Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?

Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?

Nina imani sana na Spika, Dr. Tulia Akson, leo huyu Dada, ataonyesha uwezo mkubwa alionao katika kuongoza mjadala muhimu sana wa Bunge letu kujadili mkataba wa HGA kati ya serikali yetu na kampuni ya DP World ya Mwarabu wa Dubai.

Mijadala kama hii ndio itatufungua macho Watanzania, kwanini Spika Sitta alikuwa Spika bora, na sasa Spika Tulia Akson ni Spika bora!.

Kwa maneno ya rafiki William Malecela (RIP), huwezi kuacha hoja nzito kama za mkataba wa kimataifa wa rasilimali zetu, ukaongozwa na mbululaz!.

Wish all the best Madam Spika, ni maslahi ya taifa mbele!.
P
Ni bora kwako na hajafikia ngazi ya Sitta.
 
Nina imani sana na Spika, Dr. Tulia Akson, leo huyu Dada, ataonyesha uwezo mkubwa alionao katika kuongoza mjadala muhimu sana wa Bunge letu kujadili mkataba wa HGA kati ya serikali yetu na kampuni ya DP World ya Mwarabu wa Dubai.

Mijadala kama hii ndio itatufungua macho Watanzania, kwanini Spika Sitta alikuwa Spika bora, na sasa Spika Tulia Akson ni Spika bora!.

Kwa maneno ya rafiki William Malecela (RIP), huwezi kuacha hoja nzito kama za mkataba wa kimataifa wa rasilimali zetu, ukaongozwa na mbululaz!.

Wish all the best Madam Spika, ni maslahi ya taifa mbele!.
P
Naam, nikubaliane na wewe. Spika alikuwa smart mno japo mdee alishindwa kutambua nafasi aliyopewa na spika kueleza kiufasaha zaidi na akatumia hisia zilizoharibu hoja yake.
Nimpe kongole kwa mara ya kwanza madam.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya leo ni kuhusu umuhimu wa viongozi wetu na haswa wakuu wa Mihimili lazima sio tuu wawe wasomi, weledi na wachapakazi, bali lazima wawe Bright, brilliant na wabobezi wa fani husika.

Niko mahali nafuatilia Bunge Live, kiukweli kabisa nimekuwa very impressed na jinsi Madam Spika Dr. Tulia Akson anavyoliongoza Bunge.

Hii ndio faida ya kuwa na Spika msomi wa sheria, natumaini wengi unakumbuka uendeshaji wa Bunge enzi za Spika Sitta pia alikuwa ni msomi wa sheria.

Tanzania tunakwama baadhi ya maeneo kwasababu tuna viongozi vilaza!. We can afford kuwa na wabunge vilaza, ndani ya Bunge la JMT but we can't afford kuwa na wabunge vilaza kwenye Bunge la EALA! Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo

Ili Tanzania tuweze kupata viongozi bora,, the best of the best, hatuwezi kuuendeleza ule ujinga uliochomekewa ndani ya katiba yetu kiubatili, kuwaachia kakikundi ka watu wachache kuamua huyu ni wenzetu mpe uongozi, hata kama ni vilaza!, na huyu sii wenzetu kata jina tupa kule, hatumuhitaji, hata kama ni the best bright and Brilliant


Hitimisho,
Nahitimisha kwa lile swali, la msingi la makala hii, kufuatia Spika Sitta na Spika Dr. Tulia Akson, ambao ni wanasheria, kuwa so good kwenye uendeshaji wa Bunge la JMT, kwasababu, they are smart, bright & brilliant! kuna haja sasa, kuanzia sasa kuhakikisha MaSpika wetu wote lazima wawe wanasheria?.

