwanza anaongoza Bunge Kwa kutulia na umakini mkubwa Mbeya sisi tumepata Mbunge
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Ni mawazo finyu kudhani kila mtu anayeisifia serikali ni anatafuta uteuzi!. Mimi nimeisha hudumu kwenye media kwa zaidi ya miaka 30 hivyo kama ni kuisaidia nchi, nimeisha sana bila hata ya uteuzi.Nakuombe kauteuzi hivi karibuni
It's true kuna kauli zina powers hivyo zinaumba!, ukiitwa njaa, njaa inakutembelea kweli!, ila pia kuna watu sio mchezo!, ukiwatibua tuu... https://www.jamiiforums.com/threads...nani-kati-yake-na-aliyetoa-kauli-hii.1328562/Na Ile laana ya JPM iishe
Umejitahidi sana, inabidi akuone!! ulijitahidi sana pia kwa top wa awamu ya tano lakini bahati mbaya kabla hajakuona akawa amemaliza kazi na kupimzika!!Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya leo ni kuhusu umuhimu wa viongozi wetu na haswa wakuu wa Mihimili lazima sio tuu wawe wasomi, weledi na wachapakazi, bali lazima wawe Bright, brilliant na wabobezi wa fani husika.
Niko mahali nafuatilia Bunge Live, kiukweli kabisa nimekuwa very impressed na jinsi Madam Spika Dr. Tulia Akson anavyoliongoza Bunge.
Juzi aliifanua vizuri Ripoti ya CAG na kuifafanua ile kauli ya hasira ya Mama ya stupid na "Watupishe", ni walioongeza "cha juu" kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo, na sio wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG.
Leo Mbunge wa Liwale kaibua kubwa kuliko Bungeni kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere, JNHPP japo liko Rufiji, bwawa hilo liko wilaya ya Liwale mkoani Lindi, na sio Mikoa ya Pwani na Morogoro, hivyo wilaya ya Liwale inastahili asilimia 60% ya mgao wa fedha za CSR ya JNHPP, lakini Liwale haikupata hata senti 5!.
Spika Tulia akaingilia kati kwa kumuuliza Mhe. Mbunge athibitishe Bwawa la JNHPP liko Liwale, Mbunge akasema lipo Liwale!.
Dr. Tulia akafafanua tofauti ya mahali Bwawa lilipo na the catchment area maji ya kulijaza bwawa yanakotoka!. Mhe. Mbunge akang'ang'ana bwawa liko Liwale!.
Dr. Tulia akamwambia Mhe Mbunge kuwa yeye na wabunge wamekwenda lilipo na hadi kubonyeza kitufe kukajaza maji, bwawa liko Rufiji na sio Liwale, hivyo akamwambia mbunge akae kwanza.
Kisha akauliza wahusika kama wapo waeleze Bunge bwawa la JNHPP liko wapi, ndipo akasimama Naibu Waziri wa Nishati, Byabato, akasema kwa mujibu wa ramani zao, bwawa la JNHPP liko Rufiji na Morogoro, ila kama Mbunge anayo ramani yake inayoonyesha bwawa liko Liwale, ailete na kuwaelimisha wengine tuko tayari kujifunza!.
Mbunge mwingine akasimama kuchangia kuwa bwawa liko Rufiji ila the catchment area ya maji ya bwawa hilo yanatoka Liwale.
Ndipo Spika Tulia akampiga darasa Mbunge huyo kuwa bwawa la JNHPP liko Rufiji ila maji ya kulijaza yanaweza kutiririka kutoka popote na kumruhusu kumalizia kuchangia.
Hii ndio faida ya kuwa na Spika msomi wa sheria, natumaini wengi unakumbuka uendeshaji wa Bunge enzi za Spika Sitta pia alikuwa ni msomi wa sheria.
