Hongera Waandishi wa Habari kwa Kukataa Kuyumbishwa na Kusimamia Misingi ya Kazi Yenu Dhidi ya Wenye Nia za Kisiasa

Hongera Waandishi wa Habari kwa Kukataa Kuyumbishwa na Kusimamia Misingi ya Kazi Yenu Dhidi ya Wenye Nia za Kisiasa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Infact,
Mnafanya kazi nzuri sana na inaonekana dunia nzima. Kamwe msikubali kuyumbishwa wala kuzingatia matakwa ya wenye nia binafsi, bali zingatieni misingi ya taaluma yenu. Fanyeni majukumu na kazi zenu kwa uhuru, haki na usawa bila mbambamba za mzee au kijana yeyote. Mmefanya vizuri sana kukataa kuburuzwa.

Tunapoelekea maandamano ya Chadema yaliyopigwa marufuku. Tafadhaliini sana, ni muhimu kuripoti na kuuhabarisha umma kila mipango na njama za kila muhusika wa maandamano hayo, ili waTanzania waweze kujua dhima iliyojificha nyuma ya maandamano haya haramu.

Kwa wale wanaochukulia maandamano haya kama fursa ya kupata kibali cha kwenda kuishi uhamishoni ughaibuni, tafadhali sana waripotini ili waTanzania wawajue vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wasaliti wa Taifa letu.

Kwa wale waliokusudia kuleta fujo, kupora mali katika maduka na ofisi za watu, na kwa wale waliokusudia kufanya uharibifu wa miundombinu na ofisini za umma nao pia waripotini na kuwaweka wazi, ili wajulikane vyema kwa waTanzania.

Uchu na tamaa ya madaraka kwa ufadhili au usaidizi wa mataifa ya nje, hauwezi kamwe kutugawa na kuvuruga umoja, uhuru, amani na utulivu wa waTanzania. Tutailinda amani na Taifa letu kwa gharama yoyote.

Mungu awabariki sana waandishi wa habari na vyombo vya habari nchini, kusimama Imara kwenye nisingi ya taaluma ya kazi zenu, na kulipambania Taifa, kwa nguvu zenu zote. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Infact,
Mnafanya kazi nzuri sana na inaonekana dunia nzima. Kamwe msikubali kuyumbishwa wala kuzingatia matakwa ya wenye nia binafsi, bali zingatieni misingi ya taaluma yenu. Fanyeni majukumu na kazi zenu kwa uhuru, haki na usawa bila mbambamba za mzee au kijana yeyote. Mmefanya vizuri sana kukataa kuburuzwa.

Tunapoelekea maandamano ya Chadema yaliyopigwa marufuku. Tafadhaliini sana, ni muhimu kuripoti na kuuhabarisha umma kila mipango na njama za kila muhusika wa maandamano hayo, ili waTanzania waweze kujua dhima iliyojificha nyuma ya maandamano haya haramu.

Kwa wale wanaochukulia maandamano haya kama fursa ya kupata kibali cha kwenda kuishi uhamishoni ughaibuni, tafadhali sana waripotini ili waTanzania wawajue vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wasaliti wa Taifa letu.

Kwa wale waliokusudia kuleta fujo, kupora mali katika maduka na ofisi za watu, na kwa wale waliokusudia kufanya uharibifu wa miundombinu na ofisini za umma nao pia waripotini na kuwaweka wazi, ili wajulikane vyema kwa waTanzania.

Uchu na tamaa ya madaraka kwa ufadhili au usaidizi wa mataifa ya nje, hauwezi kamwe kutugawa na kuvuruga umoja, uhuru, amani na utulivu wa waTanzania. Tutailinda amani na Taifa letu kwa gharama yoyote.

Mungu awabariki sana waandishi wa habari na vyombo vya habari nchini, kusimama Imara kwebye nisingi ya taaluma ya kazi zenu, na kulipambania Taifa, kwa nguvu zenu zote. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Hawana Silaha,Virungu hofu ya Nini wakiandamana!
 
