Hongera Tundu Antipas Lissu kwa kutambua usalama wako unawajibika nao wewe mwenyewe, wengine wote hawaaminiki!

Hongera Tundu Antipas Lissu kwa kutambua usalama wako unawajibika nao wewe mwenyewe, wengine wote hawaaminiki!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kwamba alisikika Wenje, kutokea Arusha Lissu aliugua sana tumbo! Kwa maneno yake kuwa: "alikuwa ana drive."

Bila shaka alichokula Lissu alikula na wenziwe. Sasa kumbe vipi "food poisoning" kumuathiri mmoja tu katika kundi?!

Ogopa sana kanda ya ziwa na ile nyongo pendwa ya mamba!

IMG_20241226_202108.jpg


Kwamba alishambuliwa Lissu Dodoma? Kwamba alinusurika kwenye shambulizi lile? Kwamba leo ndiyo kejeli zao hizi?

Kumbe kwanini yasiwepo mawazo kuwa si angekuwa alijifilia mbali kwenye shambulio lile? Labda kwa jinsi ile ile ya wish ya kile chama chakavu?

Kama wishful thinking zao ndiyo hizi kulikoni ku-m-exempt nani wapi?

"Usalama wako kwanza kamanda, watu si wema!"

Wanasema: "usoni kama watu."
 
Kwamba alisikika Wenje, kutokea Arusha Lissu aliugua sana tumbo! Kwa maneno yake kuwa: "alikuwa ana drive."

Bila shaka alichokula Lissu alikula na wenziwe. Sasa kumbe vipi "food poisoning" kumuathiri mmoja tu katika kundi?!

Ogopa sana kanda ya ziwa na ile nyongo pendwa ya mamba!

View attachment 3187256

Kwamba alishambuliwa Lissu Dodoma? Kwamba alinusurika kwenye shambulizi lile? Kwamba leo ndiyo kejeli zao hizi?

Kumbe kwanini yasiwepo mawazo kuwa si angekuwa alijifilia mbali kwenye shambulio lile? Labda kwa jinsi ile ile ya kile chama chakavu?

Kama wishful thinking zao ndiyo hizi kulikoni kum exempt nani wapi?

Usalama wako kwanza kamanda, watu si wema.

Wanasema: "usoni kama watu."
anavaa bullet proof kama wanamgambo wa janjawid dah,

kweli anawajibikia usalama wake.

lakini masuala ya kudoea kula chakula kwa watu kila siku ni tabia mbaya,

si ule nyumbani kwako na mke wako?🐒
 
Jiwe angemtaka TAL Ili ammalize angemkaribisha juice tu kunako magogo wala asingetumia mfumo wa Vita 😂😂😂

Hii ni kule kule isikoonjwa sumu

Ukweli mchungu wapi wanakoaminika? Kina Wenje wenje wataalamu wa nyongo za mamba? Waaminike na nani hawa?
 
anavaa bullet proof kama wanamgambo wa janjawid dah,
Kwahiyo wote wanaovaa bullet proof vest ni Janjaweed?? we jamaa hebu hata tembelea Zambia Kenya Uganda Rwanda angalao upate mwamko kwenye fikra zako.

Sio unazaliwa Ugogoni Bahi unakulia Dodoma unashindia uji wa ubuyu na kuimba nyimbo za ccm mpaka utazeheke hapo na kufia hapo.
 
Kwahiyo wote wanaovaa bullet proof vest ni Janjaweed?? we jamaa hebu hata tembelea Zambia Kenya Uganda Rwanda angalao upate mwamko kwenye fikra zako.

Sio unazaliwa Ugogoni Bahi unakulia Dodoma unashindia uji wa ubuyu na kuimba nyimbo za ccm mpaka utazeheke hapo na kufia hapo.
Gentleman,
hakuna anaevaa bullet proof vest kama ya Lisu katika nchi ulizotaja, acha upotoshaji,

huenda uliona bodaboda wamevalia vizuia upepo ukadhani ni bullets proof vest,

Infact,
hata ya Lisu sio bullet ni kizuia upepo tu kama vya maafisa usafishaji wa bodaboda kitu ambacho ni useless na completely nonsense.

Kwa technolojia ilivyokua sasa unaweza kuvaa bullet proof vest hata adui yako asijue umevaa bullet proof vest.

sasa unapomuonyesha adui yako kwamba uko tayari kwa mapambano unamaanisha nini kama sio fursa na nafasi ya kukumiminia risasi kwnye kijambizi?🐒
 
hakuna anaevaa bullet proof vest kama ya Lisu katika nchi ulizotaja, acha upotoshaji,
Wanasiasa na Maraisi karibia wote wanazivaa hizo vest ndani ya suti zao Mapolisi wanavaa Walinzi wa Garda Group4 nk. Wanavaa.

Tundu Lissu angeweza kuivaa hiyo kevlar ndani ya Suti kificho lakini Lissu ni muwazi
Anaivaa juu ya shati.

Kawadanganye huko Bahi hapa ni JF
 
Kwa technolojia ilivyokua sasa unaweza kuvaa bullet proof vest hata adui yako asijue umevaa bullet proof vest.
Lissu anajua fika hakuna mwenye shabaha ya kulenga kichwa huko uvccm, Snipers wako Jeshini tu.
 
Gentleman,
hakuna anaevaa bullet proof vest kama ya Lisu katika nchi ulizotaja, acha upotoshaji,

huenda uliona bodaboda wamevalia vizuia upepo ukadhani ni bullets proof vest,

Infact,
hata ya Lisu sio bullet ni kizuia upepo tu kama vya maafisa usafishaji wa bodaboda kitu ambacho ni useless na completely nonsense.

Kwa technolojia ilivyokua sasa unaweza kuvaa bullet proof vest hata adui yako asijue umevaa bullet proof vest.

sasa unapomuonyesha adui yako kwamba uko tayari kwa mapambano unamaanisha nini kama sio fursa na nafasi ya kukumiminia risasi kwnye kijambizi?🐒

Ila CCM na wafuasi wa mwamba mnavyokereka na Lissu, mkipata nafasi mtamwacha salama huyu ndugu kirahisi kweli?
 
Ila CCM na wafuasi wa mwamba mnavyokereka na Lissu, mkipata nafasi mtamwacha salama huyu ndugu kirahisi kweli?
ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja kuliko kumbwelambwela kuhusu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,

kwanini anapenda sana kudoea chakula kwa watu na bado anaomba kuchangiwa?🐒
 
Mbowe mtu hatari sana. Poleni sana wazazi wa Ben Sa8, Wangwe, Soka na Mawazo
 
Wanasiasa na Maraisi karibia wote wanazivaa hizo vest ndani ya suti zao Mapolisi wanavaa Walinzi wa Garda Group4 nk. Wanavaa.

Tundu Lissu angeweza kuivaa hiyo kevlar ndani ya Suti kificho lakini Lissu ni muwazi
Anaivaa juu ya shati.

Kawadanganye huko Bahi hapa ni JF
ndiyo maana kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anachekesha kuvaa bullet proof vest ya kizamaniiiiiiii kama sijui wanamgambo wa Hamas 🤣

eti muwazi 🤣
atembee uchi basi kama kweli muwazi,

hana uwezo wa kuipata lakini pia saizi yake Lazima akapimwe kiwandani,

Felix Tshekedi wa DRC, iliwahi kumbana alimanusura awe no more 🐒
 
Back
Top Bottom