Kwa vile mimi ni mtu wa mastori mastori
Ngoja niwape mastori ya Mimi na Dr. Tulia Akson, kwa msiopenda mastori jump kule chini
Tanzania tunakwama baadhi ya maeneo kwasababu tuna viongozi vilaza!. We can afford kuwa na wabunge vilaza, ndani ya Bunge la JMT but we can't afford kuwa na wabunge vilaza kwenye Bunge la EALA! Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
Ili Tanzania tuweze kupata viongozi bora,, the best of the best, hatuwezi kuuendeleza ule ujinga uliochomekewa ndani ya katiba yetu kiubatili, kuwaachia kakikundi ka watu wachache kuamua huyu ni wenzetu mpe uongozi, hata kama ni vilaza!, na huyu sii wenzetu kata jina tupa kule, hatumuhitaji, hata kama ni the best bright and Brilliant
Kwa maoni yangu, nashauri Spika asitokane na ukanda wa chama cha siasa, Spika Dr. Tulia huyu, tunayemsifu leo, kuwa anakwenda kuwa Spika bora ndio Dr. Tulia yule yule aliye naibu Spika chini ya bora Spika, na alinyamaza kimya wakati katiba yetu ikikanyagwa Je, Bunge letu linaendeshwa kikada? Ili tuwe na Bunge la haki, lenye uwezo wa kuisimamia Serikali Kikamilifu, kuna haja Spika asitokane na vyama?
Hitimisho,
Nahitimisha kwa lile swali, la msingi la makala hii, kufuatia Spika Sitta na Spika Dr. Tulia Akson, ambao ni wanasheria, kuwa so good kwenye uendeshaji wa Bunge la JMT, kwasababu, they are smart, bright & brilliant! kuna haja sasa, kuanzia sasa kuhakikisha MaSpika wetu wote lazima wawe wanasheria?.
Wasalaam
Paskali
Hako kamstari ndiko kanahitaji mwanasheria!!!Ndipo Spika Tulia akampiga darasa Mbunge huyo kuwa bwawa la JNHPP liko Rufiji ila maji ya kulijaza yanaweza kutiririka kutoka popote na kumruhusu kumalizia kuchangia.
Masikitiko makubwa sana kwa wakazi wa Liwale kuwa na Mbunge mjinga kama huyu.Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya leo ni kuhusu umuhimu wa viongozi wetu na haswa wakuu wa Mihimili lazima sio tuu wawe wasomi, weledi na wachapakazi, bali lazima wawe Bright, brilliant na wabobezi wa fani husika.
Niko mahali nafuatilia Bunge Live, kiukweli kabisa nimekuwa very impressed na jinsi Madam Spika Dr. Tulia Akson anavyoliongoza Bunge.
Juzi aliifanua vizuri Ripoti ya CAG na kuifafanua ile kauli ya hasira ya Mama ya stupid na "Watupishe", ni walioongeza "cha juu" kwenye ununuzi wa ndege ya mizigo, na sio wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG.
Leo Mbunge wa Liwale kaibua kubwa kuliko Bungeni kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere, JNHPP japo liko Rufiji, bwawa hilo liko wilaya ya Liwale mkoani Lindi, na sio Mikoa ya Pwani na Morogoro, hivyo wilaya ya Liwale inastahili asilimia 60% ya mgao wa fedha za CSR ya JNHPP, lakini Liwale haikupata hata senti 5!.
Spika Tulia akaingilia kati kwa kumuuliza Mhe. Mbunge athibitishe Bwawa la JNHPP liko Liwale, Mbunge akasema lipo Liwale!.
Dr. Tulia akafafanua tofauti ya mahali Bwawa lilipo na the catchment area maji ya kulijaza bwawa yanakotoka!. Mhe. Mbunge akang'ang'ana bwawa liko Liwale!.
Dr. Tulia akamwambia Mhe Mbunge kuwa yeye na wabunge wamekwenda lilipo na hadi kubonyeza kitufe kukajaza maji, bwawa liko Rufiji na sio Liwale, hivyo akamwambia mbunge akae kwanza.