Maandamano ni ya amani, mbona mnaweweseka sana kama malaya aliyefumaniwa? By the way, hapa Bongo hatuna waandishi wa habari bali tuna chawa na wapiga kelele za hovyo. Makachietha
gentleman relax kwanza kidogo,

mi nadhani ni muhimu zaidi kua muungwana kidogo katika kujieleza tena kwa lugha ya staha. Nadhani unaweza kueleweka vizuri zaidi kuliko kua na mihemko bila mawazo mapya au fikra mbadala 🐒
 
Mdio hapo hata mimi hiwa nashangaa watu hawana hata bakora waacheni muone wataandamania wapi
hizo siraha na hiyo ingine, ndio vitu vya kufanyia uganga au ushirikina ndrugu zango?🤣
 
Infact,
Mnafanya kazi nzuri sana na inaonekana dunia nzima. Kamwe msikubali kuyumbishwa wala kuzingatia matakwa ya wenye nia binafsi, bali zingatieni misingi ya taaluma yenu. Fanyeni majukumu na kazi zenu kwa uhuru, haki na usawa bila mbambamba za mzee au kijana yeyote. Mmefanya vizuri sana kukataa kuburuzwa.

Tunapoelekea maandamano ya Chadema yaliyopigwa marufuku. Tafadhaliini sana, ni muhimu kuripoti na kuuhabarisha umma kila mipango na njama za kila muhusika wa maandamano hayo, ili waTanzania waweze kujua dhima iliyojificha nyuma ya maandamano haya haramu.

Kwa wale wanaochukulia maandamano haya kama fursa ya kupata kibali cha kwenda kuishi uhamishoni ughaibuni, tafadhali sana waripotini ili waTanzania wawajue vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wasaliti wa Taifa letu.

Kwa wale waliokusudia kuleta fujo, kupora mali katika maduka na ofisi za watu, na kwa wale waliokusudia kufanya uharibifu wa miundombinu na ofisini za umma nao pia waripotini na kuwaweka wazi, ili wajulikane vyema kwa waTanzania.

Uchu na tamaa ya madaraka kwa ufadhili au usaidizi wa mataifa ya nje, hauwezi kamwe kutugawa na kuvuruga umoja, uhuru, amani na utulivu wa waTanzania. Tutailinda amani na Taifa letu kwa gharama yoyote.

Mungu awabariki sana waandishi wa habari na vyombo vya habari nchini, kusimama Imara kwenye nisingi ya taaluma ya kazi zenu, na kulipambania Taifa, kwa nguvu zenu zote. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania

Ruto: Kwenye demokrasia, Maandamano ni jambo la kawaida

Kwani kwenu udikteta ndiyo kwao?
 
ni kweli kabisaa anasema, rafiki yangu sana Mh. Dr.William Samoe Kipchirchir Arap Ruto. Tena maandamano ni haki ya msingi kabisaa kikatiba, Lakini sio maandamano haramu kama haya ya chadema hapa Tanzania yasioeleweka...

Mara leo maandamano yatahusu Samia Must Go,

haya usiku wa manane sijui konyagi ziliisha, kusudi la maandamano linabadilishwa gafla tena, mara ooh sasa maandamano yanakusudia kushusha bei ya unga na maharage na yataishia ofisini za UN🤣
 
Infact,
Mnafanya kazi nzuri sana na inaonekana dunia nzima. Kamwe msikubali kuyumbishwa wala kuzingatia matakwa ya wenye nia binafsi, bali zingatieni misingi ya taaluma yenu. Fanyeni majukumu na kazi zenu kwa uhuru, haki na usawa bila mbambamba za mzee au kijana yeyote. Mmefanya vizuri sana kukataa kuburuzwa.

Tunapoelekea maandamano ya Chadema yaliyopigwa marufuku. Tafadhaliini sana, ni muhimu kuripoti na kuuhabarisha umma kila mipango na njama za kila muhusika wa maandamano hayo, ili waTanzania waweze kujua dhima iliyojificha nyuma ya maandamano haya haramu.

Kwa wale wanaochukulia maandamano haya kama fursa ya kupata kibali cha kwenda kuishi uhamishoni ughaibuni, tafadhali sana waripotini ili waTanzania wawajue vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wasaliti wa Taifa letu.

Kwa wale waliokusudia kuleta fujo, kupora mali katika maduka na ofisi za watu, na kwa wale waliokusudia kufanya uharibifu wa miundombinu na ofisini za umma nao pia waripotini na kuwaweka wazi, ili wajulikane vyema kwa waTanzania.

Uchu na tamaa ya madaraka kwa ufadhili au usaidizi wa mataifa ya nje, hauwezi kamwe kutugawa na kuvuruga umoja, uhuru, amani na utulivu wa waTanzania. Tutailinda amani na Taifa letu kwa gharama yoyote.