Wasalaam

Paskali
Leo nimeguswa tena na Spika hapa
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1721507992959398061?t=-vilPk1G8LD-hJKH7OHWTw&s=19 ameamuru the executive wawarudishe kwanza waalimu, wawasikilize kwanza ndipo wawahukumu! na sio kuwahukumu kwa kuwasimamisha bila kuwasikiliza!.
No one is condemned unheard!. Hongera sana Spika Dr. Tulia, we are very proud of you!. Leo ndio kwa mara ya kwanza Mhimili wa Bunge unatoa amri kwa the executive!.
I was very right niliposema
View: https://youtu.be/ZM_D9HAPi5M?si=xrICDkKGFZFPc7jr
P
 
Leo nimeguswa tena na Spika hapa
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1721507992959398061?t=-vilPk1G8LD-hJKH7OHWTw&s=19 ameamuru the executive wawarudishe kwanza waalimu, wawasikilize kwanza ndipo wawahukuashughu
No one is condemned unheard!. Hongera sana Spika Dr. Tulia, we are very proud of you!. Leo ndio kwa mara ya kwanza Mhimili wa Bunge unatoa amri kwa the executive!.
I was very right niliposema
View: https://youtu.be/ZM_D9HAPi5M?si=xrICDkKGFZFPc7jr
P

Mambo ya nidhamu hatuwezi kuyashughulikia kilaini hivyo, huyo mama hana hoja,anataka kumyumbisha waziri
 
Leo nimeguswa tena na Spika hapa
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1721507992959398061?t=-vilPk1G8LD-hJKH7OHWTw&s=19 ameamuru the executive wawarudishe kwanza waalimu, wawasikilize kwanza ndipo wawahukumu! na sio kuwahukumu kwa kuwasimamisha bila kuwasikiliza!.
No one is condemned unheard!. Hongera sana Spika Dr. Tulia, we are very proud of you!. Leo ndio kwa mara ya kwanza Mhimili wa Bunge unatoa amri kwa the executive!.
I was very right niliposema
View: https://youtu.be/ZM_D9HAPi5M?si=xrICDkKGFZFPc7jr
P

Katika hili pia kanifurahisha sana.
 
Wanabodi,

Hii ndio faida ya kuwa na Spika msomi wa sheria, natumaini wengi unakumbuka uendeshaji wa Bunge enzi za Spika Sitta pia alikuwa ni msomi wa sheria.
Paskali
Spika Tulia kaiva sana kwenye suala kutafiri Sheria, naangalia hapa Bunge live wanapitisha muswada wa tume ya uchaguzi naona anamtoa knout mpaka AG huyu dada ni balaa wabunge wote wanampigia makofi.

Mbeya tunasema Tulia mitano tena.
Naunga mkono hoja Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?

Tena sio Tulia mitano tena bali 2025 could be ni Dr. Tulia!.
Angalia tulikotoka nae
1. Hivyo japo ni mimi niliyemtabiria Dr. Tulia uspika, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

2. Fursa ya Spika mpya ilipojitokeza, niliwaomba CCM Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa?

3. Hivyo Dr Tulia aliposhinda nikamshauri Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

4. Kwa vile Rais Samia amesisitiza 2025 twende na Mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! wengi wanadhani Mwanamke wa 2025 ni lazima awe Rais Samia, anaweza kuwa ni Dr. Tulia!.
5. Sababu ya kwanini 2025 anaweza kuwa ni Dr. Tulia ni HII

P
 
Hivi mtu akifanya jambo lolote zuri, no matter how big or small, mtu huwezi kumsifia mtu bila kuitwa chawa?. Huyu ni Mwalimu wangu wa 1st Year, nikamtabiria atakuwa spika, amekuwa Spika!. Kuna ubaya kumsifu?.
Hivyo ilipotokea wewe ni Mwanafunzi umekutana na Mwalimu wako mambo yanakuwa hivi
Kuna ubaya?.
P

Kwa hili wanakuonea, kwanza wanaelewa wewe ni ccm na huyo ni spika anatokana chama chako, na licha ya hivyo uliisha sema ni mwalimu wako. Mi binafsi kwa hili nakutetea sifa lazima umpe kwa vigezo vyote, sasa hao wanaokuita chawa walitaka umsifie nani, ili usiwe chawa? Piga kazi maisha haya hatutoweza kukubaliana kila kitu, fanya upendacho, na ukiwezacho huu ndio muda wenyewe.
 
Back
Top Bottom