Kisha akauliza wahusika kama wapo waeleze Bunge bwawa la JNHPP liko wapi, ndipo akasimama Naibu Waziri wa Nishati, Byabato, akasema kwa mujibu wa ramani zao, bwawa la JNHPP liko Rufiji na Morogoro, ila kama Mbunge anayo ramani yake inayoonyesha bwawa liko Liwale, ailete na kuwaelimisha wengine tuko tayari kujifunza!.
Mbunge mwingine akasimama kuchangia kuwa bwawa liko Rufiji ila the catchment area ya maji ya bwawa hilo yanatoka Liwale.
Ndipo Spika Tulia akampiga darasa Mbunge huyo kuwa bwawa la JNHPP liko Rufiji ila maji ya kulijaza yanaweza kutiririka kutoka popote na kumruhusu kumalizia kuchangia.
Hii ndio faida ya kuwa na Spika msomi wa sheria, natumaini wengi unakumbuka uendeshaji wa Bunge enzi za Spika Sitta pia alikuwa ni msomi wa sheria.
Kwa vile mimi ni mtu wa mastori mastori
Ngoja niwape mastori ya Mimi na Dr. Tulia Akson, kwa msiopenda mastori jump kule chini
Tanzania tunakwama baadhi ya maeneo kwasababu tuna viongozi vilaza!. We can afford kuwa na wabunge vilaza, ndani ya Bunge la JMT but we can't afford kuwa na wabunge vilaza kwenye Bunge la EALA! Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
Ili Tanzania tuweze kupata viongozi bora,, the best of the best, hatuwezi kuuendeleza ule ujinga uliochomekewa ndani ya katiba yetu kiubatili, kuwaachia kakikundi ka watu wachache kuamua huyu ni wenzetu mpe uongozi, hata kama ni vilaza!, na huyu sii wenzetu kata jina tupa kule, hatumuhitaji, hata kama ni the best bright and Brilliant
Kwa maoni yangu, nashauri Spika asitokane na ukanda wa chama cha siasa, Spika Dr. Tulia huyu, tunayemsifu leo, kuwa anakwenda kuwa Spika bora ndio Dr. Tulia yule yule aliye naibu Spika chini ya bora Spika, na alinyamaza kimya wakati katiba yetu ikikanyagwa Je, Bunge letu linaendeshwa kikada? Ili tuwe na Bunge la haki, lenye uwezo wa kuisimamia Serikali Kikamilifu, kuna haja Spika asitokane na vyama?
Hitimisho,
Nahitimisha kwa lile swali, la msingi la makala hii, kufuatia Spika Sitta na Spika Dr. Tulia Akson, ambao ni wanasheria, kuwa so good kwenye uendeshaji wa Bunge la JMT, kwasababu, they are smart, bright & brilliant! kuna haja sasa, kuanzia sasa kuhakikisha MaSpika wetu wote lazima wawe wanasheria?.
Wasalaam
Paskali
Seriously Dr. Tulia Mimi binafsi naona ni speaker Bora kwanza anaongoza Bunge Kwa kutulia na umakini mkubwa Mbeya sisi tumepata Mbunge
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Tuwe na shukrani kwa madogo ili tuweze kupatiwa makubwa!. Kipindi cha Spika Makinda na Spika Ndugai uliwahi ona spika anamkosoa na kumnyoosha mbunge wa CCM?. Huu ni mwanzo mzuri, hatutaki ujinga Bungeni uwe wa CCM au wapinzani ni kunyoroshwa!.
Huu ndio Umuhimu mkubwa wa Spika msomi wa sheria!. Hili nimeliandikia sana!. Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?
P
AsanteeeSpika ni mwasheria kwa kiwango cha shahada ya uzamivu, it was too low kwake kujadili hoja dhaifu kama hizo. Tunataka tuone mchango wake wakati sheria zinletwa bungeni.