Mungu awabariki sana waandishi wa habari na vyombo vya habari nchini, kusimama Imara kwenye nisingi ya taaluma ya kazi zenu, na kulipambania Taifa, kwa nguvu zenu zote. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Ibariki Tanganyika.
 
Infact,
Mnafanya kazi nzuri sana na inaonekana dunia nzima. Kamwe msikubali kuyumbishwa wala kuzingatia matakwa ya wenye nia binafsi, bali zingatieni misingi ya taaluma yenu. Fanyeni majukumu na kazi zenu kwa uhuru, haki na usawa bila mbambamba za mzee au kijana yeyote. Mmefanya vizuri sana kukataa kuburuzwa.

Tunapoelekea maandamano ya Chadema yaliyopigwa marufuku. Tafadhaliini sana, ni muhimu kuripoti na kuuhabarisha umma kila mipango na njama za kila muhusika wa maandamano hayo, ili waTanzania waweze kujua dhima iliyojificha nyuma ya maandamano haya haramu.

Kwa wale wanaochukulia maandamano haya kama fursa ya kupata kibali cha kwenda kuishi uhamishoni ughaibuni, tafadhali sana waripotini ili waTanzania wawajue vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wasaliti wa Taifa letu.

Kwa wale waliokusudia kuleta fujo, kupora mali katika maduka na ofisi za watu, na kwa wale waliokusudia kufanya uharibifu wa miundombinu na ofisini za umma nao pia waripotini na kuwaweka wazi, ili wajulikane vyema kwa waTanzania.

Uchu na tamaa ya madaraka kwa ufadhili au usaidizi wa mataifa ya nje, hauwezi kamwe kutugawa na kuvuruga umoja, uhuru, amani na utulivu wa waTanzania. Tutailinda amani na Taifa letu kwa gharama yoyote.

Mungu awabariki sana waandishi wa habari na vyombo vya habari nchini, kusimama Imara kwenye nisingi ya taaluma ya kazi zenu, na kulipambania Taifa, kwa nguvu zenu zote. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Kwa sababu anayepingwa ni bi majuba kobazi
 
Infact,
Mnafanya kazi nzuri sana na inaonekana dunia nzima. Kamwe msikubali kuyumbishwa wala kuzingatia matakwa ya wenye nia binafsi, bali zingatieni misingi ya taaluma yenu. Fanyeni majukumu na kazi zenu kwa uhuru, haki na usawa bila mbambamba za mzee au kijana yeyote. Mmefanya vizuri sana kukataa kuburuzwa.

Tunapoelekea maandamano ya Chadema yaliyopigwa marufuku. Tafadhaliini sana, ni muhimu kuripoti na kuuhabarisha umma kila mipango na njama za kila muhusika wa maandamano hayo, ili waTanzania waweze kujua dhima iliyojificha nyuma ya maandamano haya haramu.

Kwa wale wanaochukulia maandamano haya kama fursa ya kupata kibali cha kwenda kuishi uhamishoni ughaibuni, tafadhali sana waripotini ili waTanzania wawajue vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wasaliti wa Taifa letu.

Kwa wale waliokusudia kuleta fujo, kupora mali katika maduka na ofisi za watu, na kwa wale waliokusudia kufanya uharibifu wa miundombinu na ofisini za umma nao pia waripotini na kuwaweka wazi, ili wajulikane vyema kwa waTanzania.

Uchu na tamaa ya madaraka kwa ufadhili au usaidizi wa mataifa ya nje, hauwezi kamwe kutugawa na kuvuruga umoja, uhuru, amani na utulivu wa waTanzania. Tutailinda amani na Taifa letu kwa gharama yoyote.

Mungu awabariki sana waandishi wa habari na vyombo vya habari nchini, kusimama Imara kwenye nisingi ya taaluma ya kazi zenu, na kulipambania Taifa, kwa nguvu zenu zote. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Kama wewe sio mtu wa Wete ,basi wewe polisi mtekaji.Fanyeni hivi,warudisheni uraiani kina soka na acheni kuteka watu...hamtaweza kusikia maandamano na tutawapenda sana na kuwaunga mkono pia.Fanyeni hivyo tu.Kazi rahisi tu.Muwe na huruma na watoto wa watu.
 
Back
Top Bottom