Be active, activate and activated
Wasalaam wana JF Miaka 50 baada ya uhuru bado nchi yetu ina struggle, mipango ya maendeleo na utekelezaji wake ni reflection ya pwagu na pwaguzi. Nafasi zote za kazi zina matakwa ya kielimu, ujuzi na uzoefu isipokua siasa yaani uwakilishi wa wananchi bungeni, ujue kusoma na kuandika tu...www.jamiiforums.com
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100% chini ya 100% na niliwahi kushauri https://www.jamiiforums.com/threads...u-kuna-haja-spika-asitokane-na-vyama.1560625/Pascal Mayalla , je haudhani kwamba Ili tuwe na maspika wa vigezo hivyo tunahitaji kufanya mabadiliko Ili spika asiwe lazma mbunge. Mfano pale mbeya spika akishindwa kutetea nafasi yake atashindwa kuwa spika. Kuna watu wazuri sana wenye vigezo ulivyotaja ambao wanaoweza kuwa viongozi Bora na wanaoweza KUONGOZA taasis na mihimili vizuri tu, lakini watu hao sio wanasiasa. It's high time tukubali mabadiliko, maspika na mawaziri sio lazma wawe wabunge, wagombee hizo nafasi
Huo ni uchawa tu by any other name!!Hivi mtu akifanya jambo lolote zuri, no matter how big or small, mtu huwezi kumsifia mtu bila kuitwa chawa?. Huyu ni Mwalimu wangu wa 1st Year, nikamtabiria atakuwa spika, amekuwa Spika!. Kuna ubaya kumsifu?.
Hivyo ilipotokea wewe ni Mwanafunzi umekutana na Mwalimu wako mambo yanakuwa hiviKuna ubaya?.
P
Maana ya Mayala ni njaa.Sasa huo u-smart uko wapi? Umehadithia tu matukio!
Nina imani sana na Spika, Dr. Tulia Akson, leo huyu Dada, ataonyesha uwezo mkubwa alionao katika kuongoza mjadala muhimu sana wa Bunge letu kujadili mkataba wa HGA kati ya serikali yetu na kampuni ya DP World ya Mwarabu wa Dubai.Wanabodi,
Niko mahali nafuatilia Bunge Live, kiukweli kabisa nimekuwa very impressed na jinsi Madam Spika Dr. Tulia Akson anavyoliongoza Bunge.
Paskali
Tatizo lako P unajifanya huwajui wabunge wa CCM na speaker wao hasa kweny masuala ya kupitisha miswada bungeni!! Utasubir san kama unategemea kwenda kinyume pasi kupitisha azimio husika!Nina imani sana na Spika, Dr. Tulia Akson, leo huyu Dada, ataonyesha uwezo mkubwa alionao katika kuongoza mjadala muhimu sana wa Bunge letu kujadili mkataba wa HGA kati ya serikali yetu na kampuni ya DP World ya Mwarabu wa Dubai.
Mijadala kama hii ndio itatufungua macho Watanzania, kwanini Spika Sitta alikuwa Spika bora, na sasa Spika Tulia Akson ni Spika bora!.
Kwa maneno ya rafiki William Malecela (RIP), huwezi kuacha hoja nzito kama za mkataba wa kimataifa wa rasilimali zetu, ukaongozwa na mbululaz!.
Wish all the best Madam Spika, ni maslahi ya taifa mbele!.
P
Nakumbuka uliwahi kumsifia Ndugai kuwa ni spika bora kuwahi kutokea.Nina imani sana na Spika, Dr. Tulia Akson, leo huyu Dada, ataonyesha uwezo mkubwa alionao katika kuongoza mjadala muhimu sana wa Bunge letu kujadili mkataba wa HGA kati ya serikali yetu na kampuni ya DP World ya Mwarabu wa Dubai.
Mijadala kama hii ndio itatufungua macho Watanzania, kwanini Spika Sitta alikuwa Spika bora, na sasa Spika Tulia Akson ni Spika bora!.
Kwa maneno ya rafiki William Malecela (RIP), huwezi kuacha hoja nzito kama za mkataba wa kimataifa wa rasilimali zetu, ukaongozwa na mbululaz!.
Wish all the best Madam Spika, ni maslahi ya taifa mbele!.
P